Mjadala kwa wanaokataa Kuoa (Ndoa)

KATAAA NDOA KATAA NDOA KATAA NDOA KATAA NDOA KATAAA NDOA KATAA NDOA,NDOA NI UTAPELI NDOA NI UTAPELI NDOA NI UTAPELI TAFUTA PESA TAFUTA PESA SAIDIA WAZAZ WAKO KAMA WANAUITAJI KULA BATAA KULA BATAA ZAA HATA KATOTO KAMOJA KULA BATA KULA BATA PIGA KAZI ..USIKUBALI KUKAA NA MTOTO WA MTU NDANI(MKE) ATAKUUA😂😂
 
Hahaha, hivi mnajua mnachekesha sana....nimesoma hii mada yako nikacheka na kujiuliza sana

''Eti mnakosa hata hela ya kununua vitumbua barabarani mnawaza bajeti ya kusomesha''[emoji23]

Mkuu kwa hizi mada mnapotosha vijana wengi sana kuliko mnavyofikiri, haya maneno yanasambaa na yanaathiri vijana katika jamii zetu.
 
Huyo ale matunda ya kazi yake sina huruma nae
 
UFUNUO 21:8
Bali WAOGA, na wasioamini, na wachukizao, na wauaji, na wazinzi, na wachawi, na hao waabuduo sanamu, na waongo wote, sehemu yao ni katika lile ziwa liwakalo moto na kiberiti. Hii ndiyo mauti ya pili.
Sasa hilo fungu kwenye hii mada linafit vipi au ndo kila andiko lafaa kwa mafundisho?
 
Naona mashoga mko kwenye uamsho
 
Unavituko wewe, Au siasa zimekuchanganya? Ko hapo Mwaka Amekosa kipi au Masanja umemzidi kipi hapo?
Wanawake ni Mapepo tu bhana huwez jua wanatokea wapi wanaenda wapi we utasikia tu Wanavuma.
 
Ni mwalimu wa shule ya msingi au sekondari ?
 
Fact
 
KUBALI NDOA

NDOA NI BARAKA

NDOA NI IBADA

NDOA STAREHE

ILA SHARTI LA NDOA UPATE MKE MCHAMUNGU NA MWENYE TABIA NZURI MWENYE WAZAZI WEMA. UKIOKOTA TU CHANGU NJIANI KISA ANA MATAKO MAKUBWA NDO SHIDA INAANZIA HAPO
Ili mke awe mcha mungu lazima awe mbaya wa sura na umbo yani niache kula matoto mazuri zuri nikaishi na jana jike kma dume , sitaoa mwanamke kisa huruma eti ni mcha mungu , huko ni kutesa viumbe vya Mungu.
 
Mbona wengi walio na ndoa ndio hawana hvyo vyote mpka wake zao wanakuja kwetu
 
Mkuu sina ndoa ila huu ulioongea apa ni ujinga wake za watu kibao wanakuja kukopa kwangu wa kuofa papuchi , mkuu walisheni wake zenu msipowalsha ssi tutawalisha na mimba tutawapa .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…