gfsonwin
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 18,272
- 20,692
this is too bad..............Watu wanadharau sana kuhusu swala la kuandika Wosia kiufupi kama umeshaona una watoto wako nje ya ndoa na uliogopa kuwaleta kwa mke wako kuwatambulisha basi andika wosia kwa mwanasheria ugawe mali kwa haki na uhifadhi hizo document au, kama ushamzalisha huko na uwezo unao nunue eneo mjengee kabsaa eneo kwa jina lake na unaandika na wosia kabsaaa, pindi ukifa huyu wa nje hasumbui wa ndani wala wa ndani hawamsumbi wa nje mana wosia umeeleza kila kitu ila jitahidi sana utende haki juu ya wosia huo au jinsi utakavyogawa hizo mali.
Kama muulizaji swali ni Muislam na mali zikigawiwa kiislam hutakiwi kurithi hata kijiko cha chai, urithi wako ni kwa mama yako tu, labda huyo baba tangu akiwa hai akupe baadhi ya mali zake akiwa yuko hai, hiyo inahesabika amekugaia lakin akifa tu, sahau kurithi kitu, labda ndugu zako wa ndani ya ndoa warithi kwanza wao halafu wakugaie kidogo ila usiite ni kama umegaiwa yani sadaka.
well may be ni njia ya kuwafanya watu wasizae nje kwan watoto watabaguliwa sana.
niliwah kusoma kwenye novel moja eti mtoto wa nje anaitwa bastard i was like what????????