Mjadala kwa wanaokataa Kuoa (Ndoa)

Kuwa shoga uepukane na hayo yote.
 
Sifa za Mke Bora (Kielelezo)
Maswali:
SWALI:






Mimi ni kijana ninaishi Zanzibar. Sina suala ila nimefikia umri wa kutaka kuowa hivyo naomba munitumie sifa sahihi na vigezo vya mke bora katika uislam. Najua mtume katuamrisha kuwa tuangalie vitu vinne, kama mali, uzuri, ukoo au familia pamoja na dini. Ila naomba munielimishe sifa nyengine muhim za kuangalia kwan unapochagua mchumba unatakiwa kuwa makini kwan mke ndie anaetangeneza familia na anae harib familia. Pia wake zetu ni mtihan kwetu hivyo ili kuweza kujikinga na mtihan huu ningepend munipatie siza hizo.




Ahsanten, Nakutakieni kazi njema na inshhaallah awalipe ujira ulio mwema kwa jihan yenu.

Assallam alaikum warrahmatullahi wabarakat







JIBU:




Sifa zote njema Anastahiki Allaah Aliyetukuka Mola Mlezi wa walimwengu wote, Swalah na salamu zimshukie kipenzi chetu Mtume Muhammad (Swalla Allaahu ‘Alayhi wa aalihi wa sallam) na Swahaba zake (Radhiya Allaahu ‘anhum) na watangu wema mpaka Siku ya Mwisho.







Shukrani zetu za dhati kwa swali lako kuhusu sifa zinazohitajika katika kuchagua mke. Uislamu ikiwa ndiyo Dini ya kimaumbile imetupatia muongozo katika kila nyanja ya maisha pamoja na kuchagua mke, ambaye ni mshirika wa mwanaume wa maisha. Miongoni mwa sifa zinazohitajika katika kuchagua mke ni:




Mwanamke kuwa na Dini, tabia na maadili mema. Ama mas-ala ya Dini ni ile Hadiyth ya Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ‘Alayhi wa aalihi wa sallam) aliyosema: Chagua mwenye Dini usije ukapata hasara (al-Bukhaariy na Muslim). Dini si ya kinadharia bali imfanye abadilike katika mambo yake yote kama kuwa na tabia njema na maadili mema.



Kumpendeza mume anapomuangalia. Kupendeza na uzuri ni vitu ambavyo kila mwanamme ana kile anachokiona kuwa ni kizuri. Ndiyo nasaha aliyotoa Mtume (Swalla Allaahu ‘Alayhi wa aalihi wa sallam) kwa Mughiyrah bin Shu‘bah (Radhiya Allaahu ‘anhu): Kamwangalie kwali kufanya hivyo kutaleta mapenzi baina yenu (an-Nasaa’iy).



Kuwa ni mwenye kuingiliana na watu na mwenye moyo wa bashasha kabisa. Mafungano ni baina ya familia mbili, yako na yake. Kwa ajili hiyo anatakiwa awe ni mwanamke mwenye kufanya mahusiano na watu wako wa karibu ili kuwe na maendeleo na uhusiano mwema.



Mwenye kuzaa, na hili kama wanavyuoni walivyosema ni kuangalia kizazi cha madada zake na jamaa zake wa karibu



Hata hivyo, muhimu zaidi ni Dini na ikiwa ana sifa nyingine ziwe ni baada ya hiyo sifa ya kwanza.
 
Kuwa shoga uepukane na hayo yote.
Hamnaga hoja zaidi ya matusi?
Kama hukubaliani si "Just agree to disagree"

Nani kakwambia kutomb-a kunahusiana na ndoa?

Isitoshe yule askari wa zenji alikuwa ni Mume wa mtu.

#YNWA
 
Hamnaga hoja zaidi ya matusi?
Kama hukubaliani si "Just agree to disagree"

Nani kakwambia kutomb-a kunahusiana na ndoa?

Isitoshe yule askari wa zenji alikuwa ni Mume wa mtu.

#YNWA
Usipambane na nature hutafanikiwa. Unatakiwa uje na takwimu kwamba. Tangu ujue ndoa ni ngap zimeishi na ngapi zimekufa na kutokana na ndoa tumefanikiwa kupata taasisi ya familia au jamii bora ngap au zimefeli ngapi. Usiige huu ujinga wa wazungu. Wao kwanza wamemkataa Mungu kwenye fahamu zao na kuamini sayansi. Pili wakaanza kupambana na taasisi ya ndoa kwa kukataa utawala wa mwanaume na kujifanya wanaleta haki sawa kitu ambacho kwa asili hakiwezekani. Tatu baada ya kuua taasisi ya familia sasa wamekuja na LGBTQ kuua uzao kabisa. Na ukiwasikiliza nyie wote ni kama mna hoja lakin chanzo ni kumkataa Mungu kuwatawala. Mungu ndie aliyeumba hii dunia na akaweka utaratibu ili tuishi vizur lazima ufuatwe. Sasa watu wanapambana na nature matokeo yake wanatokea masingle mothers kibao. Watoto wanalelewa bila baba. Wengine watoto wa maabara. Broda mtoto kwenye ukuaji asipoisikia sauti ya baba na Mama kwenye ukuaji kisaikolojia hayuko sawa. Huko ulaya Asia na Amerika leo hii serikali zinachangangikiwa watu hawazai kisa nini maisha magumu. Broda Rudi kwenye asili acha mbambamba. Hatuumbi dunia mpya. Ulikuwa watu wako hiv usifikir unavumbua dunia nyingine.
 
Mwanamke anayejitambua na kumthamini mumewe, hawezi kuvua chupi hata aishi mbali na mumewe.

Hao wote ni wale wanawake wasiojiheshimu.
 
Inawezekana kukaa bila.

Hebu google marriage status za matajiri duniani HAWANA MPANGO NA NDOA.

Na waliokua nazo WAMEACHANA NAZO.

Achana na kuoa upunguze matatizo.

#YNWA
Wao ni wao, na sisi ni sisi. Halafu wewe ni wewe.

Kila mmoja na maamuzi yake.
 
Mnajifanya kukataa ndoa baadaye mnataka kubaka,kupiga nyeto na kulawitiwa na kulawiti kizazi Cha nyoka,mwanamume rijaal lazima uwe na mke ,kenge wee
Mke na kuwa na mademu wengi kuna tofauti gani, kwasisi tulioa ukipata chance ya kuwa single usiichezee
 
Mnajifanya kukataa ndoa baadaye mnataka kubaka,kupiga nyeto na kulawitiwa na kulawiti kizazi Cha nyoka,mwanamume rijaal lazima uwe na mke ,kenge wee
Kenge wewe sikia.

Kutomb-a hakuna uhusiano wowote na ndoa mbwa wewe.

Wanaowatomb-a wake zenu Wamewaoa nyau wewe?

#YNWA
 
Sijui vijana mmepatwa na nini? Wengine mko tu mnaingia wazima wazima kwenye kampeni msizojua agenda zake..

Braza due to all respect ...

1. Kwamba waliumizwa na ndoa
2. Wanaoteseka na ndoa
3. Walioteseka na ndoa
4. Wanaumizwa na ndoa
5. Waliofilisika na ndoa

WOTE HAWA HUWAJUI?

Na kwanini wasiwe ni hao wanaopinga ndoa?

#YNWA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…