Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 37,957
- 26,414
Mkuu, hujanipa jibu ni wapi imeandikwa tujifanyie picha kwa ajili ya kufundishia....Nipe hilo andiko...Ndio ninachosubiri hapa....Yaaani majibu yote hayo umetoka kapa! Pitia tena hizo sanamu halafu uniambie mmepata wapi kibali cha kuzisujudia kama ilivyoonyeshwa hapo.Kama huna jibu, nyamaza na uwe tayari kielimishwa.
Mkuu, hujanipa jibu ni wapi imeandikwa tujifanyie picha kwa ajili ya kufundishia....Nipe hilo andiko...Ndio ninachosubiri hapa....
Nipe...
Na mimi lengo langu la kumuomba andiko ni baada ya kuona huko kwao pia waneweka picha...Kaka huyo mtu ameshakuelewa anakuzungusha tu, Wasababto wanajichanganya tu mafundisho yaliyo kinyume cha Biblia.
Atakusumbua na kukuzungusha tu
amri inakataza Kuziabudia na kuzitumainia hizo Sanamu, uwepo wake kama alama ya kuonyesha mateso, matendo ya viongozi wetu wa kidini halina tatizo lolote
Kwa hiyo picha ni ruksa..?Masanamu yakuchonga yamo makanisani kwenu na biblia inasema wazi katika kitabu cha kutoka usijifanyie sanamu ya kuchonga..haisemi picha mbona mnapindisha lugha
Hao ni sikio la kufa, wanachojua wao ni kupotosha ukweli hata ambapo kila mtu anaona.Masanamu yakuchonga yamo makanisani kwenu na biblia inasema wazi katika kitabu cha kutoka usijifanyie sanamu ya kuchonga..haisemi picha mbona mnapindisha lugha
Teh teh teh teh....Hao ni sikio la kufa, wanachojua wao ni kupotosha ukweli hata ambapo kila mtu anaona.
Mimi hoja yangu ya msingi hapa ni Mwanadamu kumkubali Yesu kristo kama mwokozi Wa maisha Yake, wote tunajua namna dhambi ilivyoingia ulimwenguniKaka mbona povu sana mpaka unashindwa kuandika vizuri?
Umeshapata copy yako ya Biblia mpya ya Kisabato? Ipakue hapa
Clear Word Exposed
Ni ajabu sana, Katoliki wamekaa na hiyo Biblia kwa zaidi ya miaka 2000 na hawakuthubutu kubadirisha hata nukta moja ya andiko lolote na walikuwa na uwezo wa kufanya hivyo, lakini walikuwa na hofu ya Mungu na katiak ukatoliki hata Papa hawezi ku temper na Bible,
Kaja Luther kaanza kutemper na bible mara sitaki Ufunuo mara Makabayo, mara Jakobo, mara rudisha ufunuo, uzuri wake yeye alikuwa na misingi ya Kikatoliki hivyo alitoa vitabu vizima vizima,
Cha ajabu hawa wasabato ambao hawana hata miaka 200, wameshaanza kuibadirisha Biblia, wanaweka maneno yatakayoendana na mafundisho ya uongo ya nabii wa Uongo Mpinga Kristo bibi Ellen,
Someni hiyo link hapo juu kuona hiyo Bibliamya Kisabato
Cc: Otorong'ong'o , jiwe la majiwe kandere , Kitaja , Ntuzu
Namwani Yesu kama mwokozi aliekuja kunikomboa ktk utumwa Wa dhambi, nauishi wokovuWewe hivyo vitu unaviamini?
Kwa kuna upendeleo? Kabla ya kuja kwake kulikuwa hakuna ukombozi?Namwani Yesu kama mwokozi aliekuja kunikomboa ktk utumwa Wa dhambi, nauishi wokovu
Ni upi! Tulikua hatuna tumaini, lakini sasa tuna tumaini la uzima wa milele! MWanzo mwanadamu alipata msamaha Wa dhambi Kwa kutoa dhabihu za wanyama.Kwa kuna upendeleo? Kabla ya kuja kwake kulikuwa hakuna ukombozi?
Nionyeshe hata andiko moja tu kutoka katika Biblia ulilowahi kutumia tangu mjadala huu uanzishwe hapa. Kama ni mafungu ya ibada ya sanamu yapo tele katika kutoka 20: 4-5. "Usijifanyie sanamu ya kuchonga, wala mfano wa kitu cho chote kilicho juu mbinguni, wala kilicho chini duniani, wala kilicho majini chini ya dunia.
5. Usivisujudie wala kuvitumikia; kwa kuwa mimi, Bwana, Mungu wako, ni Mungu mwenye wivu; nawapatiliza wana maovu ya baba zao, hata kizazi cha tatu na cha nne cha wanichukiao'. Zaburi 115:4-8. "sanamu zao za fedha na dhahabu, kazi ya mikono ya wanadamu...."; Ufunuo 9: 20-21. " Na wanadamu waliosalia, wasiouawa kwa mapigo hayo, hawakuzitubia zile kazi za mikono yao, hata wasiwasujudie mashetani, na sanamu za dhahabu na za fedha na za shaba na za mawe na za miti, zisizoweza kuona wala kusikia wala kuenenda".
Umeona picha ikisemwa hapo? Mafungu yote hayo yanaeleza kuwa sanamu ni nini na adhabu itakayowapata wanaozitengeneza/chonga na kuzisujudia. Hapa zimetajwa kabisa ni sanamu za fedha, dhahabu, shaba, mawe, miti, Hizi ndizo sanamu zinazosemwa upo hapo? na hizo ndizo zimejaa Roman Catholic. Hakuna kichaka cha kujificha, acheni ibada ya sanamu, Mungu amekataza.
Hawa watakatifu wakathoric kifupi mm sikubaliani nao kutokana nawanavyo patikana maana juzijuzi hapa Rc iliwahi kupendekeza mwalimu nyerere awe mtakatifu .. Sasa ninajiuliza huu utakatifu wakupeana ndio umushawishi Mungu kusamehe watu zambi zao haiwzekini..jamani hawa wafu mnao waomba waombee kwa Mungu huuniupagani wahazalani.. Mtu mwenye mamlaka yakuwaombea msamaha kwa Mungu ni Yesu kiristo prkeyake.. Hakuna cha Mariamu wa watakatifu
Sasa wenzetu wa Rc wanamunyangˊanya yesu mamlka ya ukombozi na kumukabizi mariamu na wafu wengine wakisema wawaombee kwa Mungu naku biblia inasema wazi tunae muombezi mmoja tu Yesu ..