DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Kataa ndoa tunza Afya ya Akili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KATAA NDOA, NDOA NI UCHAWIMental case.
Naanza kuamini kwenye hili kundi kuna vijana mnazibuliwa mitaro.
Kataa ndoa, towa tako.KATAA NDOA, NDOA NI UCHAWI
DaaaahMnakufa kifo alichokufa Aman kipindi cha mfalme Ahasuelo, mfalme aliyemuoa Esther
Ni HAMAN sio AmanMnakufa kifo alichokufa Aman kipindi cha mfalme Ahasuelo, mfalme aliyemuoa Esther
Nashukuru mkuu kwa kunisahihishaNi HAMAN sio Aman
🫱🏼🫲🏽🫱🏼🫲🏽Nashukuru mkuu kwa kunisahihisha
Wasipoelewa na hapa, wajiandae kisaikolojia kwa kila jamboKATAA NDOA
NDOA NI WIZI
NDOA NI UTAPELI
KMMKE
Siku watakapokutana na mabalaa ndo wataelewa kwa sasa acha wawe bendera fata upepoWasipoelewa na hapa, wajiandae kisaikolojia kwa kila jambo
Sato anapenda kudeka sana mpwa😂Bado mchakato unaendelea. Tena kafika jana tu. Nishampa mwongozo hapa na leo jioni tutakutafuta mpwa. Tatizo ni huyo dkt maana anakaba mpaka penati. Juzi nikamwona anajibebisha kwako kisa eti ana mafua. Kwani wewe umegeuka hospitali? [emoji51][emoji51][emoji51]
Kama PM yako iko open sema nije nikutumie snaps zake leo umuone. Tunakutaka sana katika ukoo wetu mpwa [emoji91][emoji91][emoji91][emoji3590][emoji3590]
Akili kubwa 100 per CentBahati mbaya sana watetezi wa ndoa utetezi wao umejikita kwenye kejeri na dhiaka bila kupangua hoja za wanaokataa ndoa.
kama yamekushinda wewe mrudie mola wako, wacha tujaribu na sisi tujioneeOgopa sana mwanamke anayekulazimisha kumuoa, anayekupigia kelele kila muda za eti tuoane tuoane, mpaka unioe n.k
Anadai kuwa mke mdogo huyo ndiye amani ya moyo wake. Mke huyo humpatia tabasamu la moyo. Anadai tatizo la mke mkubwa ni chuki, visa na minuno isiyo na miguu
Kaka mkubwa, unafahamu anayokufanyia mkeo mdogo?
Kama una tabia ya kukagua simu ya mwanamke uache mara moja, na hiyo miaka 50+ uliyonayo utakuja kufa kiholo kama mbuzi wa kafara
Kaka mkubwa, kabla hatujafahamiana, hata mimi nimewahi kumtongoza huyo mkeo, ila nilikuja kukimbia hilo balaa baada ya kugundua kuwa huyo mwanamke ana damu ya dudu ya kujaribu mikuyenge ya kila aina
Kaka mkubwa, pesa unazompatia za matumizi anazitumia kuandaa msosi kwa ajili ya kijana mmoja mrefu hivi, mweupe na mvaa mi ear phone nyeupe ndefu na vipensi visivyoistili vyema mironjo yake. Kwa mtazamo, huyo kijana anao. Kama anampeleka mkeo peku, basi jua tu ushauvaa
Bado ana ka kibenteni kengine keusi keusi hivi ambako kanamfanyia visa vya hapa na pale. Unaporudi nyumbani na kumkuta mkeo yuko na majonzi, jua tu sio kwa sababu yako, bali ni maumivu anayopatiwa na huyo kijana
Kaka mkubwa, unagharamia sana aisee, chumba cha mkeo kimesheheni mali ndani. Pongezi sana, unamjali! Isingekuwa kuficha codes ningelikutajia pako vipi na nisingehitaji kujibu swali la nilifika vipi humo ndani
Kaka mkubwa, mkeo ana bahati ya mtende. Hujawahi hata siku moja kuwahi tukio. Mkeo anagegedewa kwenye kitanda chako, ila tu unapofika kwako, dakika tano nyuma, mkeo anakuwa amekwisha agana na kipande cha kidali chenye midevu yake
Kaka mkubwa, mkeo sio mkimya kama unavyomuona, wala usidhani kwamba anaogopa wanaume kama anavyoku act ia. Kaka, umepigwa. Nakuomba utulie hivyo hivyo kama unaogeshwa, ukikurupuka tu, kile kiwanja mlichonunua na kile kiduka cha nafaka mtakipiga pasu. Mkeo tayari kashaandaa mashambulizi, pia wanaume wawili wamekwisha weka hisa zao hapo
UJUMBE: KATAA NDOA, NDOA NI WIZI, NDOA NI USALITI, NDOA NI KIFO, NDOA NI ZAIDI YA SHETANI, NDOA NI JEHANAMU
KIJANA, UTAKUFA KINYAKYUSA. ACHANA NA NDOA
MTAKUJA KUNIKUMBUKA
Huna hoja na PhD uchwara umebakiza dhihaka, kebehi na kejeli Ila hoja kwa hoja unapigwa TKO moja matata sana hurudii tena,Kataa ndoa, towa tako, kutowa tako ndio akili.
Wanaoikubali ndoa ndo comment yao hiyo.kina nani sasa
[emoji3][emoji3][emoji3]Leo umepiga mke wa mtu
Wamejaribu wangapi ambao kwa sasa wanalia na kusaga meno? Wanatembea barabarani peke yao na kusonya, nusu wagongwe na magarikama yamekushinda wewe mrudie mola wako, wacha tujaribu na sisi tujionee
wewe siyo SI unit