Mjadala kuhusu programmers wa Kibongo na programming kiujumla

Mjadala kuhusu programmers wa Kibongo na programming kiujumla

Fanya kazi yako kwa ubora, binadamu (hususani mbongo) kazi yake ni kusema tu
 
Kwenye ishu za software development huwa tunasema "Don't re-invent the wheel". Kama modules unazozihitaji zinapatikana katika framework fulani tumia hizohizo. Ni ujinga kuanza kutengeneza from scratch kitu ambacho tayari kipo na kinapatikana!
Watanzania hawa wanao kariri scenes za hackers au programmers kwenye movies hawawezi kukuelewa, njia rahisi ya ku deal na mijadala hii ni kuipuuzia tu. Mtanzania wa kawaida mpe vitu vilivyo tawala akili yake mfano solution/app ya kudukua mawasiliano ya mpenzi wake, hapo anaweza kukuona mungu mtu.
 
Kwenye ishu za software development huwa tunasema "Don't re-invent the wheel". Kama modules unazozihitaji zinapatikana katika framework fulani tumia hizohizo. Ni ujinga kuanza kutengeneza from scratch kitu ambacho tayari kipo na kinapatikana!

Watanzania hawa wanao kariri scenes za hackers au programmers kwenye movies hawawezi kukuelewa, njia rahisi ya ku deal na mijadala hii ni kuipuuzia tu. Mtanzania wa kawaida mpe vitu vilivyo tawala akili yake mfano solution/app ya kudukua mawasiliano ya mpenzi wake, hapo anaweza kukuona mungu mtu.
Aise, Inatengemea. Moja ya faida ya framework ni pluggable unaweza kutoa au kuchomeka component yoyote.

Framework nyingi zinakuja na limitations kwenye baadhi ya component kama ORM, authentication, session na cookies. Vyote hivi unaweza kuvi badilisha kama unavyotaka


Hapa kwetu tunatumia django 3.x.x lakini jinsi tulivyo modify core codebase ya django ili iendane na mahitaji yetu utasema tupo django 7.0 LTS
 
Framework nyingi zinakuja na limitations kwenye baadhi ya component kama ORM, authentication, session na cookies. Vyote hivi unaweza kuvi badilisha kama unavyotaka
Ndio maana ya kuwa open source, haimaanishi kilichoandikwa ni msaafu au biblia, ukiona hakikidhi mahitaji yako unakiboresha kadiri upendavyo, ila kama kina kidhi mahitaji yako huna haja ya kubadili, unachoona kwako ni limitation kwa mwingine kinaweza kuwa ni feature
 
Tuko mbali sana, nimefanya kazi na developers kutoka mataifa mengi Africa na India, wengi ni vilaza tu.
Ni kweli tupo mbali hasa kimifumo kuanzia mifumo ya bank,pesa, malipo, elimu. Sasa utumishi inahamia online. Mambo haya yamepiga hatu kwa muda mfupi.
Hapa namshukuru JPM aliamua kinguvu na ndio walipotokea majipu watumishi hewa. Kikwete hakutaka mifumo ifanye kazi.
Leo ukienda hospitali ni mfumo kuanzua bima hadi matibabu. Tumepiga hatua ila sio kama China. Wabongo wanataka twende haraka zaidi technolojia ikue hasa.
Tunapodemand mambo makubwa zaidi sio hambo baya. Sina hakika nchi kama Kongo, Angola Zambia wanafumo kama yetu.
 
Wakuu kwema

Mimi kama software developer nimeona mjadala mkubwa huku kuhusu programmer wa kibongo kuwa bongo hakuna ma programmer hichi sio kitu cha kweli bana wapo tena. Wengi ni wewe tuu hujapata mtu sahihi

Tuanzie hapa anasema programmer wengi wa kibongo wanachukua template wana edit yes we do exist sasa mtu anakupa Kazi anakuambia nina laki 2 Nikikuambia unipe million 30 nikutengeneze website au system from scratch utanipa? Si utaniona mimi ni chizi sina akili? TunAfanya hivi kwa sababu hela ni ndogo.
Wewe from scratch unaijua? Definitely hujui

Programming ni consistent tuu na exercise pamoja na ku stick na sehemu moja. Labda ya web dev au mobile dev au game development or data science etc

Changamoto nyingine kubwa unakuta mtu anataka umtengeneze project ila cha ajabu na kushangaza hana hata documentation yeyote ya flow ya project yake yeye anatoa tuu kichwani daah disgusting 🤮
Nitaendelea hii pia ni tatizo

Tatizo lingine ni ujuaji mtu hajui coding lakini ni mkosoaji mkubwa
Hahaha
 
Ndio maana ya kuwa open source, haimaanishi kilichoandikwa ni msaafu au biblia, ukiona hakikidhi mahitaji yako unakiboresha kadiri upendavyo, ila kama kina kidhi mahitaji yako huna haja ya kubadili, unachoona kwako ni limitation kwa mwingine kinaweza kuwa ni feature
 
Hakuna mahusiano kati ya kuwa developer wa kitanzania au kimarekani. Jambo ni moja unajua au ujui.

Tusema mimi ni mtanzania, Bsc. SE nimesoma nje, hapa mimi ni developer kitanzania au huko nilikosoma?

Kama developer fanya kazi kwa standard za kimataifa, kuanzia documentation hadi code writing.

git, github, docker, hizi cloud infrastructure lazima ujue

Kati ya ugomvi mkubwa sana hapa kwetu ni hawa developer tia-maji tia-maji, Jaribu kumuambia developer akupe sample ta project alizofanya, au project open alizo contribute, uone jinsi anakushushia matusi na kuanza kujitapa anafanya project za ma makampuni makubwa makubwa na pia yeye ni hacker, hawezi kuonyesha code zake

Kumbe hamna kitu

Kuja jamaa alinitafuta anataka nifanye project, alikuja na idea tu ya APP na website. Nikamuambia mimi project siwezi ku code tu lazima nipate muongozo wa documentation ( features, flow, designing etc). Akaniambia hana, kwa kua idea alikua nzuri nikandaa mwenyewe nikamtumia, akaniuliza budget nikasema hii project sio ndogo na wewe huna office na mimi siwezi kufanya mwenyewe lazima ni employee, budget yangu ni 47M aise jamaa mpaka leo hajawai nitafuta tena

Hapa ukiwa developer wa kawaida hapa 5M unachukua projects unaunga unga templet un submit, baada ya mda unakuja kupokea threads zako JF

Wengine tuna standards zetu
Hahaha aseee
 
Kwenye ishu za software development huwa tunasema "Don't re-invent the wheel". Kama modules unazozihitaji zinapatikana katika framework fulani tumia hizohizo. Ni ujinga kuanza kutengeneza from scratch kitu ambacho tayari kipo na kinapatikana!
Naam
 
Hizi website za serikali nani anaezitengeneza naona nyingi zina performance ya chini
 
Ni kawaida yetu Binadamu siyo Watanzania pekee. Hata huko ulaya, na America au Asia walioendelea, kukuta mtu asiye na ufahamu na taaluma, halafu ndiye MPONDAJI mkuu ni kitu cha kawaida sana.

Unaona hapa zaidi kwa sababu unaishi hapa.
 
Aise, Inatengemea. Moja ya faida ya framework ni pluggable unaweza kutoa au kuchomeka component yoyote.

Framework nyingi zinakuja na limitations kwenye baadhi ya component kama ORM, authentication, session na cookies. Vyote hivi unaweza kuvi badilisha kama unavyotaka


Hapa kwetu tunatumia django 3.x.x lakini jinsi tulivyo modify core codebase ya django ili iendane na mahitaji yetu utasema tupo django 7.0 LTS
Wapi mnahost projects zenu?
 
Back
Top Bottom