Mjadala kwa wanaokataa Kuoa (Ndoa)

Mjadala kwa wanaokataa Kuoa (Ndoa)

Hoja yake ni denied au argued!
Hoja yake ni hoja nzuri tu and it can't be denied maana tunaona wanawake wakifanya hayo wazi wazi.
Kuna jamaa mmoja tupo nae huku chaka alioa dada ambaye tayari ana mtoto akampa maisha. Baadae anakuja kugundua Kumbe Kuna jamaa ana mega halafu hata sio yule aliyezaa nae. Hapo hata 100 yaani anamega Bure kabisa.
 
Hoja yake ni hoja nzuri tu and it can't be denied maana tunaona wanawake wakifanya hayo wazi wazi.
Kuna jamaa mmoja tupo nae huku chaka alioa dada ambaye tayari ana mtoto akampa maisha. Baadae anakuja kugundua Kumbe Kuna jamaa ana mega halafu hata sio yule aliyezaa nae. Hapo hata 100 yaani anamega Bure kabisa.
Inauma sana.Anamega kisela?Halipi hata ya uchakavu wa godoro?Halooo!
 
"Mwanamke kuwa tayari kuolewa na wewe sio kwamba anakupenda, ni utaperi"
This is very general bro! How do you know! We ni mtabiri au Dokta wa sycologia?
Na huu utafiti wako,ni kwa TZ peke take, au, unavuka mipaka? Au, ni Dar peke yake,mwisho chalinze!
Ndoa ni swala, pana, pesa ni muhimu, ukwasi, ni, muhimu ndoa, inawili,kijanq anaanza kufanya ngono akiwa, shule ya msingi miaka 12,sekondsry, chuo,mpaka anaolewa ameishaona K, na Pipe kama Mia mbili! Sasa anakutana na mwenzie eti waanzishe ndoa!
Iko hivyo mkuu hata wanawake wenyewe huwa wanasema
 
Matatizo ya kuwa kwenye mapenzi na mtu ilimradi tu na ww uonekane ndo chanzo cha ndoa nyingi kuvunjika
 
Mwanamke anaweza kumpenda sana mwanaume fulani, lakini kama mwanaume huyo hayupo tayari au anasuasua kumuoa ataolewa na mwanaume aliye tayari kumuoa.

Wazungu wanasema women marry the available men. When it comes to women, they settle for who's ready not who they love.

Huyo mwanamke uliyemuoa sio kwamba anakupenda ni wewe tu ulikuwa na kimbelembele cha kumuoa ulikuwa available man.

Love and marriage is two big gap when it comes to women

Mwanamke kuwa tayari kuolewa nawe sio kwamba anakupenda ni utapeli tu.

Yule mwanaume aliyempenda lakini hakuolewa naye atakuchapia sana mkeo.
Duuuh
 
Kumbe Baba yako anachapiwa Mama yako na wewe unajua. Sasa kwanini usiende kumwambia Baba yako kama unajua Mama yako anatumika nje sababu Baba yako alikuwa available ila hakupendwa

Samahani kwa mfano wangu....!!
 
Back
Top Bottom