Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora kumekucha na ww uonekane umeacha familia nyumbanTuliomo ndani tunajua mbilinge yake ..tunakaza mafuvu tu .....
[emoji1][emoji1]Ndoa changamoto sana, mfano mdogo tu tu kwenye ndoa kabati langu kubwa kidogo milango 3 lote limejaa nguo zake tu, zangu saivi nimeweka kwenye jaba.
Hilo sasa n lake na sio lako tena😀😀😀Ndoa changamoto sana, mfano mdogo tu tu kwenye ndoa kabati langu kubwa kidogo milango 3 lote limejaa nguo zake tu, zangu saivi nimeweka kwenye jaba.
Umechelewa .. hii team niipendayo... Kataa ndoa Mwl tuje huku..Usipite huku mwal 🤣 Certified Hater
😂😂😂😂 Uwii nimecheka, kwangu vice versa is true. Mimi ni minimalist, kuna muda nakusanya nguo nagawa nabaki nazo hata pea 15 nguo zangu chache japo quality, Za mwenzangu nyingi balaa japo na zenyewe ni kali sana .Ndoa changamoto sana, mfano mdogo tu tu kwenye ndoa kabati langu kubwa kidogo milango 3 lote limejaa nguo zake tu, zangu saivi nimeweka kwenye jaba.
Naingia kwenye maombi… siwezi acha upotee huku ninaona 😆Umechelewa .. hii team niipendayo... Kataa ndoa Mwl tuje huku..
Uliza wenyeji usije kukojoa eneo la jeshi... litakukuta jambo[emoji23][emoji23][emoji23]
Kwahiyo ndoa ni kama vita baridi siyo navuta tena subira acha nisome mchezo vizuri kwanza.
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndoa changamoto sana, mfano mdogo tu tu kwenye ndoa kabati langu kubwa kidogo milango 3 lote limejaa nguo zake tu, zangu saivi nimeweka kwenye jaba.
🤣🤣🤣🤣🤣 nimecheka kwa nguvuNdoa changamoto sana, mfano mdogo tu tu kwenye ndoa kabati langu kubwa kidogo milango 3 lote limejaa nguo zake tu, zangu saivi nimeweka kwenye jaba.
Embu uone
Cheki unavyo niseti ili unipige sio..Bdo sijalewa Sidangnyiki.. ndoa ni UtapeliiiiiNaingia kwenye maombi… siwezi acha upotee huku ninaona 😆
Ili nije nilie kama wengine humu sitaki bomu la machozi mimi bado naendelea kutafakari.Embu uone
Tupate ma aunt wa kuwatuma dukani
Yule mtoto wa mamkwe awe nasubira maana sitaki kuanza vita baridi bila kujikoki.Uliza wenyeji usije kukojoa eneo la jeshi... litakukuta jambo
NAKAZIANDOA NI BIASHARA YA MWANAMKE
I feel your pain boss.Ndoa changamoto sana, mfano mdogo tu tu kwenye ndoa kabati langu kubwa kidogo milango 3 lote limejaa nguo zake tu, zangu saivi nimeweka kwenye jaba.
Kuna ujinga hua nauona sanaa...Dah! mpaka kichwa kinauma, yaani yeye tena hana habari, ndo kwanza anauchapa usingiz wa pono. ndoa? ndoa? ndoa? hapana, natakiwa kufanya maamuzi magumu.
Punguza kujipa moyo, hata Nyerere aliuchoka ukoloni ambao wengine waliishi nao miaka mingi akaamua KUPAMBANIA UHURU WAKE na wa WENGINE.Yalikuwepo, yapo ,yatakuwepo. Hakuna jipya kila mmoja ashinde mechi zake