Mjadala kwa wanaokataa Kuoa (Ndoa)

Mjadala kwa wanaokataa Kuoa (Ndoa)

Kwa dunia ya sasa bro kama umemuoa kikubwa anakupea na heshima anakupa maana hata nduguzo anaweza asiwaheshimu

Angalia nafasi yako mambo ya kufuatilia unaweza usioe kwa sana ndoa na mapenzi kwa sisi vidume hatuwezi kuoa au kutembea na demu hatuvutiwi nae kimaumbile ila wanawake wanaweza labda unazo pesa ila mchafu hapo atachuna pesa na ana kajama kabishoo ka pembeni
 
Tumeambiwa tuishi nao kwa akili; Swala la ndoa ukilijadili ni kitu chenye wigo mpana sana, na anachokifanya huyo jamaa kwa aliye nje ya ndoa utaona kama anakosea lakini kwa upande mmoja au mwengine ni afadhali ya yeye aliyeoa, hayo mengine ni matokeo ya kawaida tu ndoani. Kwa upande mwengine wa imani yetu waislam tunasema ndoa ni nusu ya dini, kwani ibada na mambo mengine akiyafanya mtu asiye na ndoa malipo yake ni tofauti na akiyafanya aliyeoa.
Endelea kujipa moyo kwamba kuwa na pesa ni kila kitu maishani lakini ukweli utabaki pale pale furaha ya maishani ni kuwa na ndoa na kubarikiwa watoto wema.
 
Mwanamke anahitaji mwanaume mbabe, mshenzi asiye na huruma

Ukijifanya Mr.love umekwenda na maji.

Usiwajali watoto kuliko kujijali wewe MWENYEWE. Hawatakusaidia lolote.

Jifunze kuwa Mwanaume ndipo uoe.

Usiendeshwe na maneno ya Mwanamke.

Akikuzingua mara moja tambaa naye mara elfu mpaka Ajue amekosea njia.

Timua
Usipotimua utatimuliwa.

Mtu ni mwanaume bado mwanamke akusumbue huo ni upumbavu
Umeshaoa??
 
Wanaume wenzangu bhana mnahangaikaaaa!!!
Ukitaka kuishi kwa amani na furaha ndani ya ndoa Bila kuona mdomo mrefu, makelele yasiyo na maana , ugomvi wa hovyohovyo Bila sababu maalumu kitu unachotakiwa kukifanya ni
"KUMROGA" narudia "MROGE"
Hii ndio maana ya kuishi nao kwa AKILI
Mnafikiri tulivyoambiwa tuishi nao kwa akili ni akili ipi mnadhani?
Acheni kupata tabu
Ukiona anaanza makelele na ugomvi unaenda kuongeza nyundo (UPDATE)
Hadi unakufa hutopata tabu ndani ya ndoa
Kumroga mwanamke sio kutumia talasimu wala kwenda kwa waganga bali ni kujua namna ya kumzungushia mjegejeo!
 
Ukute unanikataa sababu ya Fake ID, ila ndo upo kwenye mahusiano na mimi na unatamani nikuoe
Helooooo, 😅😅😅nimeolewa halafu Mr wangu hajui kuandika kiswahili
 
Back
Top Bottom