Ndugu yangu, Je unaelewa maana ya neno BINAFSI? Kuamini unachoamini ni hiari yako mkuu..! Ndio maana unaweza kuamini unachochagua wewe? Ndio maana nikasema ni suala Binafsi, yaan linategemea na Uamuzi wako.Aidha, dini inakuwaje jambo binafsi ikiwa watu ni uzao?
Ndugu yangu unaongea kwa kashfa sana na si Ustaarabu;Kwanini Papa wa Kikatoloki alitoa amri Martine Ruther auwawe na ahesabiwe kama mnyama?
Katoliki ni dhehebu la kishetani wanamwabudu mungu wa kipagani.
Ndio maana ukiwa Mkatoliki hurusiwi kuhoji wala nini unatakiwa kukubaliana na maelekezo ya miungu (Mapadri)
Kwahiyo hivyo vitabu unavyotaka tukavisome vimeshushwa au vimeandikwa na wanadamu kama Mimi na wewe,Mtoa post nimpotoshaji mkubwa ningekuona ningekuhukumu kwa Sheria ya Mussa kukufungia jiwe jiwe la kilo 70 shingoni nakukutumbukiza baharini.
Sasa nakujibu Mnamo mwaka 333 kabla ya kuzaliwa Yesu nchi ya Palestina (Israeli) ilitawaliwa ns Wagiriki.Iliopopita miaka 70 yaani mwaka 403 Ndipo ilitolewa tafsiri ya kwanza ya torati na vitabu vya manabii katika lugha ya Kiyunani(Kigiriki).
Tafsiri hiyo iliitwa SEPTUAGINT,viliingizwa vitabu 11 ambavyo havikuwa katika orodha rasmi ya maandiko matakatifu ya Wayaudi wa Parestina.Vitabu hivyo vya nyongeza vilikuwa vimetafsiriwa kuanzia mwaka wa 363 ikiwa nimiaka 30 wa utawala wa Kagiriki na vilitokea Iskanderia (Alexanderia) ambavyo vilikuwa vikitumiwa na watu waliojiita Wayahudi.Kuingizwa vitabu hivyo kwenye SEPTUAGINT kulifanya Wayahudi waitishe mkutano mkuu wa wazee 70 wa Palestina.
Kikao kile kilijadili suala la maandiko ya Iskanderia yasiyokuwa matakatifu kuingizwa kwenye SEPTUAGINT ya Palestina.
Kikao hicho kijulikanacho kwa jina la Canon na ndicho kilichoviondoa vitabu 11 vya Iskanderia nakuvithibitisha kuwa ni batili.
Swari apo Martine Ruther alikua ameishazaliwa?
Kwamujibu wa maelezo ya Padre J.Bouguet des Chaux mwandishi wa kitabu cha JIFUNZE BIBLIA TAKATIFU,mnano karne ya 5 baada ya Yesu Kristo yahani karibu miaka 700 ya mkutano mkuu Canon,Papa Augustno aliamua aliamua kuongeza vitabu 6 kati ya vile 11 vya Iskanderia vilivyoondolewa na wazee 70 katika agano la kale.
Miaka 1,000 baadaye (1546) uamuzi wa Papa Augustino ulipata kibali rasmi kwenye mkutano mkuu wa Maaskofu wa kanisa Katoliki mjini trent-Uingereza bila kuwashirikisha wale wazee sabini wa Kipalestina.Lakini wale wazee hawakukata tamaa kufuatia matengenezo ya kanisa (Reformation) Vitabu hiyvo viliondolewa tena na ndipo palipotokea mpasuko wa Kiprotestanti ambao hadi leo wanaitambua orodha rasmi ya vitabu vya Wayahudi wa Palestina tu nakuvichukulia vile 6 viloongeza na Papa Austino kuwa ni batili.
Kwakumbukumbu sahii kati ya mwaka 93 hadi 130 baada ya Yesu viliandikwa vitabu vingine vingi ambavyo navyo vilionekana batili .kimojawapo kilifahamika kwa jina la Protevangelium, nyaraka za Clement,Iginatius,na Polycarp ambavyo vyote havikuruhusiwa kuingizwa ata kama maandiko kadhaa yalifanana na nyaraka sahii za Biblia lakini havikuwa maandiko matakatifu kwamaana tuipotayo 2Petro1:20-21.
Kwahiyo Martine Ruther alisimamia alichokikuta siokweli kwamba alifukuzwa kwasababu ya kuondoa maandiko matakatifu.Wakatoliki kwa hofu yakupinduliwa waliongeza vitabu hivyo vya sheria zao ambavyo mpaka leo Makasisi Mapadre,Maaskofu Makardinal na Papa wanajua hili na ndonapaswa kuulizia kwanini wanaendelea kushikilia vitabu batili wakijua kuwa sio sahii?
Mwisho:Tafuta kitabu kiitwacho Je nabii issa ndiye YESU KRISTO? na kingine kiitwacho Jifunze Biblia Takatifu
Usome kwa faida ya ubongo wako.
Ulitaka anywe alkasusu au?Hata malaika huwa wanashangaa kwa kweli padre anapiga windok
Kwa hiyo unapingana na Biblia inapoosema Yesu ni kuhani wetu mkuu, yu hai siku zote akituombea? Waroma kwa kupotosha Biblia mmekubuhu hata aibu hamna?
Ndugu yangu baki kwenye siasa huku unapwaya sana. Waandishi wa vitabu vinavyounda Biblia ni wengi lakini unajua akina nani walichambua vitabu vyote wakaona hivyo unavyojua leo ndio vinastahili kuwekwa pamoja? Unajua injili zilikuwepo nyingi na sio nne tu unazoona leo?Hii makala au riwaya ina walakini mwingi na haina mantiki kabisa! Mwandishi anapaswa kujua kuwa Bibilia haikuandikwa na mtu mmoja,na ilikuwa kazi ya watu wengi mno kutafisiri lugha ya michoro ya zamani ili kupata maana
Luther hakuwa na hoja yoyote na Bibilia as alikuja kuisoma Biblia ukubwani sana,wakati huo Wakatoliki walikuwa na Mithali/Misali za waumini ambayo ni kama Biblilia iliyochujwa sana,ni Bibilia halisi ndio ikimfungua Luther hadi akaona mistari inayosema kuwa kwa kupigwa kwake Yesu sisi tumesamehewa bure,qakati huo msamaha ulikuwa unatolewa kwa fedha! Unalipa ndio upate msahama
Umetoa wapi hili fundisho? Au ndio umeamua kuamini unachotaka?Watu wakishashiba makande bwana, watataka kutunisha matumbo yao ili watu waone la nani ni kubwa kama wale jamaa zangu wa Ethiopia wanaotembea chululu zipo nje![emoji23][emoji23]
All in all dini zilikuja kwa mashua tu, kinachopaswa kufuatwa ni imani thabiti ya mtu.. ukimwamini Mungu, ukaacha uovu, inatosha hayo mengine tuwaachie Wajerumani na Waitaliano.
Nmeamua kuamini nnachotaka😊
Ndugu yangu baki kwenye siasa huku unapwaya sana. Waandishi wa vitabu vinavyounda Biblia ni wengi lakini unajua akina nani walichambua vitabu vyote wakaona hivyo unavyojua leo ndio vinastahili kuwekwa pamoja? Unajua injili zilikuwepo nyingi na sio nne tu unazoona leo?
Nani aliamua mpangilio wa hivyo vitabu? Kianze kipi, kifate kipi hadi ufunuo? Walitumia utaratibu upi kupata mpangilio? Unajua biblia unayotumia leo mpangilio wa chapters umewekwa mapema karne ya 13 na Askofu Steven Langton na chapters za bible zimewekwa kwa verses baadae kabisa! Zote hizi ni kazi za Kanisa Katoliki ambalo ndio lilisimamia michakato yote na kupitisha matumizi yake kwa waamini.
Usisahau kazi hii yote inafanyika hakuna makanisa ya kilokole zaidi ya Kanisa Katoliki ambalo baadae liligawanyika na kuzaliwa Orthodox church ambalo pia ni apostolic church.
Kanisa ni moja tu, ndio maana hutokaa usikie makanisa ya Katoliki maana Kristo hakusema atajenga makanisa yake bali atajenga Kanisa lake! Kanisa Katoliki! Ndio alama pekee ya kanisa la Kristo ulimwenguni tukiamini imani moja, ubatizo mmoja na mchungaji mmoja.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna watu wanadanganya pia kuwa madhehebu yote yametoka kwenye ukatolik. Nadhani ndo wanavyodanganywa huko.Usisahau siasa ndio inaratibu maisha yetu ya kila siku
Hitimisho lako kuwa Biblia imeandikwa na Wakatoliki ni upotoshaji mkubwa.
Mosi.Bibilia ya kwanza inasadikiwa iliandikwa kwa lugha ya Armaic hii ni lugha ya eneo la Mashariki ya Kati pamoja na pembe ya Afrika,ni miongoni mwa lugha za kwanza kuandikwa zaidi ya miaka 4500 iliyopita
Pili.Ukiristo kwa ujumla wake umeanza miaka 2000 baada ya ufufuo wa Yesu Kristo na ndio wakati Agano la jipya,tafsiri yake ni kuwa Ukatoliki umeanza karne ya kwanza yaani baada ya Yesu kufufuka
Tatu.Dini ya kwanza ya iliyotimia Bibilia ni Judaism ambayo ilianza miaka mingi kabla ya Yesu