min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Kuna tofauti ya kuishi na mwanamke na kufunga ndoa apa tunachokataa ni ndoa ya mavyeti na kusaini kisheria.Hawo wote wasiotaka ndoa Kuna walioaminishwa ni mbaya, waliotendewa na wanawake wasiotulia,wengine ni Malaya, wengine ni mashoga, wengine ni wanaona hela zikatumike ni haiwezekani