Mjadala kwa wanaokataa Kuoa (Ndoa)

Mjadala kwa wanaokataa Kuoa (Ndoa)

I'm fine namshukuru Mungu!
Tunawaombeni msichepuke maofisini mnatuumiza ujue dada angu πŸ™πŸ˜”πŸ˜•.
Usijali hatuwezi chepuka...halafu ni tabia ya mtu ujue...πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
 
Taarifa za mke wangu unazo ww πŸ˜‚ au ww ndo mke wangu umekuja kuniandaa kiakili baada ya kulambwa huko nje?
Angalia Sasa mwanaume mwenzangu unanitukana kitaalabu.

Mzee wangu uhalisia ni kwamba mwanamke ambaye alikuwa na mahusiano kabla ni huyo ni Malaya Tu sababu lazima atatamani mwanaume mwingine.Kwahiyo hatuwezi kubadirisha ukweli kupitia matusi.
 
Angalia Sasa mwanaume mwenzangu unanitukana kitaalabu.

Mzee wangu uhalisia ni kwamba mwanamke ambaye alikuwa na mahusiano kabla ni huyo ni Malaya Tu sababu lazima atatamani mwanaume mwingine.Kwahiyo hatuwezi kubadirisha ukweli kupitia matusi.
Inasikitisha sana
 
Muda wowote nikipata nafasi ya kufikiria kuhusu ndoa huwa naona ni upumbavu pumbavu fulani hivi. Hali ilipofikia nikiona mwanaume anaoa huwa namuona ni mjinga. Yanayoendelea kwenye jamii bila shaka yanapingana na imani zote nzuri tulizoaminishwa kwamba ndoa ni jambo jema.

Tuliambiwa ndoa ni pingu za maisha, ni msingi wa ustawi bora wa familia, ni kiapo cha kuvumiliana kwenye shida na raha, kwa sasa tushajua haya yote ni ya uongo.

Labda mwanamke akiitetea ndoa naweza kumuelewa kwa sababu inalinda masilahi yake na akiitumia kimkakati inaweza kumtoa kimaisha, lakini kwa mwanaume ndoa haina maana tena na nikiona mwanaume anatetea ndoa huwa namuona fala fala fulani hivi.

The teuth is, marriage is overrated and outdated concept. With so many of betrayal, gold diggers and broken vows, it's high time to question whether marriage in its traditional sense is still relevant.

Are people entering marriage for right reasons or are they pressured by societal expectations?

If marriage is treated so casually by both parties, is it a partnership worth investing in?

I think in our modern days marriage is suitable option only to foolish men

Ieleweke sipingani na mahusiano ya mwanaume na mwanamke kwa lengo la kujenga familia bora, maana ilo ni suala ambalo linaweza kufanyika bila ndoa, ambacho napingana nacho ni ule mkataba wa kitapeli uliopewa jina la ndoa.

Hela zangu, maisha yangu halafu ukubwani nakutana na mwanamke ambae hajachangia chochote kufikia hatua ya kimaisha niliyopo.

Anakuja kuishi kwenye nyumba yangu ambayo hajachangia hata tofali moja, anakuja kunibebesha matatizo yake, anakuja kuniongezea gharama za maisha

Vile vile natawajibika kutumia hela zangu na kuishi maisha yangu kwa namna ambayo itamnufaisha na kumfurahisha huyu mwanamke.

Nikichoka kuwa accountable kwa uyo mwanamke nikahitaji uhuru wa maisha yangu nitatakiwa kumpisha uyo mwanamke kwenye nyumba yangu na kumpa nusu ya mali zangu.

Huu kama sio ujinga ni nini.
 
Anataka mwanaume atakaefanya kazi ili yeye aishi maisha rahisi kadili iwezekanavyo, anataka mwanaume atakaemlipia bill zake, mwanaume atakaemmalizia matatizo yake.

Mwanaume huyu mtumwa anapata nini in return? Hakuna chochote ni maangaiko, maumivu na majuto kwa sababu mwanamke uyo haleti thamani yoyote mezani. She bring nothing on the table.

Ukiondoa sex kwenye mahusiano almost wanawake wote hawana cha kingine cha ku-offer

Gharama za maisha kwa mwanamke ambaye yupo single ni kubwa ukilinganisha na akiwa kwenye mahusiano, wakati gharama za maisha kwa mwanaume ambae yupo single ni ndogo ukilinganisha akiwa kwenye mahusiano. Unajua kwanini? Kwa sababu wanaume wengi ni watumwa kwenye mahusiano yao.

Listen brothers, the harsh truth is, if you spend your life bending over backward, sacrificing everything and putting yourself last for a woman, you are setting yourself up for a world of pain. Cut that bullyshit.

Tilia mkazo kuyajenga maisha yako, acha ujinga wa kujiumiza na kujirudisha nyuma kimaendeleo kwa ajiri ya mtu ambae ndani ya sekunde mbili anaweza kusahau sacrifices zako zote endapo atakutana na mwanaume atakaemuwekea kibunda mezani.

Ikiwa haongezi thamani yoyote kwenye maisha yako mchukulie kama kahaba tu wa kupiga na kusepa.

Your energy, your money, your time all of it should be invested in you first. If you found her broke leave her to be broke alone, if you found her with nothing leave her the same way you found her.

Kataa kuwa mtumwa.
 
Anataka mwanaume atakaefanya kazi ili yeye aishi maisha rahisi kadili iwezekanavyo, anataka mwanaume atakaemlipia bill zake, mwanaume atakaemmalizia matatizo yake.

Mwanaume huyu mtumwa anapata nini in return? Hakuna chochote ni maangaiko, maumivu na majuto kwa sababu mwanamke uyo haleti thamani yoyote mezani. She bring nothing on the table.

Ukiondoa sex kwenye mahusiano almost wanawake wote hawana cha kingine cha ku-offer

Gharama za maisha kwa mwanamke ambaye yupo single ni kubwa ukilinganisha na akiwa kwenye mahusiano, wakati gharama za maisha kwa mwanaume ambae yupo single ni ndogo ukilinganisha akiwa kwenye mahusiano. Unajua kwanini? Kwa sababu wanaume wengi ni watumwa kwenye mahusiano yao.

Listen brothers, the harsh truth is, if you spend your life bending over backward, sacrificing everything and putting yourself last for a woman, you are setting yourself up for a world of pain. Cut that bullyshit.

Tilia mkazo kuyajenga maisha yako, acha ujinga wa kujiumiza na kujirudisha nyuma kimaendeleo kwa ajiri ya mtu ambae ndani ya sekunde mbili anaweza kusahau sacrifices zako zote endapo atakutana na mwanaume atakaemuwekea kibunda mezani.

Ikiwa haongezi thamani yoyote kwenye maisha yako mchukulie kama kahaba tu wa kupiga na kusepa.

Your energy, your money, your time all of it should be invested in you first. If you found her broke leave her to be broke alone, if you found her with nothing leave her the same way you found her.

Kataa kuwa mtumwa.
If you found her broke leave her to be broke alone, if you found her with nothing leave her the same way you found her.
 
Leo watumishi wa serikali tunafanyia kazi nyumbani kwa hiyo ni mwendo wa kuchati tu leo.

Wanasema bata ukimchunguza sana hauwezi kumla.

Imagine umekutana na pisi kali katika mazingira ya kawaida tu ya maisha ila katika kuchunguza mienendo yake ukagundua uchumi wake unategemea zaidi mali za urithi, yaani kwa lugha ngumu mwili wake mwenyewe.

Unaweza kuoa mwanamke wa namna hiyo? Mkienda madhabahuni mkafanya toba si fresh au kuna katabia anaweza asikaache?

Tukumbuke kila mtu ana historia yake, ni kwa kiasi gani unaenda kumchunguza mwenza wako kabla haujaingia katika mahusiano rasmi ya ndoa?
 
Leo watumishi wa serikali tunafanyia kazi nyumbani kwa hiyo ni mwendo wa kuchati tu leo.

Wanasema bata ukimchunguza sana hauwezi kumla.

Imagine umekutana na pisi kali katika mazingira ya kawaida tu ya maisha ila katika kuchunguza mienendo yake ukagundua uchumi wake unategemea zaidi mali za urithi, yaani kwa lugha ngumu mwili wake mwenyewe.

Unaweza kuoa mwanamke wa namna hiyo? Mkienda madhabahuni mkafanya toba si fresh au kuna katabia anaweza asikaache?

Tukumbuke kila mtu ana historia yake, ni kwa kiasi gani unaenda kumchunguza mwenza wako kabla haujaingia katika mahusiano rasmi ya ndoa?
MODS Active mbona hii mada mmekuja kuitupa huku wakati havihusiani?
 
Hii video nimukuta uko jamaa kapambana kanunua vitu vyake af we mdada tu unakuja unachukua unaondoka navyo vyote lengo lenu haswa nin
 

Attachments

  • RPReplay_Final1738342412.mp4
    91.9 MB
Ushawahi kufuma meseji au picha za kimahaba za mkeo na mwanaume mwingine?.

Alafu reaction yake ikawa ni mgogoro mkubwa kwelikweli, mwanamke kwanza hakubali kosa yeye anamsimgizia Shetani tu, hujakaa sawa unasikia, kama umenichoka niache, hujakaa sawa aanza vita ya Kuachana na kudai talaka , hujakaa sawa Kahama Mji kaenda Kupanga, hujakaa sawa na watoto kawabeba kapeleka kwao, hujakaa sawa kesi mahakaman, Sasa ukisikia Mwanamke Mpumbavu ndo huyu Sasa , yeye Huwa hushuki hata kama kafanya kosa, Huwa analisimamia vizuri tu kosa lake na kulipa sababu za kwann alifanya na asijutie .


Sasa Iko hivi, mwanamke hata awe Mpumbavu kiasi gan, Huwa Kuna Boya wake anayemuheshimu, yaan ni yule Boya wake ambaye Masaa 24 anamchatisha meseji za nyegenyege .

Ukumbuke inapofikia Ile hatua yake ya vita ni vita, HAKIKISHA UNAJITENGA NAYE MBALI Kwa sababu muda wowote atakuua, narudia ,muda wowote atakuua.

Hamna kiumbe kikatili na kibaya Kwa Maneno na Matendo hapa Duniani Kushinda MWANAMKE .

Mwanamke hasa Hawa wapumbavu ni kiumbe kisichohitaji kuonewa Huruma Kwa namna yoyote Ile , Kwa Lugha nyepesi unawajibika kwenda naye sawa na anavyoleta mashambulizi .

Katika hali kama hii uchaguzi ni

1-Kuachana naye , hata kama ni Mahakamani wewe achana naye ,hata kama ni Mali wee gawana naye nusu hivohivo na uachane naye Jumla..... Kwakua umeshazaa naye , asikuumize Kichwa, Mwanamke Mpumbavu Huwa anafundishwa na Muda tu, hamna MTU Wala kikao ambacho kinaweza kumtuliza mwanamke Mpumbavu.

2-Ukiona na Mahakamani umedhulumiwa haki yako Kwa kigezo cha yeye kua Mwanamke , MROGE , MROGE ,nenda Tafuta Mtaalam Mzuri Kigoma, Katavi, Burundi ashugulike naye ( hapa Kanuni ni ileile, ukitaka Kufa mapema, dhulumu Cha MTU).

Msiwaendekeze Wanawake , ni Binadamu tu , waliweza kutoa mimba , waliweza kutupa watoto, waliweza kuua wajumbe zao, Kwanini asiyaweze hayo kwako?.


Wacha ujinga wewe, Unaokoteza mwanamke alolelewa na Mama tu,Baba aliuliwa zaman, au Baba alimkimbia mwanamke huyo, Kamrithisha Binti yake vinasaba vyote vya ujinga, Wewe umejitutumua Maisha yako, alafu unakaa kindezindezi Maisha yako yanakuja kuharibiwa na janamke liloshindwa Kila kitu?.


Nyie Good Guys mna matatizo gani?.
 
Back
Top Bottom