Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kucheat wewe huoni ajabu? Duh wanawake kazi mnayo, ndio maana nasema picha ndogo ya watu Kama nyinyi, ndio uhalisia wa wanawake wengi....wewe umeolewa unaaacha watoto ndani unaenda kugongwa and you feel normal tu....,aisee mtapigwa Sana.Sasa hapo cha ajabu nini?
Ila boda boda nanyi muache ukuda khaah!!!
Sasa unaona asilimia kubwa ya wanawake humu wanaona hakuna noma kwa huyo mwanamke kugongwa nje! Hi picha ndogo ina reflect uhalisia halisi wa wanawake wetu...wanataka ndoa na bado wanataka kuchezea Kongamano la wayahudi huko nje.Vijana uoga utatuua, sasa case ya huyo dada inahusiana vipi na watu wengine?
Sifikiri Hilo kwasababu hatufatani Ni Ni mtu Yuko bus mkp umfanikiwe umle Ni timing Sanaa kaliSoon utakamatwa, uje utupe mrejesho
wote walikua ni mashoga.Wanasayansi wakubwa wenye akili timamu hawakuoa.
Siku hizi wanaume ni wachache lakini wavulana ni wengi.Nashangaa
Mvulana huyoNikajua huyu jamaa kapatwa na shida kumbe kasimuliwa tuu
Huyo bodaboda siku mwambie akusimulie pia kuhusu wadada wastaarabu,wanaojielewa siyo huyo mmoja tu akubadilishie mtizamo wako. Don't generalize na kutoa conclusion
😁 😁 😁 😁Nikamjibu sijui!
california unamaanisha mabatini sio?Hapana niko morogoro huku nimekuja kitaa kuwasabahi marafiki, California ndio home