Ms Billionaire
JF-Expert Member
- Jul 18, 2020
- 2,452
- 4,955
Unamuongelea bi mkubwa wako au sio. Maana huko ndo ulikoonaNyinyi ndio mnaingia period na mkiingia period vilio vya kuwatia mimba hua haviishi hua mnataka mimba ili mpumzike maumivu ya period
Na mm sijakujibu kama ni vibaya ila nimekujibu kulingana na ukomo wa fahamu zako.Nilikua nachati nawewe kama mwanaume , kuna namna yakuongea na wanawake ujue , sijasema kwamba ni vbaya ndugu.
Hakuna mwanaume wa namna hioHuo mradi hata nyinyi wanaume siku hizi mmeibuka nao. Mnalenga wanawake wenye hela mnawaganda mnawaoa sijui ndo mnaolewa nyie then mkipata chance mnawaua mnabeba mali zao.
Tena hii iwekwe boldKwanza mwaume utatamani vipi kushindana na mwanamke.
Yaani mwanamke akihitaji kukudhuri hasubiri hicho wanachodai ni ndoa
Ukiona mwanamke kakukosa jua anakupenda ama hajakutaka tu .
Marioo wale ni wewe na mwenzio min. Unasema hawapo wakati tunawaona wanalamba lips huku mtaani. Unapinga kwasababu na wewe ni mmoja wapoHakuna mwanaume wa namna hio
Hawajui wanachokipinga.Unamuongelea bi mkubwa wako au sio. Maana huko ndo ulikoona
Wanaongea kwa experience walizoziona kwaoHawajui wanachokipinga.
Nina manzi yangu mmoja alikua akiniambia hivyo anataka mimba maana maumivu ya period yanamchosha, kwa hio usipinge kitu unachokifahamu labda itakua najadiliana na mwanaume aliekaa upande wa wanawakeUnamuongelea bi mkubwa wako au sio. Maana huko ndo ulikoona
AiseeMimi nillioa nikaachaa kwa TALAKA, Bado nasisitiza, KATAA NDOA, NDOA NI UTUMWA, NDOA NI KWA AJILI YA KUMFAIDISHA MWANAMKE, NDOA NI KWA AJILI YA KUMKANDAMIZA MWANAUME,
KATAA NDOA
KATAA NDOA
KATAA NDOA
Liverpool VPN njoo huku
Haujui unachokiongea, tusifike mbali sanaMarioo wale ni wewe na mwenzio min. Unasema hawapo wakati tunawaona wanalamba lips huku mtaani. Unapinga kwasababu na wewe ni mmoja wapo
Sasa huyo manzi wako ndo wanawake wote au sio. Mi kutwa huku naona mapunga wanazurula basi niseme wanaume wote ni mapungaNina manzi yangu mmoja alikua akiniambia hivyo anataka mimba maana maumivu ya period yanamchosha, kwa hio usipinge kitu unachokifahamu labda itakua najadiliana na mwanaume aliekaa upande wa wanawake
Kwa kuwa mmelelewa kiholela mnataka na wengine wafate mkumbo huoHaujui unachokiongea, tusifike mbali sana
KATAA NDOA
Sasa nikikwambia tulikuwa na ugomvi kwa kipindi chote hicho ila tukaamua kuficha ugomvi wetu ili tulee tu watoto wetu utabisha?Sheria imekuamini ww kama Mwanaume aliekamilika ndo maana ikawekwa miezi sita kwa kuamini mwanaume aliekamilika lazima atafanya tendo muda huo endapo atakuwa na Binti asie haramu yake.
Nd maana nimekuuliza ww maana sisi tutapokuhoji tutataka kujua kama ni ndugu ama laah Kisha kama ninyi sio ndugu kilichobaki ni ww kuthibitisha ushoga wako. Hapo nd tutakuacha tukijiridhisha ushoga wako.
Hio ni sample specimen na sio yeye tu ni wengi wanasema hivyo jiulize, wanawake mnataka mimba sio ndoa, ndoa ni sehemu ya kuwarahisishia upigaji wenu, mimba tutawapa Ila ndoa sahauSasa huyo manzi wako ndo wanawake wote. Mi kutwa huku naona mapunga wanazurula basi niseme wanaume wote ni mapunga
Utaelewa tu wewe hautaki mimba au hujazaa?Kwa kuwa mmelelewa kiholela mnataka na wengine wafate mkumbo huo
Mulezee mshamba huyoSheria haiendeshwi kwa hisia ndugu yangu, hujui sheria si hisia bali ni facts? Fact is huwezi kuprove kwamba tulilala kinyumba kwa siku 180, kikubwa ni hisia tu, sheria haiendeshwi kwa huruma wala gut feeling au hisia, wewe mtu wa sheria za wapi wewe [emoji23][emoji23] , nikisema tulikuwa na ugomvi kwa kipindi chote ila tuliamua kuficha ugomvi wetu ili tulee watoto wetu utabisha?
Ingekuwa ni hisia watu wangehukumiwa kunyongwa kila siku kwa kuhisi tu kwamba ameua [emoji23][emoji23]
Unadhani nazalishwa kiholela mtaani?Utaelewa tu wewe hautaki mimba au hujazaa?
Mlee watoto wa nani ? Nyie wanandoa Tyr huwezi kupinga ndoa wakati ndio ulichokifanya.Sasa nikikwambia tulikuwa na ugomvi kwa kipindi chote hicho ila tukaamua kuficha ugomvi wetu ili tulee tu watoto wetu utabisha?
Sasa kwanini watu hufunga ndoa kwa kusaini cheti.., cheti cha nini ilihali miezi sita tayari ni ndoa? Unasaini iki iweje?! πππππNdio nimekwambia huyo unaeishi NAE Tyr ni mkeo.
Hicho Cheti ni sehemu tu ya ushahidi wa ndoa .
Kwahiyo unapita kuuliza wanawake walio period wanajiskiaje? We ni vampire?Hio ni sample specimen na sio yeye tu ni wengi wanasema hivyo jiulize, wanawake mnataka mimba sio ndoa, ndoa ni sehemu ya kuwarahisishia upigaji wenu, mimba tutawapa Ila ndoa sahau