Ukiwa MWANAUME na si mtoto wa kiume,kuanzia huyo mwanamke na hilo dawati hakuna rangi wangeacha kuona, tatizo hujasimama kama MWANAUME.Wakuu habarini za sasa ...
Nasisitiza vijana musioe wanawake bora mkaishi wenyewe miaka yote ...cha msingi tafuta pesa ...mtafute Mungu...tena na tena tafuta pesa ....
Yaliyonikuta baada ya kuoa najuta hapa nilipo nipo dawati la jinsia na nimenyang'anywa mali zangu zote nilizotafuta kwa jasho langu ...narudia tena vijana musioe
Kwani vipi mkuu, Mali mlichuma wote...?? Na huko dhehebu gani. .Wakuu habarini za sasa ...
Nasisitiza vijana musioe wanawake bora mkaishi wenyewe miaka yote ...cha msingi tafuta pesa ...mtafute Mungu...tena na tena tafuta pesa ....
Yaliyonikuta baada ya kuoa najuta hapa nilipo nipo dawati la jinsia na nimenyang'anywa mali zangu zote nilizotafuta kwa jasho langu ...narudia tena vijana musioe
Tunaomba mkasa mzima ili kuweka uzito juu ya hoja yako.Wakuu habarini za sasa ...
Nasisitiza vijana musioe wanawake bora mkaishi wenyewe miaka yote ...cha msingi tafuta pesa ...mtafute Mungu...tena na tena tafuta pesa ....
Yaliyonikuta baada ya kuoa najuta hapa nilipo nipo dawati la jinsia na nimenyang'anywa mali zangu zote nilizotafuta kwa jasho langu ...narudia tena vijana musioe
Hapa umenena mkuu"Kijana ukioa oa mwanamke bikira. Ukikosa mwanamke bikira ni heri usioe kabisa"
Bila shaka ulioa mwanamke mwenye kikuku, tuviatu twa manyoya, na sim yenye cover yenye tumdoli [emoji1787]Wakuu habarini za sasa ...
Nasisitiza vijana musioe wanawake bora mkaishi wenyewe miaka yote ...cha msingi tafuta pesa ...mtafute Mungu...tena na tena tafuta pesa ....
Yaliyonikuta baada ya kuoa najuta hapa nilipo nipo dawati la jinsia na nimenyang'anywa mali zangu zote nilizotafuta kwa jasho langu ...narudia tena vijana musioe
Hii naifanyia lamination [emoji38][emoji38][emoji38]Mwanamke anahitaji mwanaume mbabe, mshenzi asiye na huruma
Ukijifanya Mr.love umekwenda na maji.
Usiwajali watoto kuliko kujijali wewe MWENYEWE. Hawatakusaidia lolote.
Jifunze kuwa Mwanaume ndipo uoe.
Usiendeshwe na maneno ya Mwanamke.
Akikuzingua mara moja tambaa naye mara elfu mpaka Ajue amekosea njia.
Timua
Usipotimua utatimuliwa.
Mtu ni mwanaume bado mwanamke akusumbue huo ni upumbavu
Wewe nawe usiwafokee wenzako.
Kama huna hela ya kuoa usioe, waache wenzako waoe usiwapangie.
TAFUTA HELA
Bila shaka ulioa mwanamke mwenye kikuku, tuviatu twa manyoya, na sim yenye cover yenye tumdoli [emoji1787]