uttoh2002
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 17,060
- 32,400
Ukiacha ngono, tu-pesa pesa na tu-vitu vitu kijana wa kiume hana namna nyingine ya kuanzisha na kukuza uhusiano.
Mtoto wa kike naye anaona ‘asitumiwe’ bure —uhusiano ni bills. Uchumi ndio unaamua ‘afya’ ya mahusiano.
Halafu tunajiuliza kwa nini mahusiano hayafiki mbali.
Umri wako?