utoto? ukikataa ndoa tambua unagusa mpaka wazazi wako.Ifike hatua mjikite kwenye kujibu hoja sio huu utoto.
Akatae mme asizae anaweza ?Hii ipo mahususi kwa sisi wakataa ndoa nin???[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] View attachment 2527350
Huu upuuzi wa eti unaogopa wazazi na jamii watakuonaje wakati ukifa wanakuja kukuzika ni ujinga.NDOA ni kwaajili ya wanaume dhaifu wasioweza kuishi wenyewe na kujitegemea, mwisho wa siku wanapata sonona wanakufa mapema.
Embu fikiria hoja kama usipooa eti uzeeni utateseka hutapata wakukuhudumia, sijui wapenda ndoa huwa wanawaza nini.
Fikiria tu unakutana na mwanamke mtu mzima, unamuoa, unaanza kuishi kwa wasi wasi akicheka na mwanaume unahisi hajiheshimu atakuwa analiwa [emoji23][emoji23] upuuzi tu.
Itokee mkeo huyo akaliwa na jamii ikajua, mzigo woote unatupiwa wewe mwanaume unaonekana bwege mzembe, wakati kaamua kuliwa yeye kwa starehe zake.
Mliooa komaeni na tabu yenu, tunajua mnatamani kuwa kama sisi ila mnaogopa wakwe na wake zenu. [emoji23][emoji23]
HER PAST BRO,
Huwa tunatizama historia yake bro
narudi wanaume huwa tunajali historia ya mwanamke hatujali kesho , hatujali atakuja kuwa tajir au nin!
wanawake huwa hawajali ulidate na nani body count yako ipoje, they don't give a damn about your excellent track record , your past behaviour mean nothing to her THEY ONLY BASE ON CURRENT ENERGY.
Her past will always come back and haunt you.
In summary, kataa kuwa mwanaume.
In summary, kataa kuwa mwanaume.
😅😅😅 mama atupe vijana ajira, vijana wanazidi kupagawa wanaaaza hovyo hovyo tuIn summary, kataa kuwa mwanaume.
Nasaka mwaka sasa 😅😅
Hivi hizo habari nilizozisikia sikia kule kwenye uzi pendwa zilikuwa za kweli? Are you serious? 😳😳😳Nasaka mwaka sasa 😅😅View attachment 2527424
Ni habari za kwel kabisa, toka october nilimaliza jambo hilo. Namshukuru Mungu haikuwa rahisiHivi hizo habari nilizozisikia sikia kule kwenye uzi pendwa zilikuwa za kweli? Are you serious? 😳😳😳
Hongera sana aisee.Ni habari za kwel kabisa, toka october nilimaliza jambo hilo. Namshukuru Mungu haikuwa rahisi
Kwakweli.😅😅😅 mama atupe vijana ajira, vijana wanazidi kupagawa wanaaaza hovyo hovyo tu
Amen. Mungu yupo upande wetu mkuu, hujachelewa huenda ndio yakawa majira yakoHongera sana aisee.
Nami nataka nijaribu japo ni kama nimechelewa kidogo. I think I have found the right person labda aje anibadilikie huku huku ndani....I am ready to give it my all and everything...
Mungu Yupo na Atubariki sisi ambao angalau tunajaribu kutimiza kusudi lake....[emoji1545]