Peter Madukwa
JF-Expert Member
- Sep 20, 2012
- 3,139
- 2,488
Tukisema sheria iruhusu mtoto wa nje ya ndoa ukweli ni kuwa watoto feki wataibuka katika jamii wataibuka mara baada ya mzee kurest in peace. Sheria isimame hapohapo kuwa mtoto na mke wa nje ya ndoa hawana haki ya kurithi mpaka wawekwe kwenye wosia wa marehemu.
Halafu hv hamjiulizi kwamba mbna hawa watoto wa nje ya ndoa hawaletwi akifa baba maskini? Ila akifa mwenye mali ndo wanakuja? Mwingne hawara tu hajawah kuzaa na marehemu ila analeta mtoto, sht! Sheria icmamame hapohapo OVER.
Halafu hv hamjiulizi kwamba mbna hawa watoto wa nje ya ndoa hawaletwi akifa baba maskini? Ila akifa mwenye mali ndo wanakuja? Mwingne hawara tu hajawah kuzaa na marehemu ila analeta mtoto, sht! Sheria icmamame hapohapo OVER.