Liverpool VPN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2020
- 6,958
- 16,358
- Thread starter
- #461
Mi sitomb* shoga aisee....!!!!Kama vipi aoe wanaume wenzie kama anaona akituoa sisi tutafaidi sana
#YNWA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi sitomb* shoga aisee....!!!!Kama vipi aoe wanaume wenzie kama anaona akituoa sisi tutafaidi sana
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kanakera Sana haka kavulana
Umeshaoa??Mwanamke anahitaji mwanaume mbabe, mshenzi asiye na huruma
Ukijifanya Mr.love umekwenda na maji.
Usiwajali watoto kuliko kujijali wewe MWENYEWE. Hawatakusaidia lolote.
Jifunze kuwa Mwanaume ndipo uoe.
Usiendeshwe na maneno ya Mwanamke.
Akikuzingua mara moja tambaa naye mara elfu mpaka Ajue amekosea njia.
Timua
Usipotimua utatimuliwa.
Mtu ni mwanaume bado mwanamke akusumbue huo ni upumbavu
Kumroga mwanamke sio kutumia talasimu wala kwenda kwa waganga bali ni kujua namna ya kumzungushia mjegejeo!Wanaume wenzangu bhana mnahangaikaaaa!!!
Ukitaka kuishi kwa amani na furaha ndani ya ndoa Bila kuona mdomo mrefu, makelele yasiyo na maana , ugomvi wa hovyohovyo Bila sababu maalumu kitu unachotakiwa kukifanya ni
"KUMROGA" narudia "MROGE"
Hii ndio maana ya kuishi nao kwa AKILI
Mnafikiri tulivyoambiwa tuishi nao kwa akili ni akili ipi mnadhani?
Acheni kupata tabu
Ukiona anaanza makelele na ugomvi unaenda kuongeza nyundo (UPDATE)
Hadi unakufa hutopata tabu ndani ya ndoa
Naona watu wengi mambo yakiwaharibikia wanamsingizia shetani wakati shetani hana Ubaya wowote kama lawama zinatakiwa zimuendee Mungu kwanini alishindwa kuumba ulimwengu usiokuwa na maovu na mabaya
Waaoooo...kumbe hujaolewa...!!!! Njoo nikuwowe ndoa ya mkataba lakiniBila kukaza huyu jamaa atafanya nchi nzima tusiolewe
Sijachuja kiasi hicho,, jioe mwenyewe na jipe mkataba mwenyeweWaaoooo...kumbe hujaolewa...!!!! Njoo nikuwowe ndoa ya mkataba lakini
Tunasaini mwezi mmoja mmoja
Sasa wewe unataka kuolewa au hutaki?Sijachuja kiasi hicho,, jioe mwenyewe na jipe mkataba mwenyewe
Kuolewa na wewe, SITAKISasa wewe unataka kuolewa au hutaki?
Ukute unanikataa sababu ya Fake ID, ila ndo upo kwenye mahusiano na mimi na unatamani nikuoeKuolewa na wewe, SITAKI
Helooooo, 😅😅😅nimeolewa halafu Mr wangu hajui kuandika kiswahiliUkute unanikataa sababu ya Fake ID, ila ndo upo kwenye mahusiano na mimi na unatamani nikuoe
acha zako wewe hujaolewa bado kubali nikuoe kimasihara, ukiwa na tabia njema tutatenganishwa na kifoHelooooo, 😅😅😅nimeolewa halafu Mr wangu hajui kuandika kiswahili
Kuna mmoja huko wakati anagongana na mkewe, mkewe kamtaja Alex..!!Ndoa ni kwa ajili ya wanaume wenye akili tu!
I love you girl.Wewe ambae hutaki kuoa usioe na vile sio lazima. Wanaotaka kuoa wataoa na wasiotaka pia hawataoa kila mtu ana machaguo yake.
Sent using Jamii Forums mobile app