Hannah
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 9,679
- 39,087
Sawa wewe una hela ya kutapeliwa au kunyonywa au kuibiwa?Sitaki Kutapeliwa, Sitaki Kunyonywa, Siibiwi mimi
Huo Ujinga mkawapige mazwazwa wasiojielewa
Au unamaanisha kuibiwa hisia?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa wewe una hela ya kutapeliwa au kunyonywa au kuibiwa?Sitaki Kutapeliwa, Sitaki Kunyonywa, Siibiwi mimi
Huo Ujinga mkawapige mazwazwa wasiojielewa
Ndoa Ni Ujambazi Uliorasimishwa na vitabu vyenu vya DiniSawa wewe una hela ya kutapeliwa au kunyonywa au kuibiwa?
Au unamaanisha kuibiwa hisia?
[emoji57][emoji57]Ndoa Ni Ujambazi Uliorasimishwa na vitabu vyenu vya Dini
Kataa Ujambazi
Kwani wakiongezeka kuna ubaya gankataa ndoaa mwishowe singo mama na singo dadi wataongezeka kwa kasi
Hao wanawake wazuri wasiofake tabia, wasio wanafki ili kupata ndoa tafuta mmoja uoe.Wanawake wabaya wa sura na shepu wanajificha kwenye kivuli cha tabia njema ila wapate ndoa , kijana shtuka huu ni unafiki wa hali ya juu .
Umenishauri vizuri mno , naomba nianze na wewe mamiiHao wanawake wazuri wasiofake tabia, wasio wanafki ili kupata ndoa tafuta mmoja uoe.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23] tafuta wa mtaani kwako humu utaangukia pua.Umenishauri vizuri mno , naomba nianze na wewe mamii
hamna ubaya wowote.Kwani wakiongezeka kuna ubaya gan
Wa mtaani kwangu !!! Kwani nyie ni wa kwenye Pluto?
Kuna dada apa jirani anapigwa na mumewe kavunjwa meno matatu ,ukimshauri asepe eti ana Linda ndoa ,utafikiri yeye ni mwenyekiti wa ndoa dunian .hamna ubaya wowote.
Wewe si unataka mwanamke mzuri, mwenye tacco sijui mavitu gani. Wa mtaani kwako ni rahisi zaidi sababu unakutana nao live kabla ya yote. Kama mimi zaidi ya maandishi humu umewahi kuniona ukajua hata nafananaje? Anzia mtaani kwako.Wa mtaani kwangu !!! Kwani nyie ni wa kwenye Pluto?
Uyasemayo niya kwel mkuu ila naonaga wanaume wanochukua wake wabay kisa tu tabia kma wanazingua , ndio maana mwisho wa sku wanakula bata na watoto wazur mama anashindia uji nikutesa viumbe tu.Wewe si unataka mwanamke mzuri, mwenye tacco sijui mavitu gani. Wa mtaani kwako ni rahisi zaidi sababu unakutana nao live kabla ya yote. Kama mimi zaidi ya maandishi humu umewahi kuniona ukajua hata nafananaje? Anzia mtaani kwako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unataka kuniambia wewe hata siku umeoa huyo mwanamke wako mkali, hutakula nje? Ni hulka ya wengi wenu. Alafu naamini kila mwanaume anajua nini anataka ndio mana utakuta mtu ana mke wa kawaida wewe ukamshangaa kumbe mwenzako pale ndio kapenda, pale ndio anapata amani hamna purukushani hivyo yaani. Akitaka minofu mikali ataitafuta.Uyasemayo niya kwel mkuu ila naonaga wanaume wanochukua wake wabay kisa tu tabia kma wanazingua , ndio maana mwisho wa sku wanakula bata na watoto wazur mama anashindia uji nikutesa viumbe tu.
Kwa hyo issue ya kuoa na kuendelea kuwinda wazur unaiunga mkono?Unataka kuniambia wewe hata siku umeoa huyo mwanamke wako mkali, hutakula nje? Ni hulka ya wengi wenu. Alafu naamini kila mwanaume anajua nini anataka ndio mana utakuta mtu ana mke wa kawaida wewe ukamshangaa kumbe mwenzako pale ndio kapenda, pale ndio anapata amani hamna purukushani hivyo yaani. Akitaka minofu mikali ataitafuta.
Sent using Jamii Forums mobile app
Siungi mkono katu. Hizo ni tabia za wengi wenu na hatuwezi kuwazuia.Kwa hyo issue ya kuoa na kuendelea kuwinda wazur unaiunga mkono?
Wanapatikana sasa mtoto mzuriHao wanawake wazuri wasiofake tabia, wasio wanafki ili kupata ndoa tafuta mmoja uoe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Siungi mkono ndoa na sitaki kabsa ndoa , ila mwanaume alie na ndoa then anataman pisi kali kama mimi tu huyo nae ni takataka tu , ni rahsi sna mtu mwenye ndoa kupata ukimwi na kuleta nyumban kuliko sisi barubaru watembeza virungu.Siungi mkono katu. Hizo ni tabia za wengi wenu na hatuwezi kuwazuia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa boss, hatuwezi kufanana. Kila mtu afurahie siku zake alizonazo duniani kwa namna anayoiona inafaa.Ni kwel mkuu kama una ndoa tulia tu mkuu sisi tumeamua tuzichakate bila kikomo kupanga ni kuchagua master.