Mwanamke anaweza kumpenda sana mwanaume fulani, lakini kama mwanaume huyo hayupo tayari au anasuasua kumuoa ataolewa na mwanaume aliye tayari kumuoa.
Wazungu wanasema women marry the available men. When it comes to women, they settle for who's ready not who they love.
Huyo mwanamke uliyemuoa sio kwamba anakupenda ni wewe tu ulikuwa na kimbelembele cha kumuoa ulikuwa available man.
Love and marriage is two big gap when it comes to women
Mwanamke kuwa tayari kuolewa nawe sio kwamba anakupenda ni utapeli tu.
Yule mwanaume aliyempenda lakini hakuolewa naye atakuchapia sana mkeo.