Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
"Ukiona wapo kimya ujue ishu husika inawanufaisha. Women are very selfish creatures"Ukiona wapo kimya ujue ishu husika inawanufaisha. Women are very selfish creatures. Hata kwenye kampeni zao 50/50 huwa wanalenga mambo matamu tamu tu kama kurithi mali, uongozi, elimu, ajira n.k. Ikitokea vita ni wanaume tu ndo wanaenda kwenye uwanja wa mapambana njoo na hoja kwamba hii sio sawa na wanawake nao wana haki ya kupambambania nchi yao uone watakavyokupinga kama sio kuingia mitini kabisa
💯🤝