Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
"Ukiona wapo kimya ujue ishu husika inawanufaisha. Women are very selfish creatures"Ukiona wapo kimya ujue ishu husika inawanufaisha. Women are very selfish creatures. Hata kwenye kampeni zao 50/50 huwa wanalenga mambo matamu tamu tu kama kurithi mali, uongozi, elimu, ajira n.k. Ikitokea vita ni wanaume tu ndo wanaenda kwenye uwanja wa mapambana njoo na hoja kwamba hii sio sawa na wanawake nao wana haki ya kupambambania nchi yao uone watakavyokupinga kama sio kuingia mitini kabisa
Hizo tuzo huwaga unatoa weweila kuna tuzo ya manamake kujifanya manaume kujilinganisha na wanaume
Tatizo lako wewe na wapinga ndoa mnashinda na wanawake, kamwe mwanaume aliyekamilika hawez mlalamikia mwanaume sababu hashindani naye"Ukiona wapo kimya ujue ishu husika inawanufaisha. Women are very selfish creatures"
💯🤝
Umeoa?Tatizo lako wewe na wapinga ndoa mnashinda na wanawake, kamwe mwanaume aliyekamilika hawez mlalamikia mwanaume sababu hashindani naye
Mkuu maisha ni changamoto na mwanaume kaumbiwa kupambana na changamoto kama unaogopa changamoto ni bora ukakubali kuhemewa kisogoniWalio kwenye ndoa kila siku wanakuja na nyuzi za kulalamikia wake zao kwa
(1)Kiburi na kukosa kuheshimiwa hasa mume akifulia
(2)Kuchapiwa wake zao
(3)Matumizi mabaya ya pesa
(4)Malezi mabaya kwa watoto
(5)Uvivu
(6)Ushirikina
(7)Kutoheshimu wakwe
(8)Mwisho wa siku talaka na
(9)Kugawana mali
Na mengine mengi hayo machache tu
Sijawahi kuona uzi mwanamume anasifia ndoa au mke wake kila siku ni malalamiko
Kuna sisi ambao hatutaki hizo hekaheka tumekuja na kampeni ya KATAA NDOA NDOA NI UTAPELI
Matusi ya nini mkuu? Sasa mambo ya kuhemewa kisogoni yanaingilianaje na mada iliyopo mezani. Twende kwa hoja.Mkuu maisha ni changamoto na mwanaume kaumbiwa kupambana na changamoto kama unaogopa changamoto ni bora ukakubali kuhemewa kisogoni
Acheni ujinga wa kumshambulia mtu badala ya kushambulia hoja. Mtoa mada kasema kwanini kampeni ya kataa ndoa ina mantiki kwa kuangazia suala la sheria. Mambo kama mali zigawanywe wakati aliezitafuta ni mwanaume, mwanamke anaweza kuchukua mkopo kwa jina la mumewe n.k ni unyonyaji njoo na hoja kuonesha izo sheria ni sawa. Shambulia hoja usimshambulie mtoa hojaTatizo lako wewe na wapinga ndoa mnashinda na wanawake, kamwe mwanaume aliyekamilika hawez mlalamikia mwanaume sababu hashindani naye
Baada ya kuchapiwa mke wake ndio akili zikarudi"Aliyesema ndoa ndoano, hivi huyu mjinga ni nani;
Kafanya nivue samaki kwenye bahari yenye sunami;"
Maneno ya Stamina hayo......
Hujamuelewa mtoa madaUnapinga ndoa then unapromote nini? Ushoga au unapinga ndoa na huna suluhu yake?
Kweli ndoa sio kwa kila mtu lakini usije na mabango yako hapa kupinga kusudi la Mungu, unataka tuwe na kizazi gani kisicho na wazazi wote wa kuwalea?
Ndoa ni kwa wanaume maskini. Ukiwa na hela wala hujisumbui na mambk ya ndoa. Wanawake wanjilengesha wenyewe tuu. Wee ni kabamiza bamiza tuu mbususu zao.Mimi nipo kwenye ndoa na ninapambana bila kuchoka nichomoke kwenye ndoa kutokana na mambo ya ndani ya ndoa yalivyo.
Nilikuwa kimya nasoma maoni ya wanaokataa ndoa na wanaoipa chapuo ndoa.
Hoja yangu imebase kwenye mantiki zolizowekwa na sheria. Sheria ya ndoa ya Tanzania inapeleka hasara kubwa kwa wanaume na kumfaidisha sana mwanamke.
KUna vitu vingi havijakaa sawa kwenye ndoa ambavyo vinawasababisha vijana kuwa bold and clear kukataa ndoa.
- Sheria ya ndoa inamtaka mwanaume kumtunza mke wakati wote wawapo kwenye ndoa
- Sheria ya ndoa inammilikisha mwanamke mali za mwanaume za ndani ya ndoa. Hapa maana yake jasho la mwanaume linagawanywa kuwa jasho la wanandoa wote wakati wa ndoa
- Endapo wakaamua kutalikiana, mwanaume hupewa gawio lisiloakisi jasho lake na mwanamke hupata gawiwo zaidi ya jasho lake.
- Sheria ya ndoa haimpi jukumu mwanamke ndani ya ndoa bali majukumu.yote anapewa.mwanamume
Tuzungumze maboresho ya sheria ya ndoa ndipo vijana waanze kurejea ndoani.
Mie.mwenyewe nataka leo kesho.kutemana na mwanandoa mwenzangu..
Eti ukomae na mbususu moja tu mpaka kifo kiwatenganishe ndo utafute nyingineNdoa ni kwa wanaume maskini. Ukiwa na hela wala hujisumbui na mambk ya ndoa. Wanawake wanjilengesha wenyewe tuu. Wee ni kabamiza bamiza tuu mbususu zao.
Mpumbavu wewe. Uko busy kuzuia ndoa ili kuhamasisha ndoa za jinsia moja. Una akili timamu?Mimi nipo kwenye ndoa na ninapambana bila kuchoka nichomoke kwenye ndoa kutokana na mambo ya ndani ya ndoa yalivyo.
Nilikuwa kimya nasoma maoni ya wanaokataa ndoa na wanaoipa chapuo ndoa.
Hoja yangu imebase kwenye mantiki zolizowekwa na sheria. Sheria ya ndoa ya Tanzania inapeleka hasara kubwa kwa wanaume na kumfaidisha sana mwanamke.
KUna vitu vingi havijakaa sawa kwenye ndoa ambavyo vinawasababisha vijana kuwa bold and clear kukataa ndoa.
- Sheria ya ndoa inamtaka mwanaume kumtunza mke wakati wote wawapo kwenye ndoa
- Sheria ya ndoa inammilikisha mwanamke mali za mwanaume za ndani ya ndoa. Hapa maana yake jasho la mwanaume linagawanywa kuwa jasho la wanandoa wote wakati wa ndoa
- Endapo wakaamua kutalikiana, mwanaume hupewa gawio lisiloakisi jasho lake na mwanamke hupata gawiwo zaidi ya jasho lake.
- Sheria ya ndoa haimpi jukumu mwanamke ndani ya ndoa bali majukumu.yote anapewa.mwanamume
Tuzungumze maboresho ya sheria ya ndoa ndipo vijana waanze kurejea ndoani.
Mie.mwenyewe nataka leo kesho.kutemana na mwanandoa mwenzangu..
[emoji2][emoji3] Mkuu me sijaoa, na wala sijawahi kupita kwenye ndoa,,, tena bado kijana mdogo sana ila nilichoandika nina-experience nacho kutoka kwa kaya nyingi tu.Watu mmevulugwa. Tatizo mlipenda misambwanda badala ya kupenda wanawake.
Tuliwashauri mkasema Bora shape tabia mtavumiliana sasa mbona mnazikimbia Ndoa?
Mimi nipo kwenye ndoa na ninapambana bila kuchoka nichomoke kwenye ndoa kutokana na mambo ya ndani ya ndoa yalivyo.
Nilikuwa kimya nasoma maoni ya wanaokataa ndoa na wanaoipa chapuo ndoa.
Hoja yangu imebase kwenye mantiki zolizowekwa na sheria. Sheria ya ndoa ya Tanzania inapeleka hasara kubwa kwa wanaume na kumfaidisha sana mwanamke.
KUna vitu vingi havijakaa sawa kwenye ndoa ambavyo vinawasababisha vijana kuwa bold and clear kukataa ndoa.
- Sheria ya ndoa inamtaka mwanaume kumtunza mke wakati wote wawapo kwenye ndoa
- Sheria ya ndoa inammilikisha mwanamke mali za mwanaume za ndani ya ndoa. Hapa maana yake jasho la mwanaume linagawanywa kuwa jasho la wanandoa wote wakati wa ndoa
- Endapo wakaamua kutalikiana, mwanaume hupewa gawio lisiloakisi jasho lake na mwanamke hupata gawiwo zaidi ya jasho lake.
- Sheria ya ndoa haimpi jukumu mwanamke ndani ya ndoa bali majukumu.yote anapewa.mwanamume
Tuzungumze maboresho ya sheria ya ndoa ndipo vijana waanze kurejea ndoani.
Mie.mwenyewe nataka leo kesho.kutemana na mwanandoa mwenzangu..
Tatizo mkitemana anaondoka na jasho lako jingi labda iwe hujawekeza sana.Mimi nipo kwenye ndoa na ninapambana bila kuchoka nichomoke kwenye ndoa kutokana na mambo ya ndani ya ndoa yalivyo.
Nilikuwa kimya nasoma maoni ya wanaokataa ndoa na wanaoipa chapuo ndoa.
Hoja yangu imebase kwenye mantiki zolizowekwa na sheria. Sheria ya ndoa ya Tanzania inapeleka hasara kubwa kwa wanaume na kumfaidisha sana mwanamke.
KUna vitu vingi havijakaa sawa kwenye ndoa ambavyo vinawasababisha vijana kuwa bold and clear kukataa ndoa.
- Sheria ya ndoa inamtaka mwanaume kumtunza mke wakati wote wawapo kwenye ndoa
- Sheria ya ndoa inammilikisha mwanamke mali za mwanaume za ndani ya ndoa. Hapa maana yake jasho la mwanaume linagawanywa kuwa jasho la wanandoa wote wakati wa ndoa
- Endapo wakaamua kutalikiana, mwanaume hupewa gawio lisiloakisi jasho lake na mwanamke hupata gawiwo zaidi ya jasho lake.
- Sheria ya ndoa haimpi jukumu mwanamke ndani ya ndoa bali majukumu.yote anapewa.mwanamume
Tuzungumze maboresho ya sheria ya ndoa ndipo vijana waanze kurejea ndoani.
Mie.mwenyewe nataka leo kesho.kutemana na mwanandoa mwenzangu..