Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Mtu anapinga Bikira Maria kutuombea, lakini akiambiwa aombewe na AKINA MWINGIRA, KAKOBE, RWAKATALE etc etc faster wanaenda... siwaelewi.Alafu ili kulibeza Kanisa Katoliki Walokole wengi wanambeza sana Bikira Maria....wanasahau Yesu ni Mungu kweli na Mtu kweli ....sijui wewe utajisikiaje watu wakimkejeli mama yako .....Pale anaposema vizazi vyote wataniita mbarikiwa bila Kanisa Katoliki kwa mwenendo wa makanisa ya sasa angeitwa mbarikiwa ili hilo neno litimie?
Kwenye harusi ya kana wale watu walimwambia Bikira Maria afanye nn!? Na pale msalabani Yesu alimwambiaje yule mwanafunzi wake anayempenda!? Acha akili za kushikiwa ww.Ni kwl hata mimi siku nkiona andiko linalosema bikra maria yupo hai na anatuombea siku hiyo ntarudi kama hiyo imani ya roma,ninae mjua yuko hai ni Kristo yesu peke yake yuko hai milele na ndo atakaekuja kunyakua kanisa n mtu haendi kwa baba bila kupitia kwake,na ndo muombezi wetu,Swala la kwnn alitumiwa kubeba mimba Roho mtakatifu au Mungu huweza kumtumia yoyote aliemuumba na ndo maana Balaki alipo mwambia mchawi balaamu awalaani wana wa israel,wakati balaamu anaenda kuwalaani wana wa israel alikuwa amepanda punda na siku hiyo Mungu alimtumia huyohuyo punda kutamka maneno kama mwanadamu,kwahyo hatuwez kusema punda ni mtakatifu anafaa kutuombea kisa alitumiwa na Bwana Mungu,Mungu anaweza kumtumia yoyote kwa ajili ya kazi yake maana vyote alivyoviumba viko ndani ya uwezo wake kuvitumia atakavyo,Kwhiyo mariam ni mtakatifu kwa sababu alimbeba mtakatifu na ni mbarikiwa kwa sababu alimbeba katika tumbo lake yule aliekuwa amebarikiwa hata neno linasema hata sisi tutakuwa watakatifu maana alie ndani yetu ni mtakatifu,kwhiyo maryam kumzaa Yesu alitumiwa tu lakini haimpi mamlaka ya yeye kuwa mwombezi wenu!! hana mamlaka hayo na wala hakuna mtume wala nabii ambaye amepewa mamlaka hayo ni kristo peke yake!! Hivi mbona neno liko wazi hizo biblia huwa mnasoma mkiwa timamu kwa kuongozwa na roho mtakatifu kwl?? au tatzo roho mtakatifu wenu huwa anakaa upande wa kulia ndo maana lakini akikaa moyoni mwako neno utalielewa vzuri sana.
Yesu alisema, "hapo mtakapoliona chukizo la uharibifu lile lilinenwa na nabii Daniel (asomaye na afahamu)... Paulo anasema " siku ya Bwana haiji hadi afunuliwe yule asi, ajiinuaye nafsi yake kama Mungu ambaye Bwana Yesu atamuua kwa pumzi yake". 2 wathesalonike 2:1-5. Hilo chukizo la uharibifu kama alivyonena Daniel ni Papa. Paulo aliiona nguvu hii pia ikitenda kazi kuanzia kwnye dola ya kirumi na kisha kanisa la rumi.Huyo asi muda si mrefu atafunuliwa pale atakapoungana na wafalme wa dunia hii ili kushinikiza ibada ya uongo dhidi ya Ibada ya Mungu. Hapo Michael atasimama upande wa watu wa Mungu Daniel 12:1. Huyo asi na wafuasi wake wataangamizwa na wateule watatwaliwa Mbinguni. Kwa mujibu wa Biblia siku hizo haziko mbali.Ehhe! Hebu niambie anarudi lini...?
Maana biblia yangu inaniambia hakuna ajuaye siku wa saa ya kuja mwana wa Adamu....
Wakuu mbona mnabishanana sana wakati wazungu walioleta dini/ madhehebu hayo wakila bata na kupiga hatua za maendeleo kila kukicha?, cha msingi Naona kila mtu abaki na iman yake kukosoana na kutokwa na mapovu namna hii utadhan tulikuwepo wakati biblia inaandikwa hakuna maana. Kila mmoja asidharau iman ya mingine na hakuna aliye bora kuliko mwenzake as long as wote mmeumbwa kwa mf na sura ya Mungu
Mkuu hawa ukiamua kusimama nao kwenye hiyo mistari yao wanaanza kutafuta mistari mingine ya kupinga huo mstari ....utafikiri Mungu anajipinga mwenyewe .....kazi sana ...
Hiyo atakuwa hajui historia SDA subiri tutamletea thread yenye historia.Toa ujinga wa kutuletea ngonjera za Ellen G White hapa.....Hivi unajua hata dhima ya Kitabu cha Apokalse ya Yohana...? Unajua kiliandikwa lini na kiliwahusu kina nani hasa...???
Tutolee ngonjera za makambi na lesson
Umbumbumbu tu wa maandiko ndio unakutesaBiblia inasema Bikra Maria ataitwa mbarikiwa, na dunia itamsifu kuwa yeye ni mbarikiwa. Bikra Maria kwa mujibu wa kumbukumbu za kanisha hakufa, alipaazwa. Ujui historia, huyu mama ni the special, hata waprotestant wakimtupa sisi Wakatoliki tutaendelea kutimiza unabii kwa kumuita mbarikiwa
Ukitaka kujua kuwa waroma ni vilaza wasomee mstari ya Biblia hawambulii kitu maana wao wamekaririshwa misale ya waumini tu. Hoja zozote zisizo pata support ya Biblia ni hoja mfu. Na si ajabu waroma kuabudu wafu na masanamu maana hawasomi Biblia.Hii thread inahusu Padre Luther kuondoa baadhi ya vitabu kwenye Biblia ambayo ndio mnayotumia Waprotestant ....tuambieni kwanini aliviondoa? Kwanini alitaka kuondoa hadi kitabu cha ufunuo hadi mwenzake Calvin alipoingilia kati (maana yake leo waprotestant msingekuwa na kitabu cha ufunuo kwenye Biblia yenu kama si juhudi za Calvin) ....mada za Bikira Maria, tunaabudu sanamu n.k fungueni uzi wake maana mshaharibu mada ....kama hujui historia waachie theologians waje kujibu hoja zetu .....nyie mliokariri vifungu vya Biblia hamuwezi kuja na majibu hayo maana hapa tunaichambua historia ya hiyo Biblia tunayoitumia ili ujue hicho unachoamini kimepatikanaje .....vifungu haviwezi kujibu hapo ....
Kama wachungaji hawa wa kilokole ni darasa la saba ndiyo maana wanapotosha maandiko; Mtume Petro mnayemwita papa wa kwanza alikuwa darasa is ngapi?Kwani kwenye harusi ya kana kinywaji kilipoisha, walimfuata nani ili awaombee kwa Yesu?, tatizo haya makanisa ya kilokole yanayoendeshwa na wachungaji ambao ni darasa la saba wanawapotosha, hawaijui biblia
Nani kakudanganya...?na biblia haitakiwi isomwe mstari kama mnavyofanya wasabato kisha mnaibuka na matusi,biblia ni fasihi ya hali ya juu mno,mf:Kitabu cha Daniel unatakiwa ujue historia ya kitabu,kwann Daniel anakuwa main character,ukifuatilia biblia za wakatoliki huwa kila kitabu kinaanza na historia ya kwamba kiliandikwa BD/AD na mtajwa kwenye kitabu husika ni kwann amekuwa main character na mahudhui ya kitabu kwa jamii za ulimwengu,ndg zanguni msisome biblia mstari tuu kisha mkaja na maswali na majibu,ebu angalieni babu yenu William Miller aliyetabiri ujio wa Yesu Kristo 1844....!hiyo aibu wasabato hamjawahi kuifuta na huku mkipambana na kanisa mama,kanisa lililoachwa na Yesu mwenyewe Roman Catholic.Ukitaka kujua kuwa waroma ni vilaza wasomee mstari ya Biblia hawambulii kitu maana wao wamekaririshwa misale ya waumini tu. Hoja zozote zisizo pata support ya Biblia ni hoja mfu. Na si ajabu waroma kuabudu wafu na masanamu maana hawasomi Biblia.
Nani kakudanganya...?na biblia haitakiwi isomwe mstari kama mnavyofanya wasabato kisha mnaibuka na matusi,biblia ni fasihi ya hali ya juu mno,mf:Kitabu cha Daniel unatakiwa ujue historia ya kitabu,kwann Daniel anakuwa main character,ukifuatilia biblia za wakatoliki huwa kila kitabu kinaanza na historia ya kwamba kiliandikwa BD/AD na mtajwa kwenye kitabu husika ni kwann amekuwa main character na mahudhui ya kitabu kwa jamii za ulimwengu,ndg zanguni msisome biblia mstari tuu kisha mkaja na maswali na majibu,ebu angalieni babu yenu William Miller aliyetabiri ujio wa Yesu Kristo 1844....!hiyo aibu wasabato hamjawahi kuifuta na huku mkipambana na kanisa mama,kanisa lililoachwa na Yesu mwenyewe Roman Catholic.
Ndg yangu cjui umenipata concept yangu....?biblia imeandikwa na Mungu kupitia watu wake hata hiyo barua ya pili ya kichungaji kutoka kwa Paul kwenda kwa Timotheo mstari 3:16-17 ujaweza kuutumia vzuri,mm namaanisha biblia ya Kikatoliki yenye vitabu 73 imejaribu kumrahisishia msomaji aweze kupata mahudhui kirahisi zaidi kwani wanaanza na mhutasari kwenye kila kitabu kisha unaanza kusoma kitabu husika,NB:Unajua historia ya kuandikwa biblia...?Je unajua biblia ya kwanza iliandikwa kwa lugha gani...?Kwann Leo waprotestant biblia yao INA vitabu 66....?Kwann Leo wayahudi biblia yao INA vitabu 39....? na kwann Leo Wakatoliki biblia yao INA vitabu 73....?ndg hv ni vtu muhimu sana kabla ujaanza kunukulu barua za Paul kwa Timotheo.Rejea hapo kwenye bold.Mimi naamini Biblia moja tu yenye pumzi ya Mungu 2 Timotheo 3:16-17. Hizo za waroma baki nazo ninyi huko mwendelee kudanganyana.
Hahahahaha achana nao mkuu hawana majibu hawaJikite kwenye mada....Kwanini Martin Luther alipunguza vitabu 7 vya Agano la kale.....Na pia kwanini alitaka kunyofoa vitabu vya Ufunuo, Yakobo na Waebrania...?
Hapana bana. Kulikuwa na makanisa mengi toka mwanzo. Na juhudi za watu kuwa na makanisa yao zilikuwepo. Lakini ukatoliki ilikuwa ni dini ya dola. Hivyo kanisa lilizima juhudi hizo.Biblia ilikuwa compiled na Kanisa Katoliki(biblua ni kitabu cha kikatoliki)
Kulikuwa na Kanisa moja tuu, yaani Kanisa Katoliki.....Orthodox Church walijitenga na Kanisa Katoliki mwaka 1100..,,
Miaka ya 1500 huko, schism ilitokea na Luther alitengwa na Kanisa Katoliki...Hapo ndipo dhambi ya uasi ilianza kuenea kwa kasi na tukaanza kupata madhehebu kedekede
Maamuzi gani...?