Mjadala kuhusu Mke asiye wa Ndoa na Mtoto wa nje ya Ndoa kwenye urithi

Mjadala kuhusu Mke asiye wa Ndoa na Mtoto wa nje ya Ndoa kwenye urithi

Asante mkuu maana sijafa tayari kimeanza kunuka wanaambiwa nyumba nlojenga haiwahusu na inatakiwa iuzwe ili wife atambae na chake ama nitoke na wanangu nimuachie nyumba na mtoto nlozaa nae
LOH??? KUMBE KIMESHASANUKA KWENYE FAMILIA YAKO???? SASA MIMI NTAKUSHAURI AANZA KUANDIKA WOSIA MAPEMA UIPELEKE RITA KWA AJILI YA KUHIFADHIWA AU PELEKA KWA MWANASHERIA UNAYEMFAHAMU NA UWEKE MASHAIDI WATAKAO JUA WOSIA WAKO. HIO KESI YAKO NA HUYO BI MKUBWA PAMBANA NAYE MAHAKAMANI HAWEZI KUPEWA HIO NYUMBA HALAFU AIUZE.
 
LOH??? KUMBE KIMESHASANUKA KWENYE FAMILIA YAKO???? SASA MIMI NTAKUSHAURI AANZA KUANDIKA WOSIA MAPEMA UIPELEKE RITA KWA AJILI YA KUHIFADHIWA AU PELEKA KWA MWANASHERIA UNAYEMFAHAMU NA UWEKE MASHAIDI WATAKAO JUA WOSIA WAKO. HIO KESI YAKO NA HUYO BI MKUBWA PAMBANA NAYE MAHAKAMANI HAWEZI KUPEWA HIO NYUMBA HALAFU AIUZE.
Nyumba yenyewe nilijenga akiwa kesha toroka kaenda kwao,nikakomaa na watoto tukajenga,baadae karudi na sasa anadai nyumba yake na mwanae,kazi kweli wamama
 
Ninaongea kwa msimamo wa dini ya Kiislamu, kwa upande huu mtoto wa nje ya ndoa hawezi kurithi. Na hakubaliki kwa familia hata kama atatambulishwa.
Kwenye uislam unaweza kumpa mtoto wanje kabla ujafa sehemu ya Mali yako lakini isizidi wale warithi halali unaweza kumpa hata 10/100 yaiyo mali inategemea na ukubwa waiyo familia yako
 
SURA YA 352
SHERIA YA UTHIBITISHO WA WOSIA NA USIMAMIZI WA MIRATHI


14. JE WATOTO WA NJE YA NDOA WANARITHI?


Mahakama ya Rufaa katika kesi namaba 72 katika ripoti ya sheria ya mwaka 1990 kati ya VIOLET ISHENGOMA dhidi ya KABIDHI WASII MKUU NA MWENZAKE imetoa tafsiri ya mtoto katika sheria ya ndoa kwamba haihusishi mtoto aliyezaliwa nje ya ndoa hivyo,watoto hao hawatambuliwi chini ya sheria ya ndoa kama watoto.
Watoto walizaliwa nje ya ndoa hawaruhusiwi kurithi,wanaweza kurithi tu kama wamehalalishwa kwa kufuata desturi au taratibu zinazojulikana na kutambulika katika jamii hiyo.
Vilevile inashauriwa kwamba ni muhimu kuandika wosia ambao katika kugawa mali utamjumuisha mtoto aliyezaliwa nje ya ndoa.Hii itasaidia kuondoamateso yanayowapata watoto walizaliwa nje ya ndoa.
hapo sawa
 
turafute vyetu tuwache kusubiria vya urithi kufanya kazi hakujalishi kama wewe ni mtot halali ama haramu
 
Jibu rahisi ni Hivi, Mtoto wa nje ya ndoa hana haki ya kurithi kwenye mirathi ya babake au mamake. huo ndio ukweli wenyewe. vitabu vya sheria vipo na vinasema hivyo hivyo.
Lakini pamoja na hayo kuna Familia ambazo zinajumuisha watoto wa nje ya ndoa kwenye Mirathi ya marehemu kwa kigezo cha kwamba ni watoto wanao tambulika kifamilia na ukoo, Matokeo yake inapofika kwenye mgao wa mali nao wanapewa chao.
Ushauri wangu kwa wakina baba ambao wamshachepuka na kuzaa nje, ni heri wakae na hao watoto na kufanya tathmini ya maisha yao, kisha waandike wosia kwa ajili yao. Hii itasaidia sana kuondoa migongano, usumbufu, lawama kwa marehemu, matukio ya kudhulumiwa na ndugu au watoto wa kambo, au mama wa kambo nk. bila ya kufanya hivyo itakuwa shida kwasababu sheria tayari haitambui watoto wa nje ya ndoa.
mtoto wa nje ya ndoa anarithi kwa mama, sio kwa baba mkuu. hata waislam mtoto wa nje ya ndoa pamoja na kwamba ni mtoto haram, lakini anahesabika kama ni mtoto wa mama, sio mtoto wa baba. atarithi mali za mama yake. ila za baba hatarithi. kama kuna mashehe hapa mtusahihishe.
 
mtoto wa nje ya ndoa anarithi kwa mama, sio kwa baba mkuu. hata waislam mtoto wa nje ya ndoa pamoja na kwamba ni mtoto haram, lakini anahesabika kama ni mtoto wa mama, sio mtoto wa baba. atarithi mali za mama yake. ila za baba hatarithi. kama kuna mashehe hapa mtusahihishe.
Mkuu inategemea, kama Mama alikuwa na mali zake binafsi au amechuma mali kwa jasho lake hapo sawa mtoto anapewa chake.
lakini kama Mama yupo kwenye ndoa na mali zimepatikana akiwa anamtegemea mume wake ambaye sio baba wa mtoto wake. Hapo mtoto wa huyo mama hana chake hapo!!!!! lazima mali zitagawiwa kwa watoto halali. wanasheria wanirekebishe hapo.
 
Mkuu inategemea, kama Mama alikuwa na mali zake binafsi au amechuma mali kwa jasho lake hapo sawa mtoto anapewa chake.
lakini kama Mama yupo kwenye ndoa na mali zimepatikana akiwa anamtegemea mume wake ambaye sio baba wa mtoto wake. Hapo mtoto wa huyo mama hana chake hapo!!!!! lazima mali zitagawiwa kwa watoto halali. wanasheria wanirekebishe hapo.
kinachogawanywa kwenye mirathi sio mali ya pamoja, ni mali ya mtu binafsi tu, only that potion you own. kama mama na baba walichuma mali, mali tunayoongelea watoto kurithi hapa ni kile kipande pekee anachomiliki mama huyo kwenye ile kuu wanayomiliki na baba. maadam mali hiyo imethibitishwa kisheria kwamba mama ni mmiliki (ni mali ya mama), mtoto anaweza kumiliki. hata kama mama alikuwa anamtegemea mume wake, mume akafariki katika mirathi mama akapata potion kama urithi toka kwa marehemu mume wake, fungu lile ndilo watoto wake wa kambo wataweza kurithi siku akifariki. ukizunguluka wee utakuja jibu linakuja moja tu kwamba, mali ambayo kisheria mama anamiliki ndiyo mtoto wake anaweza kurithi siku akifa.

labda utuambie hapa sisi ambao sio wataalam wa sheria za kiislam. baba na mama wamechuma mali pamoja, wamezaa watoto lakini kwenye familia kuna mtoto wa kambo wa mama na wote ni waislam. siku moja mama na baba wanaendesha kwenda moshi, wakapata ajali wakafariki wote wawili. wamebaki watoto tu, watoto wa kiislam wa kwenye ndoa na mtoto muislam ambaye mama alimzaa nje ya ndoa. ....hapo itakuwaje?

au mama na baba hao waliopata ajali na kufariki kuacha watoto wa aina hizo mbili nyumbani, mama alikuwa mke wa nyumbani tu (mama wa nyumbani) mume wake ndiye alikuwa mtafutaji. je? kuna asilimia fulani walau hata kama sio 50% kwa 50% ambayo mama yule wa nyumbani atakuwa alikuwa anastahili? na je, mirathi ile itafunguliwa mmoja mmoja au utawaunganisha pamoja na kufanya mirathi ya watu wa wili pamoja....na je, mama hapo atakuwa alikuwa na haki yeyote ya kumiliki mali alizokuwa anachuma mume wake? kama ndio ni kwanini na kama sio ni kwanini?

na je, mtoto yule wa kambo, atakuwa na haki ya kumiliki mali za mamake tu (kama zipo), katika mazingira kama haya, mama mali zake zitatoka wapi ili mtoto apewe haki ya kurithi kwa mamake?

hiyo ni homework, ukijibu maswali haya utafungua wengi humu. thanks.
 
ha
kinachogawanywa kwenye mirathi sio mali ya pamoja, ni mali ya mtu binafsi tu, only that potion you own. kama mama na baba walichuma mali, mali tunayoongelea watoto kurithi hapa ni kile kipande pekee anachomiliki mama huyo kwenye ile kuu wanayomiliki na baba. maadam mali hiyo imethibitishwa kisheria kwamba mama ni mmiliki (ni mali ya mama), mtoto anaweza kumiliki. hata kama mama alikuwa anamtegemea mume wake, mume akafariki katika mirathi mama akapata potion kama urithi toka kwa marehemu mume wake, fungu lile ndilo watoto wake wa kambo wataweza kurithi siku akifariki. ukizunguluka wee utakuja jibu linakuja moja tu kwamba, mali ambayo kisheria mama anamiliki ndiyo mtoto wake anaweza kurithi siku akifa.

labda utuambie hapa sisi ambao sio wataalam wa sheria za kiislam. baba na mama wamechuma mali pamoja, wamezaa watoto lakini kwenye familia kuna mtoto wa kambo wa mama na wote ni waislam. siku moja mama na baba wanaendesha kwenda moshi, wakapata ajali wakafariki wote wawili. wamebaki watoto tu, watoto wa kiislam wa kwenye ndoa na mtoto muislam ambaye mama alimzaa nje ya ndoa. ....hapo itakuwaje?

au mama na baba hao waliopata ajali na kufariki kuacha watoto wa aina hizo mbili nyumbani, mama alikuwa mke wa nyumbani tu (mama wa nyumbani) mume wake ndiye alikuwa mtafutaji. je? kuna asilimia fulani walau hata kama sio 50% kwa 50% ambayo mama yule wa nyumbani atakuwa alikuwa anastahili? na je, mirathi ile itafunguliwa mmoja mmoja au utawaunganisha pamoja na kufanya mirathi ya watu wa wili pamoja....na je, mama hapo atakuwa alikuwa na haki yeyote ya kumiliki mali alizokuwa anachuma mume wake? kama ndio ni kwanini na kama sio ni kwanini?

na je, mtoto yule wa kambo, atakuwa na haki ya kumiliki mali za mamake tu (kama zipo), katika mazingira kama haya, mama mali zake zitatoka wapi ili mtoto apewe haki ya kurithi kwa mamake?

hiyo ni homework, ukijibu maswali haya utafungua wengi humu. thanks.
Mkuu hio homework yako haijanifungua chochote, kwasababu mada yenyewe inauliza mtoto wa kambo anarithi??? majibu tuliopata kwa baadhi ya wadau ni kwamba kisheria mtoto wa kambo anarithi kama ameandikishwa kwenye wosia au kama mama yake alikuwa na mali yake binafsi na akafariki basi anarithi kama kawaida. haya ndio mazingira ambayo mtoto wa kambo anaweza kurithi.
Sasa we unasema mtoto wa kambo anarithi kwa mama yake kwenye lile fungu alilochuma na mume wake!!!!! na sisi tumeshasema mtoto wa kambo anarithi kama kuna wosia. hapo naomba wadau wa sheria waje kufungua hili swali. Mirathi ni somo pana sana na huwa inaleta changamoto kwenye familia.
 
Ninaongea kwa msimamo wa dini ya Kiislamu, kwa upande huu mtoto wa nje ya ndoa hawezi kurithi. Na hakubaliki kwa familia hata kama atatambulishwa
Kwa Sheria ya Dini ya Kiislam ni kweli mtoto wa nje ya ndoa hana chake kwenye urithi. Hata hivyo, hikma inakukumbusha kwamba mtoto huyo hana kosa lolote na wenye kosa ni "baba" na mama ambao kutokana na uzinzi wao mtoto akazaliwa!

Now assume baba amefariki wakati mtoto akiwa mdogo. Kwavile hana haki ya kurithi, basi mtoto huyu akawa anaishi kwa shida kweli. Hapa ikumbukwe kwamba madhira atakayokumbana nayo huyu mtoto wewe baba utakuwa responsible.

Hili kuepuka hilo, basi unashauriwa kuandika wosia kwa ajili ya mtoto husika ili adhabu kali ya Mwenyezi Mungu juu yako ibaki ile ile ya uzinzi badala ya kuongeza nyingine ya kusababisha madhira kwa kiumbe ambacho kuja kwake duniani halikuwa kosa lake.
 
ha

Mkuu hio homework yako haijanifungua chochote, kwasababu mada yenyewe inauliza mtoto wa kambo anarithi??? majibu tuliopata kwa baadhi ya wadau ni kwamba kisheria mtoto wa kambo anarithi kama ameandikishwa kwenye wosia au kama mama yake alikuwa na mali yake binafsi na akafariki basi anarithi kama kawaida. haya ndio mazingira ambayo mtoto wa kambo anaweza kurithi.
Sasa we unasema mtoto wa kambo anarithi kwa mama yake kwenye lile fungu alilochuma na mume wake!!!!! na sisi tumeshasema mtoto wa kambo anarithi kama kuna wosia. hapo naomba wadau wa sheria waje kufungua hili swali. Mirathi ni somo pana sana na huwa inaleta changamoto kwenye familia.
Unajua watu wanachanganya sana WOSIA & MIRATHI!

Sizifahamu secular laws lakini kwa Sheria za Kiislam Wosia na Mirathi ni vitu viwili tofauti lakini vinategemeana! Huwezi kusema "akiandika wosia atakuwa na haki ya kurithi"

Kimsingi, wosia ni kwa ajili ya yule ambae kisheria hana haki ya kurithi... na hapa ni mtu yeyote yule! Kwa mfano mimi naweza kuacha wosia kwamba nikifariki; wewe Jokielias upewe Tsh. 10 Billions kutoka kwenye mali zangu hata kama mimi na wewe ni baki!

Kwa Sheria ya Dini inachoangalia ni ikiwa Wosia wangu ni genuine na unakidhi viwango vya wosia! Moja ya conditions za wosia ni kwamba Total amount ya wosia ulioachwa na marehemu usizidi theluthi ya mali yote ya marehemu! Likewise, wosia unafanyiwa malipo baada ya kulipa madeni ya marehemu! Kwahiyo kama vigezo vimekidhi; hakuna yeyote kwa mujibu wa dini atakayezuia wewe kupewa 10 Billion (or less depending na thamani ya mali ya marehemu iliyosalia taking into consideration ile not more than one third).

Sasa basi, tukija kwa watoto wa kambo au nje ya ndoa; kisheria hao hawana haki ya kurithi. Lakini kama kamtunuku huyo mtoto wa kambo, ndipo ataandika wosia kwamba sehemu ya mali yangu huyo shost apate kiasi fulani na hakuna wa kupinga so long as wosia umekidhi vigezo. Hali kadhalika, kwa mtoto wa nje ya ndoa; busara inakumbusha kwamba huyo mtoto hana kosa lolote! Kwahiyo ikiwa mtoto huyu atateseka duniani kv "baba" amefariki na mtoto hakupata chochote. Ktk mazingira hayo wmbaba hata kama ameshakufa bado utakuwa anawajibika na madhira anayokumbana nayo mtoto huyu. Ili kuepusha hayo, hata Waislam nao wanashauriwa kuandika wosia in favor of watoto wa nje ya ndoa! Wosia ukishaandikwa hakuna wa kuupinga!

REMEMBER: Kwa mujibu wa Sheria za Kiislam, wosia ni kwa ajili ya yule/wale wasio na haki ya kurithi kisheria. Kutokana na hilo, kwa mfano huwezi kuandika wosia kwa ajili ya mtoto halali au mke kv wote hao tayari imeshasema nani atapata nini!

Na kwa nyongeza, linapokuja suala la Mirathi, sheria haiangalii mke umeishi nae muda gani bali inaangalia ikiwa alizaa na marehemu au hakuzaa nae! Inawezekana baada ya ndoa kufungwa tu, mume akafariki cku hiyo hiyo! Huyu mke ambae hakukaa nae hata cku moja ana haki zote za kurithi sawa na mke aliyeishi na marehemu kwa miaka kadhaa lakini hakuzaa nae!!!

NB: Murder or conspiracy to murder directly disqualify the convict kupata urithi.
 
Unajua watu wanachanganya sana WOSIA & MIRATHI!

Sizifahamu secular laws lakini kwa Sheria za Kiislam Wosia na Mirathi ni vitu viwili tofauti lakini vinategemeana! Huwezi kusema "akiandika wosia atakuwa na haki ya kurithi"

Kimsingi, wosia ni kwa ajili ya yule ambae kisheria hana haki ya kurithi... na hapa ni mtu yeyote yule! Kwa mfano mimi naweza kuacha wosia kwamba nikifariki; wewe Jokielias upewe Tsh. 10 Billions kutoka kwenye mali zangu hata kama mimi na wewe ni baki!

Kwa Sheria ya Dini inachoangalia ni ikiwa Wosia wangu ni genuine na unakidhi viwango vya wosia! Moja ya conditions za wosia ni kwamba Total amount ya wosia ulioachwa na marehemu usizidi theluthi ya mali yote ya marehemu! Likewise, wosia unafanyiwa malipo baada ya kulipa madeni ya marehemu! Kwahiyo kama vigezo vimekidhi; hakuna yeyote kwa mujibu wa dini atakayezuia wewe kupewa 10 Billion (or less depending na thamani ya mali ya marehemu iliyosalia taking into consideration ile not more than one third).

Sasa basi, tukija kwa watoto wa kambo au nje ya ndoa; kisheria hao hawana haki ya kurithi. Lakini kama kamtunuku huyo mtoto wa kambo, ndipo ataandika wosia kwamba sehemu ya mali yangu huyo shost apate kiasi fulani na hakuna wa kupinga so long as wosia umekidhi vigezo. Hali kadhalika, kwa mtoto wa nje ya ndoa; busara inakumbusha kwamba huyo mtoto hana kosa lolote! Kwahiyo ikiwa mtoto huyu atateseka duniani kv "baba" amefariki na mtoto hakupata chochote. Ktk mazingira hayo wmbaba hata kama ameshakufa bado utakuwa anawajibika na madhira anayokumbana nayo mtoto huyu. Ili kuepusha hayo, hata Waislam nao wanashauriwa kuandika wosia in favor of watoto wa nje ya ndoa! Wosia ukishaandikwa hakuna wa kuupinga!

REMEMBER: Kwa mujibu wa Sheria za Kiislam, wosia ni kwa ajili ya yule/wale wasio na haki ya kurithi kisheria. Kutokana na hilo, kwa mfano huwezi kuandika wosia kwa ajili ya mtoto halali au mke kv wote hao tayari imeshasema nani atapata nini!

Na kwa nyongeza, linapokuja suala la Mirathi, sheria haiangalii mke umeishi nae muda gani bali inaangalia ikiwa alizaa na marehemu au hakuzaa nae! Inawezekana baada ya ndoa kufungwa tu, mume akafariki cku hiyo hiyo! Huyu mke ambae hakukaa nae hata cku moja ana haki zote za kurithi sawa na mke aliyeishi na marehemu kwa miaka kadhaa lakini hakuzaa nae!!!

NB: Murder or conspiracy to murder directly disqualify the convict kupata urithi.
MKuu asante nimekupata tupo pamoja, Umeenda sawa kwa kila kona na mimi umenipa nyongeza ya mawazo muhimu katika mirathi. hata wadau wengine watakuwa wameelewa mada, Mimi nimechangia maoni yangu kwenye hii mada kwasababu nimeshuhudia kesi nyingi za mirathi, warithi wanadhulumiwa mchana kweupe na ndugu au na watu wengine. Inauma sana kuona wakinababa ambao walikuwa na mali za maana halafu akifa majanga yanaanza, watoto wana dhulumiwa kila kitu wanabaki kama walivyo. Yaani ni mambo ya ajabu ambayo nimeshuhudia kwenye hizi kesi za mirathi. na ndio maana tunasema wakinababa wanatakiwa wajiandae mapema na kuandika wosia.
 
MKuu asante nimekupata tupo pamoja, Umeenda sawa kwa kila kona na mimi umenipa nyongeza ya mawazo muhimu katika mirathi. hata wadau wengine watakuwa wameelewa mada, Mimi nimechangia maoni yangu kwenye hii mada kwasababu nimeshuhudia kesi nyingi za mirathi, warithi wanadhulumiwa mchana kweupe na ndugu au na watu wengine. Inauma sana kuona wakinababa ambao walikuwa na mali za maana halafu akifa majanga yanaanza, watoto wana dhulumiwa kila kitu wanabaki kama walivyo. Yaani ni mambo ya ajabu ambayo nimeshuhudia kwenye hizi kesi za mirathi. na ndio maana tunasema wakinababa wanatakiwa wajiandae mapema na kuandika wosia.
Upo sahihi kwa 100%... linapokuja suala la mirathi ni shida tupu hususani inapotokea kuwepo mtoto wa nje ya ndoa ingawaje kwa familia zingine hata kama wote ni watoto wa ndoa bado hawakosi kukumbana na madhira ya akina baba wakubwa/ wadogo na mashangazi.
 
Unajua watu wanachanganya sana WOSIA & MIRATHI!

Sizifahamu secular laws lakini kwa Sheria za Kiislam Wosia na Mirathi ni vitu viwili tofauti lakini vinategemeana! Huwezi kusema "akiandika wosia atakuwa na haki ya kurithi"

Kimsingi, wosia ni kwa ajili ya yule ambae kisheria hana haki ya kurithi... na hapa ni mtu yeyote yule! Kwa mfano mimi naweza kuacha wosia kwamba nikifariki; wewe Jokielias upewe Tsh. 10 Billions kutoka kwenye mali zangu hata kama mimi na wewe ni baki!

Kwa Sheria ya Dini inachoangalia ni ikiwa Wosia wangu ni genuine na unakidhi viwango vya wosia! Moja ya conditions za wosia ni kwamba Total amount ya wosia ulioachwa na marehemu usizidi theluthi ya mali yote ya marehemu! Likewise, wosia unafanyiwa malipo baada ya kulipa madeni ya marehemu! Kwahiyo kama vigezo vimekidhi; hakuna yeyote kwa mujibu wa dini atakayezuia wewe kupewa 10 Billion (or less depending na thamani ya mali ya marehemu iliyosalia taking into consideration ile not more than one third).

Sasa basi, tukija kwa watoto wa kambo au nje ya ndoa; kisheria hao hawana haki ya kurithi. Lakini kama kamtunuku huyo mtoto wa kambo, ndipo ataandika wosia kwamba sehemu ya mali yangu huyo shost apate kiasi fulani na hakuna wa kupinga so long as wosia umekidhi vigezo. Hali kadhalika, kwa mtoto wa nje ya ndoa; busara inakumbusha kwamba huyo mtoto hana kosa lolote! Kwahiyo ikiwa mtoto huyu atateseka duniani kv "baba" amefariki na mtoto hakupata chochote. Ktk mazingira hayo wmbaba hata kama ameshakufa bado utakuwa anawajibika na madhira anayokumbana nayo mtoto huyu. Ili kuepusha hayo, hata Waislam nao wanashauriwa kuandika wosia in favor of watoto wa nje ya ndoa! Wosia ukishaandikwa hakuna wa kuupinga!

REMEMBER: Kwa mujibu wa Sheria za Kiislam, wosia ni kwa ajili ya yule/wale wasio na haki ya kurithi kisheria. Kutokana na hilo, kwa mfano huwezi kuandika wosia kwa ajili ya mtoto halali au mke kv wote hao tayari imeshasema nani atapata nini!

Na kwa nyongeza, linapokuja suala la Mirathi, sheria haiangalii mke umeishi nae muda gani bali inaangalia ikiwa alizaa na marehemu au hakuzaa nae! Inawezekana baada ya ndoa kufungwa tu, mume akafariki cku hiyo hiyo! Huyu mke ambae hakukaa nae hata cku moja ana haki zote za kurithi sawa na mke aliyeishi na marehemu kwa miaka kadhaa lakini hakuzaa nae!!!

NB: Murder or conspiracy to murder directly disqualify the convict kupata urithi.
umeongea vizuri sana, hasa kwenye kipengele cha mirathi inayosimamiwa na sharia ya kiislam. ni kweli 1/3 inaweza kutolewa kwa wasio warithi katika wosia (mtoto wa kambo ni mmojawapo wa wale wasio na haki ya kurithi hapa), na ile 2/3 inayobaki inatakiwa igawanywe kulingana na nini sharia imesema kwenye kitabu kitakatifu. ni sahihi kwamba garama nyingine pia zinatolewa (kama zinastahili). sema mjadala kwa kitambo umekuwa umejikita kwenye mirathi kwa mtoto wa kambo akitakiwa kurithi mali za baba yake, ndio hapo tuliongea zaidi kwenye kiini hicho kwamba mtoto huyo hatarithi toka kwenye mirathi ya babake, ila anaweza kupewa kwenye wosia kabla ya mirathi ya kiislam kushughulikiwa kulingana na ile 2/3 kama wosia ulikuwepo. pia tulikuwa tunajadili kwamba mtoto huyo hapati kwasababu ni mtoto haram na anahesabika kama ni mtoto wa mama, hivyo atarithi mali za mamake kuliko za babake. i am not very sure kuhusu aspect ya mtoto wa kambo kurithi mali za mamake na ningefurahi kama ungekijadili hicho kwasababu inaonekana unao uelewa wa sharia za mirathi ya kiislam. asante.
 
umeongea vizuri sana, hasa kwenye kipengele cha mirathi inayosimamiwa na sharia ya kiislam. ni kweli 1/3 inaweza kutolewa kwa wasio warithi katika wosia (mtoto wa kambo ni mmojawapo wa wale wasio na haki ya kurithi hapa), na ile 2/3 inayobaki inatakiwa igawanywe kulingana na nini sharia imesema kwenye kitabu kitakatifu. ni sahihi kwamba garama nyingine pia zinatolewa (kama zinastahili). sema mjadala kwa kitambo umekuwa umejikita kwenye mirathi kwa mtoto wa kambo akitakiwa kurithi mali za baba yake, ndio hapo tuliongea zaidi kwenye kiini hicho kwamba mtoto huyo hatarithi toka kwenye mirathi ya babake, ila anaweza kupewa kwenye wosia kabla ya mirathi ya kiislam kushughulikiwa kulingana na ile 2/3 kama wosia ulikuwepo. pia tulikuwa tunajadili kwamba mtoto huyo hapati kwasababu ni mtoto haram na anahesabika kama ni mtoto wa mama, hivyo atarithi mali za mamake kuliko za babake. i am not very sure kuhusu aspect ya mtoto wa kambo kurithi mali za mamake na ningefurahi kama ungekijadili hicho kwasababu inaonekana unao uelewa wa sharia za mirathi ya kiislam. asante.
Ni kama ulivyosema hapo juu kwamba mtoto wa nje ya ndo anatambulika kisheria kwamba ni mtoto wa mama na hata ubin atakaotumia unatakiwa kuwa wa mama... huyu ni legal child kwake.

Kutokana na hilo, mtoto ana haki zote za kurithi mali za mama na ikiwa ni mtoto ndie anatangulia mbele za haki; mama ana haki kisheria kurithi sehemu ya mali za mtoto husika. Mambo mengine yote yanabaki constant.
 
Back
Top Bottom