Wanaume walianza kukosa mapenzi ya kweli baada ya kugundua wanawake ni matapeli kwahio ngoma draw ila kimsingi ukipima utu baina ya wanaume na wanawake utagundua most men are kind hearted! Most women are greedy by nature 😂😂😂Hivi kwanini mnalazimisha wanawake tu ndiyo wawe na mapenzi ya kweli wakati dunia ya sasa wanaume ndiyo wanaongoza kukosa mapenzi ya kweli? Siku hizi usaliti umeshamiri na wanaume mnajisifia kabisa kuwa ni nature hamtosheki na mwanamke mmoja sasa kama wewe kujicommit umeshindwa kwanini utake mwanamke ajicommit?
Una kitu kaka utafika mbali.Wanaume walianza kukosa mapenzi ya kweli baada ya kugundua wanawake ni matapeli kwahio ngoma draw ila kimsingi ukipima utu baina ya wanaume na wanawake utagundua most men are kind hearted! Most women are greedy by nature [emoji23][emoji23][emoji23]
Hili niliskia kwa maskio yangu mawili, siku moja niko sokoni kununua mahitaji flani nikawa nimekaa mahali nasubiria nifungashiwe mzigo wangu!"Bora niolewe tu, nimechoka kujihudumia, mara kodi na utilities nyingine bora niolewe nipumzike". Hapo ndio utajua kwa mwanamke ndoa ina maana gani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hili niliskia kwa maskio yangu mawili, siku moja niko sokoni kununua mahitaji flani nikawa nimekaa mahali nasubiria nifungashiwe mzigo wangu!
Kuna demu moja bonge flani lina hips likawa linamwambia shangazi yake ambaye ndio ananiuzia vitu,,,,
“Yani kwa kweli anti maisha magumu bora hata wewe unakaanga kuku mi naona niolewe tu maana kazi nazo zishakuwa shida mwenzangu, bora niolewe nihudumiwe tu”
Nikawaza huyu atakaeoa hili demu atakuwa kala hasara asilimia 100%
HaahahahaBabu yangu alioa wanawake Saba,na kila mmoja akazaa nae watoto kumi na mbili,na kila mmoja alijengewa nyumba na kupewa shsmba la ekari mbili.
Mengi uliyoyataja ni mahitaji ya kawaida ya mwanamke.
Je Kuna wanawake wabaya,gold diggers,yees wapo wengi!!!je Kuna ndoa zinazoumiza wanaume,zipo kibao,
Je Kuna ndoa na wanawake wazuri,?wapo weeengi tu.
Lakini Cha msingi tangu Dunia iumbwe,hakuna ndoa isiyo na matatizo!!!
Kuna ubaya gani binti,kutaka kuolewa na mtu mwenye uwezo au na mwelekeo wa kipato!?sasa unataka aolewe na kapuku,harafu uzao wake nao uishi kwa shida!umetoka familia maskini,umesoma kwa shida,uolewe Tena na kapuku harafu wanao Tena waishi maisha magumu!!!
Kijana Bado hujakomaaa,kama unatsfuta mwanamke wa kukupenda kwa mspenzi ya muvi za kifilipino na kihindi,usioe kabisa.
Ndoa ni maisha halisi sio maagizo,unaishi na binadamu sio maraika.
Hawa watu tuwe nao makini, ukishaanza kulitunza still bado litakufanyia kiburi linaona uvivu kutumwa, kupika na kukupa K![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huu msemo ni very common kwa baadhi ya wanawake, wanajua wakishaolewa zigo lote atabebeshwa mume. Yeye atapumzika, ndio maana wanaume tunakufa mapema.Hili niliskia kwa maskio yangu mawili, siku moja niko sokoni kununua mahitaji flani nikawa nimekaa mahali nasubiria nifungashiwe mzigo wangu!
Kuna demu moja bonge flani lina hips likawa linamwambia shangazi yake ambaye ndio ananiuzia vitu,,,,
“Yani kwa kweli anti maisha magumu bora hata wewe unakaanga kuku mi naona niolewe tu maana kazi nazo zishakuwa shida mwenzangu, bora niolewe nihudumiwe tu”
Nikawaza huyu atakaeoa hili demu atakuwa kala hasara asilimia 100%
Utaskia sasa ukifa mi na wanangu tutaishi vipi? 😂Huu msemo ni very common kwa baadhi ya wanawake, wanajua wakishaolewa zigo lote atabebeshwa mume. Yeye atapumzika, ndio maana wanaume tunakufa mapema.
Ukipata mwanamke was hivi umekula hasara ya karne.
Sasa unataka majukumu ya mwanaume afanye mwanamke ? Na ya mwanamke afanye nani?Huu msemo ni very common kwa baadhi ya wanawake, wanajua wakishaolewa zigo lote atabebeshwa mume. Yeye atapumzika, ndio maana wanaume tunakufa mapema.
Ukipata mwanamke was hivi umekula hasara ya karne.
MkuuHili niliskia kwa maskio yangu mawili, siku moja niko sokoni kununua mahitaji flani nikawa nimekaa mahali nasubiria nifungashiwe mzigo wangu!
Kuna demu moja bonge flani lina hips likawa linamwambia shangazi yake ambaye ndio ananiuzia vitu,,,,
“Yani kwa kweli anti maisha magumu bora hata wewe unakaanga kuku mi naona niolewe tu maana kazi nazo zishakuwa shida mwenzangu, bora niolewe nihudumiwe tu”
Nikawaza huyu atakaeoa hili demu atakuwa kala hasara asilimia 100%
Huyo demu ambaye kuolewa ndio last option kwake hapo sindio itakuwa mwendo wa kukulimbikizia mahitaji mpaka ya vocha ya kuingilia insta!Mkuu
Kwamba hawezi kubadilika😂😂😂
Hahahah ndomana nasema ngoja siku ujiteleMie hayanikuti sababu siwezi ruhusu upuuzi😅 wa kutembea na mwanamke maskini wa roho na akili!Hawa wanakuwaga pretenders sana.
A woman with a rich heart loves for real!
Me sijui kama nitaoa aseeHawa watu tuwe nao makini, ukishaanza kulitunza still bado litakufanyia kiburi linaona uvivu kutumwa, kupika na kukupa K!
Tatizo watakataa.Huu msemo ni very common kwa baadhi ya wanawake, wanajua wakishaolewa zigo lote atabebeshwa mume. Yeye atapumzika, ndio maana wanaume tunakufa mapema.
Ukipata mwanamke was hivi umekula hasara ya karne.
Sio poa mkuuNi gazeti ila nimejitahidi nimelimaliza . Ni kweli kabisa, hata tendo la ndoa ni wakati atakapojisikia, muda mwingi utasikia "nimechoka" kumbe kuna wanaomchosha huko nje. Wewe ni kanyaboya kwake, moyoni anajisemea anajuta kukutana na bogasi kama wewe. Na usipoangalia maisha yako ni mafupi, ili awe huru zaidi.
Haha, anajua kwa anavyokuganyia lazima uwahi kufa.Utaskia sasa ukifa mi na wanangu tutaishi vipi? [emoji23]
Mwanamke ana majukumu gani?Sasa unataka majukumu ya mwanaume afanye mwanamke ? Na ya mwanamke afanye nani?
Ningeandika hivyo pekee ningekuwa nimedharau hii issue, Hii issue ni kubwa acha niiandike kwa ukubwa zaidi.Sema na we jamaa jifunze kufupisha.
Ndoa inamnufaisha zaidi mwanamke kuliko mwanaume. Kwa kifupi hakuna faida ya ndoa kwa mwanaume.
Mwanamke itampa unafuu wa maisha lakini mwanaume itamuongezea majukumu zaidi.