Joanah
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 22,527
- 79,976
Umeandika kinyonge sana muheshimiwa. Will you marry me?🤣
Yani wanawake karibia kila sekta kwao ni kwa moto....lazima liongelewe jambo negative kuwahusu 😅
Nwei,mie nimeshaolewa...kwa mapenzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeandika kinyonge sana muheshimiwa. Will you marry me?🤣
Vumilia.Watu wanaongozwa na sonona tupu.Easy easy boss!Yani wanawake karibia kila sekta kwao ni kwa moto....lazima liongelewe jambo negative kuwahusu 😅
Nwei,mie nimeshaolewa...kwa mapenzi
Hoja yake ni hoja nzuri tu and it can't be denied maana tunaona wanawake wakifanya hayo wazi wazi.Hoja yake ni denied au argued!
Inauma sana.Anamega kisela?Halipi hata ya uchakavu wa godoro?Halooo!Hoja yake ni hoja nzuri tu and it can't be denied maana tunaona wanawake wakifanya hayo wazi wazi.
Kuna jamaa mmoja tupo nae huku chaka alioa dada ambaye tayari ana mtoto akampa maisha. Baadae anakuja kugundua Kumbe Kuna jamaa ana mega halafu hata sio yule aliyezaa nae. Hapo hata 100 yaani anamega Bure kabisa.
Jamaa aliumia mno kiukweli aliumia sana Sema wanawake wanazo sarakasi nyingi sana maana ingekuwa hivihivi jamaa angempiga chini mwanamke yuleInauma sana.Anamega kisela?Halipi hata ya uchakavu wa godoro?Halooo!
KabisaMada ya uchochezi😢
Inatosha mkuu.Jamaa aliumia mno kiukweli aliumia sana Sema wanawake wanazo sarakasi nyingi sana maana ingekuwa hivihivi jamaa angempiga chini mwanamke yule
Ni sahihi.Tunaishi na matapeli waliotuzalia majambazi fulani(partners in-crimes)tunawaita watoto wetu.Hajasema watu wasioane mkuu, kasema ndoa ni utapeli mtaoana sawa but ukweli (utapeli) utabaki palepale.
Iko hivyo mkuu hata wanawake wenyewe huwa wanasema"Mwanamke kuwa tayari kuolewa na wewe sio kwamba anakupenda, ni utaperi"
This is very general bro! How do you know! We ni mtabiri au Dokta wa sycologia?
Na huu utafiti wako,ni kwa TZ peke take, au, unavuka mipaka? Au, ni Dar peke yake,mwisho chalinze!
Ndoa ni swala, pana, pesa ni muhimu, ukwasi, ni, muhimu ndoa, inawili,kijanq anaanza kufanya ngono akiwa, shule ya msingi miaka 12,sekondsry, chuo,mpaka anaolewa ameishaona K, na Pipe kama Mia mbili! Sasa anakutana na mwenzie eti waanzishe ndoa!
Kama mwanaume ameamua kuishi na tapeli aendelee naye tuKwa hiyo tuwafurushe majumbani mwetu au unashauri nini ndugu mnasihi?Acheni kujipa mawazo yaliyo hasi kila muda.Mtakufa kwa sonona.Yafanyeni maisha yenu yawe mepesi.Kila muda mnatafuta kasoro tu badala ya kujipa matumaini.Kifo ki malangoni penu.
If,at all,a man cannot love a woman,who else can he love?A goat?😂😂😂Kama mwanaume ameamua kuishi na tapeli aendelee naye tu
DuuuhMwanamke anaweza kumpenda sana mwanaume fulani, lakini kama mwanaume huyo hayupo tayari au anasuasua kumuoa ataolewa na mwanaume aliye tayari kumuoa.
Wazungu wanasema women marry the available men. When it comes to women, they settle for who's ready not who they love.
Huyo mwanamke uliyemuoa sio kwamba anakupenda ni wewe tu ulikuwa na kimbelembele cha kumuoa ulikuwa available man.
Love and marriage is two big gap when it comes to women
Mwanamke kuwa tayari kuolewa nawe sio kwamba anakupenda ni utapeli tu.
Yule mwanaume aliyempenda lakini hakuolewa naye atakuchapia sana mkeo.
Tatizo wengine midomo yetu haina firji ya kupooza maneno tunanyoosha tu 🤣🤣Una hoja shida ni kwamba umetumia Lugha ngumu mno na kuna maneno makali sana mfano kimbelembele. Huwezi kuniita mimi kimbelembele mzee kwa maumivu yako😀
Love the one who loves you 😊If,at all,a man cannot love a woman,who else can he love?A goat?😂😂😂