Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
MAIGIZO: kinachofuata hapo ni kugongewa na kubambikiwa mimba
KATAA NDOA
NDOA NI USANII
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MAIGIZO: kinachofuata hapo ni kugongewa na kubambikiwa mimba
😂😂😂😂 Utajua sasa sisi huku bible tu plus kukupaka wese utashushia water la mwamposaNina usinga yeyote mjinga mjinga anayejaribu kichakata mke lazima awe na matako laini laini
Mke wa mtu sumu chunga sana🤣
Kikosi kinapanukaaaaa tuNaam,, mwamba huyu hapa [emoji4] kikosi kinazidi kukua tu.
Kama unatumia web au ile app mpya kwenye kila message unayoona bonyeza +quote baada ya kubonyeza kwa message zote ulizoona unataka kureply rudi chini sehemu ya kuandika reply bonyeza insert quote kisha insert baada ya hapo unajibu moja moja unareplyNaomba kuuliza
Hivi ukitaka ku-reply watu wengi kama hv kwa mara moja kama ulivofanya hapa unafanyeje fanyeje?
Hehehe et walewale poleeeeeUtakuwa walewale. Pole
😂😂😂 Mkuu hivyo ni kupoteza mda huwezi quote message nyingi kwa njia hiyoUnaandika kisha unabonyeza Reply kwa kila moja...
Km hivi hapo umeona lakini?
Hivi km hivi si unaona?
Kabisaaaa mkuuMtajiunga wengi kwa chama ni swala la muda tu
Kataaaa ndooooaaaaNDOA NI UTAPELI KAMA WA QNET TU KATAA KWA MOYO WOTE wanawake washakua wangese siku hizi tamaa mbele kujikuta kina kim kardashian wanataka mapenz ya wakorea wakat tuko TZ aisee kwa mliioa miaka ya 80 huko hongera kwenu ila kuanzia 90 huku usijaribu KATAA NDOA KATAA NDOA NASEMAJEEE KATAA NDOA NASEMAJEE KATAA WANAWAKE ZENU TUNAWALA MNO NA WANAWASEMA VIBAYA SANA
Nimekaribia mkuuKaribu kwenye chama la wana mkuu.Tupo tumetulizana
#kataandoa
Sio kweliMAIGIZO: kinachofuata hapo ni kugongewa na kubambikiwa mimba
KATAA NDOA
NDOA NI USANII
🤣🤣🤣🤣Tunawachakata sana na hamna kitu watafanya.
Ndio hali halisi ilivyo katika ndoa za siku hiziSio kweli
Sio kweliNdio hali halisi ilivyo katika ndoa za siku hizi
Fresh tu sio[emoji3][emoji3]nitamuoa Martina mkimgonga fresh tuu[emoji1787][emoji1787]
Yee manFresh tu sio[emoji3][emoji3]
Ukioa utaweza kuvumilia misondo ya akina momo kweli? 😀Sio kweli
Kila kitu kwenye maisha kina mwisho.. kila jambo tulifanyalo lina mwisho.. na mwisho unaweza kuwa mmbaya au mzuri.. Lazima ifikie ukomo kwa yale mabaya na tuanze kuishi na kuyapenda memaUkioa utaweza kuvumilia misondo ya akina momo kweli? 😀
Poa usisahau kunitambulisha mkeo shemu wanguKila kitu kwenye maisha kina mwisho.. kila jambo tulifanyalo lina mwisho.. na mwisho unaweza kuwa mmbaya au mzuri.. Lazima ifikie ukomo kwa yale mabaya na tuanze kuishi na kuyapenda mema
Ukute pimbi alieandika hivi nae katoka kwenye hiyohiyo ndoa[emoji23][emoji23][emoji23]Ewe mwanaume mbishi mbishi ambae hutaki kusikia.. nakuambia hivi oa alafu tukugongee mke wako na tukusaidie kumjaza mimba na kumzalisha ili akili ikukae sawa ....
Sasa endelea kushupaza shingo tutakuchapia mpaka ujue kwanini tunasema wanawake ni mapepo
Shauri yenu waoaji...
Hapana, siwezi fanya hivyo mke wangu ni wa thamani sana kwangu. Namtunza kama uhai wangu na mboni ya kicho languPoa usisahau kunitambulisha mkeo shemu wangu
Aliyekuka-ririsha mtoto anapatikana kwenye ndoa tu ni nani uyo???Mungu awaponye vijana wetu na mawazo mabaya kama haya......mmeibuka siku za karibuni na thread za kijinga sana...Wazazi wenu wasingeoa mngepatikanaje.....