Sasa kwenye biblia mbona mungu ameongea Mara chache I.e Adam kaini na musa na wengine wachache Sasa unataka sema biblia Nzima is useless maana mungu ameongea Mara chache sana tuwe makinilete vifungu vinavyosema Mungu alisema acha porojo yapo mengi kibiblia Mungu alisema na mengine watu wanasema nenda kamauulize Paulo atakwambia
Soma yohane kuanzia 20 utapata jibuTunataka maandiko ndani ya Biblia Takatifu yaliyoandikwa mtu ukifanya dhambi ukatubu lwa binaadamu mwenzi pengine na yeye ana mizigo kukuzidi eti Maria Mtakatifu utuombee kasema nani? Utavuna ulichopanda leta maandiko acha kupotosha
Yohane 20:21-23 ukisoma utaelewa tatizo wewe biblia husomi unamsikiliza mchungaji wako akikueleza mstari mmoja kwa masaa 6. Kuhusu kutoa sadakaTunataka maandiko ndani ya Biblia Takatifu yaliyoandikwa mtu ukifanya dhambi ukatubu lwa binaadamu mwenzi pengine na yeye ana mizigo kukuzidi eti Maria Mtakatifu utuombee kasema nani? Utavuna ulichopanda leta maandiko acha kupotosha
Soma barua ya Paulo kwa timotheoNi kwl mkuu nina mjomba wangu ni padri nilienda kumtembelea pale ofcn kwao kurasini nkakuta friji yake imejaa mivinyo plus bia za kutosha akawa anapga bia kama kawaida kwhyo kwa mujibu wa biblia yao pombe kwao ni halali kbsa sikushangaa hata maparoko huwa wananyonya sana mivinyo
Ila wasabato mnashida sana Hao miungu hata siwajui na wala sijawahi wafikiria mi naona wewe ndo mpenda miungu yamkini unaenda kwa wagangaamesahau october 15 kila mwaka ni siku ya bikira maria mpalizwa mbinguni, kapewa cheo cha queen of heaven cheo alichokuwaw akishikilia samiramis mke wa nimrod katika ibada za babeli iliyokuwa ikiadhimiswa kwa huyo mungu jua siku ya kwanza ya juma, jumapili sunday worshipers. rozari ni ibada za kipagani za miungu wa babeli ambayo imeridhishwa kizazi hata kizazi, Mungu kasema watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa,katika karne hizo wakatoliki wengi awlipigwa marufuku kusoma Bibilia isipokuwa chuo kidogo cha sala na katekisimu, wale waliostaarabika kidogo walipewa misale ya waumini. siri hiyo ni kubwa imefunuliwa tu kwa wachache
Postanti ndo mmechakachua lugha ya mwanzo ya biblia ni kipostant au kirumiWangeikusanya wasingeichoma moto, Biblia ilikusanywa na Wakrtisto wa awali kabla hata wapagani wa kiroma hawajavamia kansani wakijifanya wameongoka kumbe lengo lao ni kuendeleza vita yao dhidi ya ukristo.. Ikiwa padre wako alikwambia Biblia ilikusanywa na waroma alikudanganya. Roman Catholic wamejikusanyia hiyo ya kwao wanayoiongezea vitabu kila mara. Biblia takatifu yenye vitabu 66 ilikamilishwa na waktisto wa awali kabla ya papa wenu kupewa madaraka na warumi.Upapa umeikuta Biblia na wakaongoza vita kuipiga vita ikiwemo kuwaua wote waliohifadhi nakala halisi ya Biblia.soma vizuri kisa cha waldensia waliokimbilia milina ya alps. Hawa walikimbia mateso ya papa na waliweza kuhifadhi nakala halisi ya Biblia sio hiyo waliochakachua waroma.
Yohane 20:21-23 ukisoma utaelewa tatizo wewe biblia husomi unamsikiliza mchungaji wako akikueleza mstari mmoja kwa masaa 6. Kuhusu kutoa sadaka
Na ujerumani wengi ni wakatoliki yani waluther wengi wapo bongo
Kwani sala ya Bikira Maria (japo umeandika jina lake kwa herufi ndogo) ina tatizo gani. Ni maneno ya kutoka kwenye Biblia toka kwa Malaika Mkuu Gabriel kama amkio na maneno ya shangazi yake Maria akiitwa Elizabeth. Labda nikukumbushe amkio ili. Salamu Maria umejaa neema umebarikiwa kuliko wanawake wote (Malkia) na yule utakayemzaa (aliyeko tumboni mwako amebarikiwa) - (“salaam Maria ewe uliyebarikiwa na Mungu! Bwana yuko nawe” Lk 1:28.).
*uandishi wako unaonyesha kua huijui historia ya kanisa,,,
kwa mfano huzungumzii sala kwa bikira maria na cheo chake cha umalkia, ubatizo,,, imani, na neno..
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] sadaka ya fedha halali kwa malipo fulaniYohane 20:21-23 ukisoma utaelewa tatizo wewe biblia husomi unamsikiliza mchungaji wako akikueleza mstari mmoja kwa masaa 6. Kuhusu kutoa sadaka
Wanajitoa ufahamu wapate sadaka Kwa waumini wanaotafuta mambo ya duniaHahaha ....unapopinga angalia usitende dhambi ....neno la Mungu ni nini? Kuna andiko kwenye Biblia ambalo si neno la Mungu? Unajua neno la Mungu ni Mungu mwenyewe? Ukisema alisema Maria si Mungu ina maana mafundisho ya mitume ni ya mitume si Mungu? Tatizo lenu mnapopinga Ukatoliki mnajisahau hadi mnavuka mstari.
Utuombee sisi wakosefu... Tatizo nyie mwajifanya watakatifuTunataka maandiko ndani ya Biblia Takatifu yaliyoandikwa mtu ukifanya dhambi ukatubu lwa binaadamu mwenzi pengine na yeye ana mizigo kukuzidi eti Maria Mtakatifu utuombee kasema nani? Utavuna ulichopanda leta maandiko acha kupotosha
Kwanini asipige kama Jesus mwenyewe kwenye Harusi ya Kana alitengeneza Windhoek matata kuliko iliyoandaliwa na bwana HarusiHata malaika huwa wanashangaa kwa kweli padre anapiga windok