Mjadala kwa wanaokataa Kuoa (Ndoa)

Mjadala kwa wanaokataa Kuoa (Ndoa)

Una oa ili ugundue nini sasa?


Baadhi ya wanawake ni mikosi, jela, ugonjwa wa akili na kifo cha kujitakia.

Nilijichanganya kuoa hadi leo ninepoteza kila kitu kasoro roho yangu ,now nimemkimbia kabisa naishi angalau kwa amani.

Ngoja nilee mtoto wangu tu. Na nabeba mahitaji simpi pesa. Dadeeeki.
Nahisi Mtukutu wa Nyaigela ataelewa baada ya kupitia hapa
 
Nashukuru kwa kuniongezea sababu za kuendelea kuwa mwenyewe. Kuna issue imewahi kunitokea miaka kadhaa iliyopita naomba niweke hapa kwenye uzi wako mkuu.
 
Nyie mnaopinga ndoa mnataka wanaume waishije?

Sababu kama huoi ni lazima utakuwa mtu wa kutembea hovyo na wan awake, huwezi bishana na maumbile! Hicho ndo mnakipigania?

Naamini hii no kampeni maalumu kupeleka watu wengi kuzimu, HII KITU SIO MZAHA TENA!
 
Nyie mnaopinga ndoa mnataka wanaume waishije?

Sababu kama huoi ni lazima utakuwa mtu wa kutembea hovyo na wan awake, huwezi bishana na maumbile! Hicho ndo mnakipigania?

Naamini hii no kampeni maalumu kupeleka watu wengi kuzimu, HII KITU SIO MZAHA TENA!
KATAA CHETI CHA NDOA
Ni mara mia uishi na mtoto wa mtu kwa makubaliano, mkipata mtoto msaidizane kulea. Usiweke mzigo ndani.

Epuka michango ya harusi, usikubali kupeleka sura yako kwa wazazi wa mwanamke kifwala

KATAA NDOA, NDOA NI USHENZI
 
Ogopa sana mwanamke anayekulazimisha kumuoa, anayekupigia kelele kila muda za eti tuoane tuoane, mpaka unioe n.k

Anadai kuwa mke mdogo huyo ndiye amani ya moyo wake. Mke huyo humpatia tabasamu la moyo. Anadai tatizo la mke mkubwa ni chuki, visa na minuno isiyo na miguu

Kaka mkubwa, unafahamu anayokufanyia mkeo mdogo?
Kama una tabia ya kukagua simu ya mwanamke uache mara moja, na hiyo miaka 50+ uliyonayo utakuja kufa kiholo kama mbuzi wa kafara

Kaka mkubwa, kabla hatujafahamiana, hata mimi nimewahi kumtongoza huyo mkeo, ila nilikuja kukimbia hilo balaa baada ya kugundua kuwa huyo mwanamke ana damu ya dudu ya kujaribu mikuyenge ya kila aina

Kaka mkubwa, pesa unazompatia za matumizi anazitumia kuandaa msosi kwa ajili ya kijana mmoja mrefu hivi, mweupe na mvaa mi ear phone nyeupe ndefu na vipensi visivyoistili vyema mironjo yake. Kwa mtazamo, huyo kijana anao. Kama anampeleka mkeo peku, basi jua tu ushauvaa

Bado ana ka kibenteni kengine keusi keusi hivi ambako kanamfanyia visa vya hapa na pale. Unaporudi nyumbani na kumkuta mkeo yuko na majonzi, jua tu sio kwa sababu yako, bali ni maumivu anayopatiwa na huyo kijana

Kaka mkubwa, unagharamia sana aisee, chumba cha mkeo kimesheheni mali ndani. Pongezi sana, unamjali! Isingekuwa kuficha codes ningelikutajia pako vipi na nisingehitaji kujibu swali la nilifika vipi humo ndani

Kaka mkubwa, mkeo ana bahati ya mtende. Hujawahi hata siku moja kuwahi tukio. Mkeo anagegedewa kwenye kitanda chako, ila tu unapofika kwako, dakika tano nyuma, mkeo anakuwa amekwisha agana na kipande cha kidali chenye midevu yake

Kaka mkubwa, mkeo sio mkimya kama unavyomuona, wala usidhani kwamba anaogopa wanaume kama anavyoku act ia. Kaka, umepigwa. Nakuomba utulie hivyo hivyo kama unaogeshwa, ukikurupuka tu, kile kiwanja mlichonunua na kile kiduka cha nafaka mtakipiga pasu. Mkeo tayari kashaandaa mashambulizi, pia wanaume wawili wamekwisha weka hisa zao hapo

UJUMBE: KATAA NDOA, NDOA NI WIZI, NDOA NI USALITI, NDOA NI KIFO, NDOA NI ZAIDI YA SHETANI, NDOA NI JEHANAMU

KIJANA, UTAKUFA KINYAKYUSA. ACHANA NA NDOA

MTAKUJA KUNIKUMBUKA
Sawa mimi ndio huyo kakamkubwa lakini hizi kampeni zenu zimekaa kishetani Sana. Nadhani mashoga Sasa wamepania kuhakikisha wanawake hawaolewi tena. Yaani shoga anakuwa na wivu wa ndoa za watu? Vijana mgutuke,hizi ni kampeni za kishetani.
 
Nakumbumbuka mwaka X nikiwa kidato cha pili mkoa fulani, nilikuwa nikiishi na mjomba, pale nyumbani kulikuwa na duka kwa mbele.

Duka hili lilikuwa la mpangaji wetu aliyekuwa akiishi nyumba za nyuma. Kila siku asubuhi kati ya saa mbili mpaka saa tatu alikuwa akipita mdada pale dukani kununua vitu vidogovidogo kama pipi, big G, pemba nk. Nilikuwa nikimcheki kila siku kupitia dirisha langu la chumbani. Siku moja nikamuomba funguo yule mama mwenye duka nikamhudumie mdada yule coz tamaa zilishaanza kuniingia.

Yule mama wa kisukuma hakuwa na neno akanipa key nikakaa mule dukani na kama kawaida yule dada akafika kutaka huduma. Nikamhudumia na kuomba namba ya simu akatia kilaini kabisa. Alivyopiga hatua kadhaa nikaanza kutembea nae kwa txt akawa anareply safi, na hata nilivyokuja kuomba mchezo kama baada ya siku tano mbele hakuwa mbishi.

Nikawa nakula hiyo mama palepale home. Siku moja akaniambia kwann usije kwangu ili tuwe huru? Kwanza nilishangaa na kumuuliza kwako au kwenu? Akacheka sana na baadaye tutkakubaliana juoni ile akitika dukani ataniambia niende hapo kwake.

Jioni ikafika akanicheki na kunielekeza nikaenda kumbe hapakuwa mbali hata na pale home. Kwanza nilivyofika nikashangaa mazingira ya mule ndani, ni kwamba ni pazuri kupitiliza na sikuwahi kuwaza kama huyu dada anaweza kuwa maisha ya aina hii pamoja na kumiliki duka kubwa la nguo ila nikaamua kujikaza kiume. Kuanzia siku hii pale kwa huyu dada pakawa nyumbani, nakuja muda naotaka, natoka myda naotaka mimi. Nilidumu katika maisha ya aina hii kwa miezi kama minne. Katika kipindi chote hiki sikuwahi kumsikia dada huyu akiongea na simu ya mwanaume, wala kutumiwa txt na mwanaume kitu kilichonifanya nijiachie kupitiliza. Lakini kuna kipindi nillkuwa nikibaki mwenyewe pale ndani yeye akiwa dukani najaribu kupekua kama nitakutana na nguo labda za mume wake kwani sikuwahi kuamini kama huyu mtu lile duka ndo linampa maisha ya aina hii. Lakini sikuona chochote zaidi kulikuwa na kabati moja kubwa limefungwa na funguo nilisaka sikupata nikaamua kupiga chini.

Siku moja nikiwa sebleni naangalia movie(hidden identity) mida ya ngoma saba usiku ndani ya boxer sebleni, niliskia mlango wa geti unagongwa na kuita jina la dada huyo(sauti ya kiume).

Kabla ya kwenda kufungua nilienda chumbani nikamkuta kadinzia ila simu yake inaita namba mpya, ilipokata nikaona namba hiyo ilikuwa ishapiga zaidi ya mara 12. Nikaogopa kwanza, ikabidi nimuamshe na kumuonesha ile simu yake. Asee yule dada alikuwa kama mwehu, akaanza kutapatapa huku na kule na kuongea hovyo,.

Nikamvuta sebleni na kumuuliza kuna nini, akjibu huyo ni mume wangu jagwar(jina la sio sahihi). Tulichangangikiwa wote, na kwa mazingira ya nyumba ile hakuna uwezo wa kuescape aliyeko nje ya get asikuone.

Ikabidi tuvae bomu na mama akafungue mlango, jamaa akaingia yupo full battle order(amevaa combat za JWTZ na nyota mbili mabegani. Alivyoingia na kunikuta hakuonesha kushtuka wala kushangaa ila alisema "relax mdogo wangu haya niliyategemea"

Jamaa akatukalisha kwenye kochi moja na yeye kukaa mbele yetu, akaaza kusema, " dogo kama ulijua huyu ni mke wa mtu, na ukaamua kufanya basi Mungu anajua, lakini kama hukujua huyu mwanamke ndio mwenye makosa sababu mke wa mtu hana alama usoni zaidi ya yeye kujitambua. Hapa upo kwangu, kakini mpaka picha yangu ukutani katoa sijajua huko chumbani kukoje na sitaki kujua. Cha msingi mdogo wangu kwa bahati nzuri wewe ni wa kiume kuna siku utafikahapa nilipo na utakutana na haya then utajua jinsi mimi ninavyosikia sasa hivi"

Aliongea mambo mengi sana ila mwisho akaondoka zake hata bila kuingia chumbani.

Niliogopa sana, nikasepa usiku huohuo kwenda home. Baada kama ya miezi miwili yule jamaa akanitafuta na kupiga na mimi kikao kikubwa sana.
 
Mimi binafsi nilishakataa ndoa tangu nipo darasa la sita baada ya kupokonywa demu kwa kuhongwa kalami 3 za mkaa!
 
Sawa mimi ndio huyo kakamkubwa lakini hizi kampeni zenu zimekaa kishetani Sana. Nadhani mashoga Sasa wamepania kuhakikisha wanawake hawaolewi tena. Yaani shoga anakuwa na wivu wa ndoa za watu? Vijana mgutuke,hizi ni kampeni za kishetani.
Hapana mkuu, mimi sio shoga. Nafanya hivyo ili kunusuru vifo visivyo na ulazima. Mwaka jana nimeshuhudia tukio la baba mmoja kumchoma visu vya macho mkewe wakati akiwa usingizini baada ya kukuta sms ikisema "Hakuna siku nime enjoy uchi wako kama siku ya leo, lakini si umeona ni jinsi gani nilivyo fundi? Nimekichapa aisee mpaka kimekuwa katerero"

Hiyo sms tuliikuta ikidisplay kwenye kioo cha simu ya mama huyo tulipokuwa na maafande tunakusanya mwili
 
Hapana mkuu, mimi sio shoga. Nafanya hivyo ili kunusuru vifo visivyo na ulazima. Mwaka jana nimeshuhudia tukio la baba mmoja kumchoma visu vya macho mkewe wakati akiwa usingizini baada ya kukuta sms ikisema "Hakuna siku nime enjoy uchi wako kama siku ya leo, lakini si umeona ni jinsi gani nilivyo fundi? Nimekichapa aisee mpaka kimekuwa katerero"

Hiyo sms tuliikuta ikidisplay kwenye kioo cha simu ya mama huyo tulipokuwa na maafande tunakusanya mwili
Nowdays usipokufa wewe utaua mtoto wa watu, kwanza hawana heshima kila kitu wanaiga. Kelele nyingi, mpe biashara ashike visenti au umkute na visenti vyake utasikia....


Mme wa nini mm nina biashara yangu!!! Unajiuliza anaolewa na biashara au!!
 
Nakumbumbuka mwaka X nikiwa kidato cha pili mkoa fulani, nilikuwa nikiishi na mjomba, pale nyumbani kulikuwa na duka kwa mbele.

Duka hili lilikuwa la mpangaji wetu aliyekuwa akiishi nyumba za nyuma. Kila siku asubuhi kati ya saa mbili mpaka saa tatu alikuwa akipita mdada pale dukani kununua vitu vidogovidogo kama pipi, big G, pemba nk. Nilikuwa nikimcheki kila siku kupitia dirisha langu la chumbani. Siku moja nikamuomba funguo yule mama mwenye duka nikamhudumie mdada yule coz tamaa zilishaanza kuniingia.

Yule mama wa kisukuma hakuwa na neno akanipa key nikakaa mule dukani na kama kawaida yule dada akafika kutaka huduma. Nikamhudumia na kuomba namba ya simu akatia kilaini kabisa. Alivyopiga hatua kadhaa nikaanza kutembea nae kwa txt akawa anareply safi, na hata nilivyokuja kuomba mchezo kama baada ya siku tano mbele hakuwa mbishi.

Nikawa nakula hiyo mama palepale home. Siku moja akaniambia kwann usije kwangu ili tuwe huru? Kwanza nilishangaa na kumuuliza kwako au kwenu? Akacheka sana na baadaye tutkakubaliana juoni ile akitika dukani ataniambia niende hapo kwake.

Jioni ikafika akanicheki na kunielekeza nikaenda kumbe hapakuwa mbali hata na pale home. Kwanza nilivyofika nikashangaa mazingira ya mule ndani, ni kwamba ni pazuri kupitiliza na sikuwahi kuwaza kama huyu dada anaweza kuwa maisha ya aina hii pamoja na kumiliki duka kubwa la nguo ila nikaamua kujikaza kiume. Kuanzia siku hii pale kwa huyu dada pakawa nyumbani, nakuja muda naotaka, natoka myda naotaka mimi. Nilidumu katika maisha ya aina hii kwa miezi kama minne. Katika kipindi chote hiki sikuwahi kumsikia dada huyu akiongea na simu ya mwanaume, wala kutumiwa txt na mwanaume kitu kilichonifanya nijiachie kupitiliza. Lakini kuna kipindi nillkuwa nikibaki mwenyewe pale ndani yeye akiwa dukani najaribu kupekua kama nitakutana na nguo labda za mume wake kwani sikuwahi kuamini kama huyu mtu lile duka ndo linampa maisha ya aina hii. Lakini sikuona chochote zaidi kulikuwa na kabati moja kubwa limefungwa na funguo nilisaka sikupata nikaamua kupiga chini.

Siku moja nikiwa sebleni naangalia movie(hidden identity) mida ya ngoma saba usiku ndani ya boxer sebleni, niliskia mlango wa geti unagongwa na kuita jina la dada huyo(sauti ya kiume).

Kabla ya kwenda kufungua nilienda chumbani nikamkuta kadinzia ila simu yake inaita namba mpya, ilipokata nikaona namba hiyo ilikuwa ishapiga zaidi ya mara 12. Nikaogopa kwanza, ikabidi nimuamshe na kumuonesha ile simu yake. Asee yule dada alikuwa kama mwehu, akaanza kutapatapa huku na kule na kuongea hovyo,.

Nikamvuta sebleni na kumuuliza kuna nini, akjibu huyo ni mume wangu jagwar(jina la sio sahihi). Tulichangangikiwa wote, na kwa mazingira ya nyumba ile hakuna uwezo wa kuescape aliyeko nje ya get asikuone.

Ikabidi tuvae bomu na mama akafungue mlango, jamaa akaingia yupo full battle order(amevaa combat za JWTZ na nyota mbili mabegani. Alivyoingia na kunikuta hakuonesha kushtuka wala kushangaa ila alisema "relax mdogo wangu haya niliyategemea"

Jamaa akatukalisha kwenye kochi moja na yeye kukaa mbele yetu, akaaza kusema, " dogo kama ulijua huyu ni mke wa mtu, na ukaamua kufanya basi Mungu anajua, lakini kama hukujua huyu mwanamke ndio mwenye makosa sababu mke wa mtu hana alama usoni zaidi ya yeye kujitambua. Hapa upo kwangu, kakini mpaka picha yangu ukutani katoa sijajua huko chumbani kukoje na sitaki kujua. Cha msingi mdogo wangu kwa bahati nzuri wewe ni wa kiume kuna siku utafikahapa nilipo na utakutana na haya then utajua jinsi mimi ninavyosikia sasa hivi"

Aliongea mambo mengi sana ila mwisho akaondoka zake hata bila kuingia chumbani.

Niliogopa sana, nikasepa usiku huohuo kwenda home. Baada kama ya miezi miwili yule jamaa akanitafuta na kupiga na mimi kikao kikubwa sana.
Dah
 
Hapana mkuu, mimi sio shoga. Nafanya hivyo ili kunusuru vifo visivyo na ulazima. Mwaka jana nimeshuhudia tukio la baba mmoja kumchoma visu vya macho mkewe wakati akiwa usingizini baada ya kukuta sms ikisema "Hakuna siku nime enjoy uchi wako kama siku ya leo, lakini si umeona ni jinsi gani nilivyo fundi? Nimekichapa aisee mpaka kimekuwa katerero"

Hiyo sms tuliikuta ikidisplay kwenye kioo cha simu ya mama huyo tulipokuwa na maafande tunakusanya mwili
Kama sio shoga sawa, lakini mashoga nao wanatembea Sana na kampeni hizi huku Jf na mitandao mingine ya kijamii. Na mara nyingi kampeni kama hizi zinasimamiwa na satanic church katika utekelezaji wa mpango mkakati wao New world order. Wengi tunaingia kukamilisha missions zao na kuzipigia debe Kwa kutokujua. Ila Mashoga na wasagaji ndo wasimamizi wa huu ujumbe kuhakikisha unawaingia watu kisawasawa.
 
Kama mama yako alipewa mimba kisela sela na wahuni bila ndoa au alibakwa bila ndoa una haki ya kukataa ndoa
Kama umeamua kuoa, fanya haya:
1) Epuka kushika simu ya mkeo. Kaa nayo mbali

2) Kabla ya kufika nyumbani, fikia kwenye kiduka kilichopo karibu na mazingira ya nyumbani kwako, kisha muite mkeo aje akupokee

3) Mfunze mkeo uongo na ujaribu kukubaliana nao. Akikwambie "Mume wangu, usiku wa leo nimekesha saluni, kulikuwa na foleni", sema TAWILE

4) Usinywe pombe nyingi. Mwisho jaribu kuwa na mchepuko huko nje kwa ajili ya kufidia maumivu

5) Usimuoneshe mkeo "Sensitive Mali" ulizonazo

Nikutakie maandalizi mema ya harusi yako. Nitakuja kukipiga cha mtume mkuu
 
Muda mwingine tuache utumwa wa kifikra, tukiongea vijana wasioe mnatwambia oohh mara mashoga,ooh mara ni uoga, ooh mara tutafute pesa, mara ooh dini inasemaje, mara ohh.

Kijana ogopa ku-OA, kuoa ni kujiweka hatarini, jela, utumwani, utakuwa bwege utachoka, ukicheza utachelewa kufanya maendeleo, ukicheza na BAADHI ya hawa viumbe utaingia madeni ufe na stress halafu yeye atafute mwingine.

Mwanamke kwanza una mvumilia kazi hata za ndani hajui vizuri, kitandani hajui anatega tu kama mtengo wa nungunungu, una vumilia, akili kichwani holaaa!! Unajitahidi kumvumilia na kumfundisha maisha holaaa!! Yaani ujinga ujinga tuu.

Halafu unaona kabisa UNANYONYWA PESA ZAKO unakuja kugundua sio UPENDO bali ni ujambazi tena sometimes wanashirikiana kupeana mbinu na WAZAZI. Mzazi anamwambia mwanae wa kike usizubae umepata mwanaume ana kazi nzuri na pesa usikae kijinga.

Mungu wanguu.!!! Nasema hivi hakuna KUOA.

HUU MSIMAZO WA VIJANA MUUACHIE WENYEWE KAMA UNATAKA KUOA AU USHAOA WEWE TUNAKUOMBEA MAISHA MEMA LAKINI SIO KUJA HAPA NA KUBEZA HOJA YA KUTOKUOA !!

HAKUNA KUOA NI KUKARIBISHA UMASIKINI NA KUHARIBU AFYA YAKO YA MWILI NA AKILI.

HAKUNA KUOA ,SIJUI TUNAELEWA??

Tafuta mwanamke zaa nae lea mtoto, kwenye malezi usilete ujinga wala kukwepa majukumu. Lea mtoto/watoto kwa haki kabisa, hudumia kabisa ndo picha zako zitakazobaki ukitangulia.

Usioe, zaa mtoto/watoto halafu LEA WATOTO WAKO!!
 
Nowdays usipokufa wewe utaua mtoto wa watu, kwanza hawana heshima kila kitu wanaiga. Kelele nyingi, mpe biashara ashike visenti au umkute na visenti vyake utasikia....


Mme wa nini mm nina biashara yangu!!! Unajiuliza anaolewa na biashara au!!
Dah, Mola atunusuru tu kwa kweli
 
Back
Top Bottom