Mjadala kwa wanaokataa Kuoa (Ndoa)

Piga chini dada mmoja banaπŸ˜‚
 
Umeandika pumba tupu tu.
Usifikiri kila mwanaume/ mwanamke Ni mchepukaji.
Wapo watu waaminifu Sana Tena wametulia Kwenye ndoa zao.
 
Siku hizi vijana wa kiume wameanzisha MGTOW na The Manosphere. Kiukweli kinachohubiriwa kwenye hizi falsafa ni kwamba watoto wa kiume wajikite kwenye kutafuta furaha zao kwenye vitu na mwanamke ni adui kabisa. Ukiwaangilia The Radical Femist huwezi kupingana kabisa na hoja zao hawa jamaa....

Kuna mwamba mmoja amefanikiwa kupata fedha nyingi akiwa kijana wa miaka 35, yuko kwenye shirika moja kubwa la kigeni. Mshahara wake ni mkubwa mno. Mambo ya ndoa hataki kabisa kuyasikia.

Siku aliwahi kuniandikia hivi "Brother, I have two houses, three cars and a motor bike. I tithe and donate to charity. I can go for vacation to places like Dubai atleast twice a year. Why would I allow a woman to come and take this away from me"

Nikasema hiiiiiiiii, kazi ipo sana.
 
Dunia imefika pabaya mno...
Ila chanzo ni wale waliotaka haki sawa...
 
Nipo ndugu yangu tunazidi kupambana na maisha yasiyoisha mapambano.same here P..

Waendeleaje na afya wewe pamoja wapendwa wako?
Nimefurahi sana.
Kwetu tupo salama kabisa, tunaendelea kumalizia mwaka.

Endelea kupambana ndugu yangu ujaliwe wepesi , na zaidi sana 2023 ikawe nyepesi kwako na walio wako
 
Nimefurahi sana.
Kwetu tupo salama kabisa, tunaendelea kumalizia mwaka.

Endelea kupambana ndugu yangu ujaliwe wepesi , na zaidi sana 2023 ikawe nyepesi kwako na walio wako
Ohoo…Amen πŸ‘

Nina pokea Kwa Imani iliyokuu..na ikawe kama unenavyo P.

Baraka hizi zikurudie popote pale ulipo ndugu yangu
 
Bandiko lako na hoja nyingi ulizo orozesha hapo, ni kweli hayo matukio yako.

Mungu ametuumba wawili ili tuwe wawili wawili yaani KE na mbususu yake ambayo itatumika kwa kuingiliwq na kutu chenye ncha kali kutoka kwa ME, Sasa unaposema watu wasiowe maana yake nini?

Nimezaliwa mwanaume, na AK 47 ipo mbele hapa kwenye boxer imetulia inasumburi kazi kwa ushirikiano na mbususu ya mke wangu wewe unasema tusiowe, sikuelewi kabisa.

Wapo wanawake wanaojielewa, kama wewe ulibeba mikahaba barabarani shauri lako. Inaonyesha wewe ni muoga waajukumu. Na ukiwa muoga maana yake utahudumiwa.

Ukiwa mwanaume umekamilika. Nasema OA , narudia tena OA, la sivyo utaolewa wewe.
 
Kuna ndg yangu anaolewa ila mchepuko wake ambaye ni mume wa mtu yupo kwenye kamati ya sendoff kama ndugu wa mke mtarajiwa. Hakosi vikao na yuko mstari wa mbele kuhamasisha. Hapa nimewaza hadi nimewaza tena maana mchepuko kashakuwa ndugu yetu kilazima
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…