Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Liverpool mzee wa ndoa, welcome back....kilimo vipi ushapanda mazao???Najua yanayokukuta na TRUST ME, hutoweza kuanzisha nyuzi na kuondoka kwasababu unaiwaza jamii ITAKUCHUKULIAJE...!!!
#YNWA
Dogo unaweza ukaishi na mwanamke nyumba moja na ukawa unasalitiwa vizuri tu, suala ni akili ya mhusika mwenyewe hawala zero distance haiondoi kuchepukaWajumbeeee salama?
Ni yuleyule Mfichua maovu ili awanusuru vijana na hili JANGA la Ndoa.
Si mlishaambiwa ndoa NDOANO na MSIOE? Ila mmekuwa WABISHI..
Kwa ukweli halisi bila kuongeza Wala Kupunguza naomba kuongea na wewe ambaye .
1. Mkeo ni askari magereza anasoma chuo Iringa na wewe ni mwalimu Songea. Mkeo umempa ruhusa ya kusoma, akaishi off campus. Sasa huko ghetoni kwake kuna baharia anajilalia kama yeye ndio katoa mahari.
2. Mkeo ni mwalimu ndani ya moja ya wilaya mkoa wa Songwe, mkeo ni mweupe na anashape fulani amaizing. Basi Kuna kijana ni mtendaji wa kijiji kimoja yupo ndani ya kata hiyo hiyo anayofundisha mkeo. Baharia anasugua mbususu ya mkeo kama kaoa yeye.
3. Mkeo anafanyia kazi moja ya chuo Iringa, na wewe upo kazini Sumbawanga. Basi huko Iringa huko raia wanampindukia balaa na mkeo.
4. Mkeo ni askari magereza (rafiki wa 01) ambae anasoma chuo kimoja na 01. Na wewe mwanaume ni mwanajeshi JWTZ huko Morogoro. Yaaani baharia pamoja na kuwa una vaa magwanda yanayo ogopesha ila raia wanachomfanya mkeo huko Iringa, Dah ni machungu sanaa.
5. Mkeo anafanya Kazi private company ya kilimo huko Mngeta (Morogoro >> Ifakara ndani ndani hukoo) na wewe unaishi Morogoro mjini. Basi bana Kuna mabosi wa kampuni wanajilia kama wao ndio wamemuoa.
6. Mkeo ni mwalimu huko Iringa, Kilolo ndani ndani huko na wewe upo sijui wapi. Aisee mabaharia wanaruka nae hasaa. Na mkeo ana bahasha wake mtu mzima hasa.
Mkeo anasemaga "Yule Mzee nimpeleke wapi mi nataka pesa zake tu". Basi bana mkeo hua anasafiri kutoka Iringa mpaka Dodoma ili akakutane na huyo babu. Mkeo anatoa utamu, babu anatoa pesa.
7. Mkeo ni Nesi ndani ya Songwe na wewe ni mwalimu Tabora. Bana eeh Nesi bana anatibu mpaka visivyotibika huko.
7. Mkeo ni mwalimu ajira mpya za juzi ndani mkoa uliokaribu na mkoa wa Mbeya. Sasa bana mkeo kaolewa huko, Kuna baharia alimpokea na kamfanya mkewe.
8. Mkeo ni HR, mweusi na ana chura fulani hivi amaizing. Wewe ni muuza magodoro huko mjini ya wilaya aliyopo mkeo kama HR wa halmashauri. Bana eeh huko kazini mabaharia nao Wana mHR chumbani.
9. Mkeo ni mfanyakazi bandarini Tanga na wewe upo Dar. Aisee wasambaa wanaenda nae sawaa hasaaa.
10. Mkeo ana duka kubwaa Iringa mjini na wewe unaishi mafinga unafanya Kazi kampuni ya simu. Bana bana mabaharia huwa wanachangia sanaa mtaji pale.
11. Mkeo ni mama mchungaji. Ni mweupe na mzuri hasaa. Anasoma uchungaji moja ya chuo hapa nchini. Aisee Kuna raia ni mwanafunzi mmoja wapo hapo Chuoni huwa wanakemea sanaa nae mapepo chumbani.
12. Mkeo ni engineer na kapata ajira juzi tu. Aisee mkuu wa Idara ya ujenzi (Engineer mwenzake) kamuoa kabisaaa.
13. Mmmmh ni wengine aiseee ni wengi sanaaaa. Nimetembea sanaa na nimejionea mengii wafanyayo wake zenu walio mbali na upeo wa macho yenu. Hawa ndio niliokutana nao kwenye kuzurula kwangu na wengine nimewasahau.
Nachotaka kusema ni kwamba ""Wewe unayeishi mbali na mkeo, aiseee mabaharia A.K.A wakurungwa wanaruka nae hasaa""
Mabaharia hawana hurumaa kabisa na zile laki kadhaa wengine mpaka milioni huko mlizotoa za mahari.
Wao wanaruka nae bureee.
Note:-
1. Ukiamua kuoa hebu kaa na mkeo ndani ya paa moja.
2. Kama wote ni wafanyakazi basi lazima mmoja akubali kuacha Kazi ili kulea hiyo ndoa. Vinginevyo mwanaume mwenzangu utasaidiwa sanaaa.
Na ushauri uliomkuu ni kwamba...
ACHA KUOA KABISA, MTAKUFA KWA MAWAZO NA MATESO YA NAFSI.
Nikutonye kitu: Nimekua na safiri sanaa kununua mpunga mikoa ya Moro, Mbeya na Songwe. Sasa ipo siku nitawaletea NYUZI ya wake zenu wanayoyafanya tunapokua nao tukinunua mpunga.
Aisee wanachofanya na huku mmewaoa tena kwa ndoa halali dah sina la kusema zaidi ya ""Mungu saidia ndoa za hawa mabaharia wenzangu""
Halafu msisahau kutafuta hela; Yes money can't buy everything, ila HAKIKISHA una pesa nyingi kabla hujaropoka huu ujinga..!!!!
#YNWA
Uzi flan wa kibabe sana...hapa gold digger wote.Kwanza ashukuriwe bwana Mungu wetu kwa kutupa kibali Cha kuiona Leo hii tena.
Kwa harakaharaka tena bila kupepesa macho nitaushika usukani wa uzi huu nikiwapeleka moja kwa moja katika mada hii ya ufumbuzi au hoja juu ya maisha yetu ya mahusiano baina yetu Sisi wanaume na wenzetu wanawake.
Mimi ukiniuliza Mapenzi ni nini kwa kifupi nitajibu mapenzi ni upendo, Na ukiniuliza upendo ni nini nitakuambia ni hisia njema au matendo mema tuyafanyayo kwetu sisi na mazingira yaliyotuzunguka, Upendo wa kweli unaanzia kwenye hisia ndipo kwenda katika akili inayotuongoza kuufanya Upendo.
Ukiniuliza kuoa/kuolewa ni nini nitakujibu ni maridhiano baina ya watu wawili me na ke kuamua kuishi pamoja Kama mume na mke, Na pia ukiniuliza ndoa ni nini nitakujibu ni kiapo baina ya watu hao wawili walioamua kuishi pamoja Kama mume na mke, Kiapo hicho hufanyika kwa taratibu maalumu na kuhusisha mashahidi.
Sasa leo nataka kuwachambua Hawa wanawake wa kisasa ambao wamegeuza Mapenzi/Kuolewa/Ndoa Kama chanzo cha kujiingizia kipato au kufanya maisha yao yaende, Ni hivi kwa Sasa kusema ukweli kasi ya watu kuoana imepungua kwa kasi sana. Nasema hayo kwa utafiti wa harakaharaka nilioufanya kwa mfano: Kundi kubwa linalohudhuria kwenye maombi kwa yule Mchungaji wa Kawe, Asilimia kubwa ya wanawake wanaokwenda pale wanachokwenda kukifuata ni Muujiza wapate Kuolewa, Sasa mimi nilifikiri maybe wanataka kuolewa kwa lengo la Upendo na Kuijaza dunia pekee kumbe wanataka kuolewa kwa kuwa maisha ni Magumu.... (So sad kwa kweli)
Yaani ndio maana unakuta mwanamke anafanyiwa ukatili kwenye ndoa na mumewe, Anapigwa anacheatiwa lakini anavumilia kwa kuwa mwanaume ana hela, Mwanamke anaona bora avumilie mateso ila asiachwe na mtu mwenye hela, Ukifuatilia background ya mwanamke alishakutanaga na mwanaume mwenye Upendo wa kweli kwake Ila akamdump kwa kuwa mwanaume hakuwa na hela[emoji24][emoji24][emoji24]
Ubaya ni kuwa wanaume wameshagundua hilo that's why wanaume wa sasa washaona kuwa wanawake wote wapo kimaslahi tu, Ni ngumu kumkuta mwanaume anaefahamu tabia za wanawake wa kisasa akioa, Ukiona mwanaume anaoa ujue kakubali kujishusha, karogwa au umri umekwenda, Ila kwa dalili zinapoelekea naona ukosefu wa ndoa kabisa, Na haya yote yanasababishwa na wanawake wenyewe imagine wao ndo wapo wengi kuliko wanaume alafu badala akipata kampenzi kake atulie na akubaliane na hali ya maisha ya mpenzi wake yeye atataka kwenda na ukisasa ambao utamshinda mpenzi wake kumhudumia hali itakayomfanya mwanamke aamue kwenda kutafuta mwenye kuweza kumtimizia mahitaji yake, Yaani kiufupi wanawake wa sasa hawataki mwanaume mwenye Upendo bila pesa, Wao wapo radhi apate hata wa kumlala tu na kumpa pesa akakidhi mahitaji yake[emoji23][emoji23][emoji23] Mahitaji yao Sasa Kusuka, Kuosha kucha,Nguo nzuri, Vyakula vya Take Away Kfc, Outing Vacation yaani wadada wa sasa hivi nisikufiche unavyomuona Gigy Money,WemaSepetu na Uwoya na wengine wengi wasanii ndivyo wadada Hawa wanataka kuishi Kama wale kitu ambacho Ukifuatilia hao watu wanaishije utagudua kuwa Kweli Decor Bysco anasema ukweli, Technology imekuja kuua Upendo wa kweli kwa Sasa Upendo wa kweli ni kwenye vitu tu, Uliobaki wote ni fake... Tuanaamini upendo Kupitia Machapisho, likes na comments Ila in reality all are fakes.
Ewe kijana unaetaka kuoa kwa muda huu jiandae kisaikolojia Mimi kijana mwenzenu naongea Kupitia experience maana nimeshuhudia wanandoa wengi wanaume wakituchekea uwongo tulio single, Utamsikia " Ndoa tamu kijana jitahidi uoe" Ukimcheki ndevu zake kazisusa nywele zipo rafu kiufupi kajisahau mzee wa watu, Anajiproud mbele yenu Ila ukimchungulia kwa dirishani akiwa amekaa barazani kwake muda mwingi kashika tama alaf kaduwaa Ila mwanamke kanawiri kazi kubadili vijora na kuudhuria shughuli za mitaani, Ile mistari ya kibibilia iliyosema "Ishini nao kwa akili" hao walikuwa wanawake wa zamani, Wanawake wa zamani ilikuwa ukitumia tu akili unamuwin Ila wa sasa Cha kwanza unatakiwa Uwe na hela, Cha pili zisiishe, Cha tatu ndo utumie Akili Cha nne ujitahidi sana kumuomba Mungu wako akuepushe na roho za mauti.
Majuzi ni kama niliona chapisho wale watu wa haki za wanawake wakidai ipitishwe sheria ya wanaume kuwalipa wanawake zao mshahara[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nikacheka sana maana waliotoa Hilo wazo ni wanawake hawahawa, Nilicheka kwa kuwa niliona kuwa sasa wamechoka kujificha kuonesha kuwa Malengo ya wao kukubaligi kuolewa ni kujiingizia kipato Sasa wanakuja kidada wa kazi [emoji23][emoji23][emoji23] Au nisemeje wanajamvi? Sasa mtu ukimlipa Hadi mshahara hivi huyo atakuwa hata na mamlaka ya kukuuliza Jana ulilala wapi, Yaani unaanzaje kuniuliza Mimi boss wako nililala wapi?
Anyway sijakatisha mtu tamaa Ila nimeona tusimalize huu mwaka bila kuwakumbusha tu kuwa Kuoa na Kuolewa kumedondosha wanaume wengi chini, Sisi tuliobaki embu tujitunze na tuanze kuringa maana Hawa viumbe wapo wengi sana kwa sasa, We na kiherehere chako unajifanya unaoa are you sure umeridhika na huyo? Are sure Ni akili zako na hujarogwa? Are you sure hatutokupoteza? Hawa tunatakiwa tuwasuse Hadi wajifunze ili anapopata mume wamuheshimu, Maana wao wanahisi kwa kuwa kila anapopita anapigiwa mluzi ndo anapendwa kumbe wengine wapitaji tu.
Utamsikia "Oooh unasema hivyo kisa huna hela" narudi palepale wewe Kenge unamaanisha kabla ya hela hakukuwa na Mapenzi? Au kisa wewe nimekugusa niliposema hujui kutofautisha Upendo wa mtu na vitu? Hapa nimezungumzia ule Upendo wa kweli ndo maana mnapoapa Kiapo Cha ndoa wanasema "Shida na Raha" na sio "Umasikini na Utajiri".
Decor Bysco
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unamaanisha gold digger hapendi siri zake ziwe hadharani au?Uzi flan wa kibabe sana...hapa gold digger wote.
Watasingizia et hawana bundle [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
We ushashindwa hoja ... ,Ooh wapi imeandikwa mwanamke kazi yake kupika na kudeki?
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji23] washazoea kuwatapeli ma boya hawa Betta male.a.ka Nice guy..... Sasa wakifungua Uzi km huu wa Alpha male bhac wanajificha huko huko...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unamaanisha gold digger hapendi siri zake ziwe hadharani au?
For sure mzazi[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji23] washazoea kuwatapeli ma boya hawa Betta male.a.ka Nice guy..... Sasa wakifungua Uzi km huu wa Alpha male bhac wanajificha huko huko...
Ndio ndio.
Nafikiri sio mbaya ilimradi mmekubaliana tuu. Kwasababu mwanaume ana wajibu wa kumtunza Mwanamke kwahiyo Sio Ajira ndio mfumo ulivyo.. sasa akuzalie tuu watoto iwe halafu yeye ajitegemee impossible . Maana ya kuwa mime your responsibleKwanza ashukuriwe bwana Mungu wetu kwa kutupa kibali Cha kuiona Leo hii tena.
Kwa harakaharaka tena bila kupepesa macho nitaushika usukani wa uzi huu nikiwapeleka moja kwa moja katika mada hii ya ufumbuzi au hoja juu ya maisha yetu ya mahusiano baina yetu Sisi wanaume na wenzetu wanawake.
Mimi ukiniuliza Mapenzi ni nini kwa kifupi nitajibu mapenzi ni upendo, Na ukiniuliza upendo ni nini nitakuambia ni hisia njema au matendo mema tuyafanyayo kwetu sisi na mazingira yaliyotuzunguka, Upendo wa kweli unaanzia kwenye hisia ndipo kwenda katika akili inayotuongoza kuufanya Upendo.
Ukiniuliza kuoa/kuolewa ni nini nitakujibu ni maridhiano baina ya watu wawili me na ke kuamua kuishi pamoja Kama mume na mke, Na pia ukiniuliza ndoa ni nini nitakujibu ni kiapo baina ya watu hao wawili walioamua kuishi pamoja Kama mume na mke, Kiapo hicho hufanyika kwa taratibu maalumu na kuhusisha mashahidi.
Sasa leo nataka kuwachambua Hawa wanawake wa kisasa ambao wamegeuza Mapenzi/Kuolewa/Ndoa Kama chanzo cha kujiingizia kipato au kufanya maisha yao yaende, Ni hivi kwa Sasa kusema ukweli kasi ya watu kuoana imepungua kwa kasi sana. Nasema hayo kwa utafiti wa harakaharaka nilioufanya kwa mfano: Kundi kubwa linalohudhuria kwenye maombi kwa yule Mchungaji wa Kawe, Asilimia kubwa ya wanawake wanaokwenda pale wanachokwenda kukifuata ni Muujiza wapate Kuolewa, Sasa mimi nilifikiri maybe wanataka kuolewa kwa lengo la Upendo na Kuijaza dunia pekee kumbe wanataka kuolewa kwa kuwa maisha ni Magumu.... (So sad kwa kweli)
Yaani ndio maana unakuta mwanamke anafanyiwa ukatili kwenye ndoa na mumewe, Anapigwa anacheatiwa lakini anavumilia kwa kuwa mwanaume ana hela, Mwanamke anaona bora avumilie mateso ila asiachwe na mtu mwenye hela, Ukifuatilia background ya mwanamke alishakutanaga na mwanaume mwenye Upendo wa kweli kwake Ila akamdump kwa kuwa mwanaume hakuwa na hela[emoji24][emoji24][emoji24]
Ubaya ni kuwa wanaume wameshagundua hilo that's why wanaume wa sasa washaona kuwa wanawake wote wapo kimaslahi tu, Ni ngumu kumkuta mwanaume anaefahamu tabia za wanawake wa kisasa akioa, Ukiona mwanaume anaoa ujue kakubali kujishusha, karogwa au umri umekwenda, Ila kwa dalili zinapoelekea naona ukosefu wa ndoa kabisa, Na haya yote yanasababishwa na wanawake wenyewe imagine wao ndo wapo wengi kuliko wanaume alafu badala akipata kampenzi kake atulie na akubaliane na hali ya maisha ya mpenzi wake yeye atataka kwenda na ukisasa ambao utamshinda mpenzi wake kumhudumia hali itakayomfanya mwanamke aamue kwenda kutafuta mwenye kuweza kumtimizia mahitaji yake, Yaani kiufupi wanawake wa sasa hawataki mwanaume mwenye Upendo bila pesa, Wao wapo radhi apate hata wa kumlala tu na kumpa pesa akakidhi mahitaji yake[emoji23][emoji23][emoji23] Mahitaji yao Sasa Kusuka, Kuosha kucha,Nguo nzuri, Vyakula vya Take Away Kfc, Outing Vacation yaani wadada wa sasa hivi nisikufiche unavyomuona Gigy Money,WemaSepetu na Uwoya na wengine wengi wasanii ndivyo wadada Hawa wanataka kuishi Kama wale kitu ambacho Ukifuatilia hao watu wanaishije utagudua kuwa Kweli Decor Bysco anasema ukweli, Technology imekuja kuua Upendo wa kweli kwa Sasa Upendo wa kweli ni kwenye vitu tu, Uliobaki wote ni fake... Tuanaamini upendo Kupitia Machapisho, likes na comments Ila in reality all are fakes.
Ewe kijana unaetaka kuoa kwa muda huu jiandae kisaikolojia Mimi kijana mwenzenu naongea Kupitia experience maana nimeshuhudia wanandoa wengi wanaume wakituchekea uwongo tulio single, Utamsikia " Ndoa tamu kijana jitahidi uoe" Ukimcheki ndevu zake kazisusa nywele zipo rafu kiufupi kajisahau mzee wa watu, Anajiproud mbele yenu Ila ukimchungulia kwa dirishani akiwa amekaa barazani kwake muda mwingi kashika tama alaf kaduwaa Ila mwanamke kanawiri kazi kubadili vijora na kuudhuria shughuli za mitaani, Ile mistari ya kibibilia iliyosema "Ishini nao kwa akili" hao walikuwa wanawake wa zamani, Wanawake wa zamani ilikuwa ukitumia tu akili unamuwin Ila wa sasa Cha kwanza unatakiwa Uwe na hela, Cha pili zisiishe, Cha tatu ndo utumie Akili Cha nne ujitahidi sana kumuomba Mungu wako akuepushe na roho za mauti.
Majuzi ni kama niliona chapisho wale watu wa haki za wanawake wakidai ipitishwe sheria ya wanaume kuwalipa wanawake zao mshahara[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nikacheka sana maana waliotoa Hilo wazo ni wanawake hawahawa, Nilicheka kwa kuwa niliona kuwa sasa wamechoka kujificha kuonesha kuwa Malengo ya wao kukubaligi kuolewa ni kujiingizia kipato Sasa wanakuja kidada wa kazi [emoji23][emoji23][emoji23] Au nisemeje wanajamvi? Sasa mtu ukimlipa Hadi mshahara hivi huyo atakuwa hata na mamlaka ya kukuuliza Jana ulilala wapi, Yaani unaanzaje kuniuliza Mimi boss wako nililala wapi?
Anyway sijakatisha mtu tamaa Ila nimeona tusimalize huu mwaka bila kuwakumbusha tu kuwa Kuoa na Kuolewa kumedondosha wanaume wengi chini, Sisi tuliobaki embu tujitunze na tuanze kuringa maana Hawa viumbe wapo wengi sana kwa sasa, We na kiherehere chako unajifanya unaoa are you sure umeridhika na huyo? Are sure Ni akili zako na hujarogwa? Are you sure hatutokupoteza? Hawa tunatakiwa tuwasuse Hadi wajifunze ili anapopata mume wamuheshimu, Maana wao wanahisi kwa kuwa kila anapopita anapigiwa mluzi ndo anapendwa kumbe wengine wapitaji tu.
Utamsikia "Oooh unasema hivyo kisa huna hela" narudi palepale wewe Kenge unamaanisha kabla ya hela hakukuwa na Mapenzi? Au kisa wewe nimekugusa niliposema hujui kutofautisha Upendo wa mtu na vitu? Hapa nimezungumzia ule Upendo wa kweli ndo maana mnapoapa Kiapo Cha ndoa wanasema "Shida na Raha" na sio "Umasikini na Utajiri".
Decor Bysco
Sio ajitegemee mkuu, ukisoma uzi ukaulewa ni kwamba unaeleza kuwa ni jinsi gani wanawake wa sasa wanajali vitu kuliko utu, je, ndivyo Mungu alivyoagiza hivyo... Kwamba wanawake waishi na wanaume kwa sababu ya mali au pesa mwanaume alizo nazo? Na kama akiwa tegemezi kwako kiasi Cha kushindwa na yeye kutengeneza mwenyewe, vipi ikitokea mwanaume Hana uwezo wa kupeoduce tena? Au vip mwanaume akifariki akamuachia watoto? Huyo mwanamke ataleaje kama asipodanga kwa kuwa amezoea kupewa tu na kutafuta hajuiNafikiri sio mbaya ilimradi mmekubaliana tuu. Kwasababu mwanaume ana wajibu wa kumtunza Mwanamke kwahiyo Sio Ajira ndio mfumo ulivyo.. sasa akuzalie tuu watoto iwe halafu yeye ajitegemee impossible . Maana ya kuwa mime your responsible
Tunachojaribu kushauri ni wanawake kuacha kuwa tegemezi kwa wanaume.Nafikiri sio mbaya ilimradi mmekubaliana tuu. Kwasababu mwanaume ana wajibu wa kumtunza Mwanamke kwahiyo Sio Ajira ndio mfumo ulivyo.. sasa akuzalie tuu watoto iwe halafu yeye ajitegemee impossible . Maana ya kuwa mime your responsible