[emoji23][emoji23][emoji23] Kwakwel mambo ni mengii..
[emoji91] Watu hawataki ndoa ila wanataka kuzaa na kuwa na watoto[emoji16]
[emoji91]alafu hawataki single mothers[emoji23][emoji23][emoji23],
[emoji91]wala kuwa na watu waliolelewa na single parent kwamba watakua na malezi mabaya[emoji23][emoji23][emoji23] [emoji23]
[emoji91]wonders shall never end[emoji111]
Kwa hyo kuhimiza wanawake watunze bikra wapate ndoa nikuchukia wanawake?Wewe ni wale wanaochukia wanawake, watu toxic Km nyingi mlitakiwa msiwepo kny hii forum kuwa influence wengine upuuzi
Kulala na mke wa mtu nayo ni akili?? Au sijakuelewaSasa mbona tusio na ndoa ndo tunaishi na wake za watu kwa akil kuliko wame zao????
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mungu alipotuweza suala la toilet halina Rihanna wa jay z ni kazi moja hivo Sina stress kabisa[emoji23][emoji23][emoji23]
Nitakuelewa sna ukinipa faida 5 za ndoa kwa mwanaume
Nani anataka ndoa na wewe?? Nani??Hata ukiandika kigalatia hakuna ndoa.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]WAKUU, KAMPENI YA KATAA NDOA PEKEE HAITOSHI,TUkATAE PIA KUHONGA. KAMPENI IWE KUKATAA NDOA NA KUHONGA
Kataa NdoaNani anataka ndoa na wewe?? Nani??
Humu ndan naona anaongoza kwa stress...ati ameoa🙌🤣.hii kampen iko jf tu kila wknd ni harusi zinafungwa pole zaoHapo sasa.. Huyu mpuuzi ana allergy na feminist kwa kuwa mama yake alikua feminist
Soma mdogo mdogo.. utaelewaSheria ya Ndoa na kufunga Ndoa ni mfumo wa wanadamu sio MUNGU wala SHETANI kwa hio usichanganye mada kwamba wanaopinga Ndoa basi wanapingana na MUNGU, wanadamu wameunda hio sheria ya Ndoa sio MUNGU wala SHETANI alieunda SHERIA YA NDOA amka kutoka kwenye huo usingizi wa kifo,
Sheria ya Ndoa ni mbovu kuwahi kutokea ni Ina mambo yaliyopitwa na wakati inabidi ifanyiwe maboresho (updates), hicho ndicho kitu watu wanakizungumzia haswa wakihitaji sheria ya Ndoa ifanyiwe marekebisho maana kwa jinsi ilivyo ni sawa na sheria ambayo haitendi haki ni sheria ambayo bias zaidi kwa kuegemea upande mmoja tu, jaribu kuelewa kwanza ndio utoe maelezo
PAMBANA!Kataa Ndoa
😅😅 usinifanyie hivyo ewe mwanadamu .. mwisho wa mwezi huuMishahara who tena jamani😂😂😂
Wewe unafanya kampeni kama zile za anza na jogoo wawili baada ya mwaka watakuwa 100. Usijifananishe na hao beijing. Angalau wao wanapigania maslahi binafsi na usidhani zinafanyika bure, kuna bajeti, hao wa iran wanapigania maslahi ya kisiasa. Wewe utapiga keleeee na watu wataoa tu bila kujali athari zinazokufanya upige kelele.Kama hakuna hiyo kampeni mbona kampeni ya 50/ 50 imenasa dunia toa nchi kma Iran [emoji1130] na Afghanistan [emoji1023] na kwa nini mnaogopa tusishauri viumbe wngne wakati kila sku nyuzi za kulalamika mara mke wa ndoa kafanya hiv mara vile
Baba Paroko 😀😀😀Soma mdogo mdogo.. utaelewa
Mafarisayo kadhaa walimjia, wakamwuliza kwa kumtega, “Je, ni halali mume kumpa talaka mkewe kwa kisa chochote?”
Yesu akawajibu, “Je, hamkusoma katika Maandiko Matakatifu kwamba Mungu aliyemuumba mtu tangu mwanzo alimfanya mwanamume na mwanamke, na akasema: ‘Kwa sababu hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake, ataungana na mke wake, nao wawili watakuwa mwili mmoja?’
Kwa hiyo, wao si wawili tena bali mwili mmoja. Basi, alichounganisha Mungu, binadamu asikitenganishe.”
Lakini wao wakamwuliza, “Kwa nini basi, Mose alituagiza mwanamke apewe hati ya talaka na kuachwa?”
Yesu akawajibu, “Mose aliwaruhusu kuwaacha wake zenu kwa sababu ya ugumu wa mioyo yenu.
Lakini haikuwa hivyo tangu mwanzo. Basi nawaambieni, yeyote atakayemwacha mke wake isipokuwa kwa sababu ya uzinzi, akaoa mke mwingine, anazini.”
Wanafunzi wake wakamwambia, “Ikiwa mambo ya mume na mkewe ni hivyo, ni afadhali kutooa kabisa.”
Yesu akawaambia, “Si wote wanaoweza kulipokea fundisho hili, isipokuwa tu wale waliojaliwa na Mungu.
Maana kuna sababu kadhaa za kutoweza kuoa: Wengine ni kwa sababu wamezaliwa hivyo, wengine kwa sababu wamefanywa hivyo na watu, na wengine wameamua kutooa kwa ajili ya ufalme wa mbinguni. Awezaye kulipokea fundisho hili na alipokee.”
Yesu anawabariki watoto wadogo
Methali 6:32
Oeni mazee.. ndoa ina raha mazee.. apatae mke, hupata kibali mbele za Mungu pia.. karibu chamani mzee..Baba Paroko 😀😀😀
Ahsante!Methali 6:32
Mwanamume anayezini na mke wa mtu hana akili kabisa; huyo hujiangamiza yeye mwenyewe.
Wee nae chukua time huko, kwa nini hujaniuliza kwa nini nimesema hivyo...Kwa hyo kuhimiza wanawake watunze bikra wapate ndoa nikuchukia wanawake?