Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,564
- 34,341
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu achana na hii mambo unatuwekea maneno mdomoni mkuu point [emoji117] apo ni moja tu kataa ndoa.1. KATAA NDOA ( HII KITU NI SAFI SANA)
2. KATAA KUNUNUA MALAYA
3. KATAA NEGOTIATION NA MASHOGA
4. KATAA KUANZISHA MAHUSIANO NA SINGLE MATHER/SINGLE MATHER PROMAX
5. KATAA KUTEMBEA NA WAKE ZA WATU
6. KATA KUFANYA MASTURBATION
7. KATAA KUANZISHA MAHUSIANO NA WACHEZA NGOMA, VIGODORO NA WATU WA SHUHURI(MADERA WACHEZA UCHI)
8. KATAA KUTUMA NAURI NA PESA ZA SALON, ISIPOKUWA KAMA NA YEYE ANATUMA NA YA KUTOLEA
9. KATAA KUONGEA SANA, KUJIBISHANA NA WANAWAKE
10. KATAA KUWATAFUTA WATU, WASIO KUTAFUTA
11. KATAA KUANZISHA MAHUSIANO NA WAVAA VIPINI NA VIKUKU, BREACH,SIKIO MOJA, HERENI 6, WAPIGA TATOO,
12. KATAA KUANZISHA MAHUSIANO NA WANAWAKE WASIO JISHUGHULISHA, MIZIGO PROMAX
13. KATAA KUSOMESHA MPENZI, MKE
14. KATAA KUJIBEMBELEZA SANA, KWA WANAWAKE ( TAFUTA PESA)
15. KATAA KUBEBA POCHI YA MWANAMKE NJIANI NI USALITI WA CHAMA
16. MWANAMKE AKIKUACHA, HAKUNA KURUDI TENA, KATAA UBWEGE
NI kupiga kazi, tafuta pesa, tafuta kibunda, wakumbuke wazazi wako, kula vizuri, fanya mazoezi, tembelea Mbuga za wanyama, Mrudie Mungu wako,nunua asset za viwanja na mashamba, anzisha biashara zako, weka mbali ndoa, weka mbali wanawake hawa sio ndugu zako wapende watoto wako.
Sawa rafiki.Siungi mkono ndoa na sitaki kabsa ndoa , ila mwanaume alie na ndoa then anataman pisi kali kama mimi tu huyo nae ni takataka tu , ni rahsi sna mtu mwenye ndoa kupata ukimwi na kuleta nyumban kuliko sisi barubaru watembeza virungu.
Mkuu Binadamu wote huwa tunafanya makosa. Sio kuwakosea tu wengine, hata sisi wenyewe tunajikosea. Unafanya jambo kwa ajili yako ila baadae unajilaumu kwann ulifanya. Huwezi kuwa mwovu kamili au mwema kamili. Mwema kuna maovu atayatenda na mwovu kuna mema atayatenda. We furahia maisha kwa namna inayofaa, kama kuwa na mke sio sehemu ya furaha yako basi usiwe naye.Sasa kwanini mtu aingie kwenye ndoa kimazingira ya nje aonekane smart ila nafsi ndio uovu..
Hii kitu ndio unaona kuna mtu anahangaika kwa makanisa na kinamwamposa ila ukimuona unajiuliza huyu kaenda kufanyaje mbna yupo smart hana makandokando ...kumbe mwenzio anayajua ya Moyoni aliyofanya kisirisiri nafsi imeshachoka kubeba maovu bora kuwa Black or white
Mshauri na mumewe awe anampiga kwa kanga na sio kumsokomezea bakora ama mingumii ka Ile ya mandongaKuna dada apa jirani anapigwa na mumewe kavunjwa meno matatu ,ukimshauri asepe eti ana Linda ndoa ,utafikiri yeye ni mwenyekiti wa ndoa dunian .
Yamenisibu mengi nikiendelea kuwa mbishi nitakufa wakati kuenjoy burebureKaribu kwenye chama, japo hujasema kilichokusibu.
Wazeee mlikuwa mnapata vyombo wacha sisi tuwe hivi hiviHasala ingine hiyo 😅😅😅
🥲🥲🥲🥲 dahWazeee mlikuwa mnapata vyombo wacha sisi tuwe hivi hivi
Uhamisishaji wa jambo hilini haufaiKATAAAA NDOA
NDOA NI UTAPELI
JALI AFYA YAKO