MJADALA: Kwanini Padri Luther aliondoa baadhi ya vitabu kwenye Biblia, na kwanini alijiondoa kanisa Katoliki?

MJADALA: Kwanini Padri Luther aliondoa baadhi ya vitabu kwenye Biblia, na kwanini alijiondoa kanisa Katoliki?

Unapingana na maandiko. ??
HABARI NDIYO HIYO, MBINGUNI HAKUNA MALKIA!!! KASOME VIZURI HAYO MAANDIKO, AND SO FAR VITU VINGINE KWENYE BIBLE NI VIGUMU SANA KUVIELEZA NA KUELEWEKA KWA MTU ANAYESOMEWAGA BIBLIA TO VATICAN CITY...
 
Umesahau pia sasa ndani ya Rc huduma nyingi ni fedha ubatizo, kumunyo, kuombewa yaani kusomewa misa ni pesa mbele kwanza n.k
Kwanini Luther alipunguza vitabu 7 vya Agano la Kale..??

Kwanini alitaka kuondoa kitabu cha Ufunuo, Yakobo na Waebrania ..?
 
HABARI NDIYO HIYO
Habari gani...??
, MBINGUNI HAKUNA MALKIA!!!
Hivyo kitabu cha Ufunuo kilikuwa kinatuongopea sio...??

KASOME VIZURI HAYO MAANDIKO
Vizuri ni kwa namna gani..?

, AND SO FAR VITU VINGINE KWENYE BIBLE NI VIGUMU SANA
Vigumu kwa mujibu wa nani...?? Kwanini unasema ni vigumu...? Kilichokigumu kwako unafikiri kwangu ni kigumu pia.. ?

KUVIELEZA NA KUELEWEKA KWA MTU ANAYESOMEWAGA BIBLIA TO VATICAN CITY...
Vatcan City inasomeaga watu biblia..? Unaakili timamu kweli wewe...?
 
Jamani hili swala lakanisa kathoriki ninayo maswali.mengi sana yakuhoji wanisaidie ili nielewe tena wanisaidie kimaandishi bibilia ikowazi msitake kujua habali zawatu waliokufa maana mkifahmu mtafazaika kisha inaendelea kusema .. mtu aliekufa nisawasawa namtu alie lalausingizi .. Sasanajenga hoja yangu kwabikla malia .bikila malia alishakufa nakama alishakufa inamaana hakuna anachofahamu maana amelala usingizi sasahoja yangu nihii munamwambiaje mtu alielala usingizi awaombee kwa mungu nawakati kuna anchokifahamu ... Jamani hiliswala lipimeni cheo mlichompa malia mbona sikioni kwenyebibilia..hiloandiko lakuwaombea mlilitoa wapi
 
Kwani kwenye harusi ya kana kinywaji kilipoisha, walimfuata nani ili awaombee kwa Yesu?, tatizo haya makanisa ya kilokole yanayoendeshwa na wachungaji ambao ni darasa la saba wanawapotosha, hawaijui biblia
Kumfuata akiwa hai ni sahihi maana yesu ni mwanae na pale walikuwa duniani ni kitu cha kawaida, ila hakuna maelekezo ya kumuomba mama Maria baada ya kifo chake biblia haijasema kuwa ana nguvu yoyote ya ajabu ambayo anaweza kuwasiliana na yesu baada ya kifo chake
 
Jamani hili swala lakanisa kathoriki ninayo maswali.mengi sana yakuhoji wanisaidie ili nielewe tena wanisaidie kimaandishi bibilia ikowazi msitake kujua habali zawatu waliokufa maana mkifahmu mtafazaika kisha inaendelea kusema .. mtu aliekufa nisawasawa namtu alie lalausingizi .. Sasanajenga hoja yangu kwabikla malia .bikila malia alishakufa nakama alishakufa inamaana hakuna anachofahamu maana amelala usingizi sasahoja yangu nihii munamwambiaje mtu alielala usingizi awaombee kwa mungu nawakati kuna anchokifahamu ... Jamani hiliswala lipimeni cheo mlichompa malia mbona sikioni kwenyebibilia..hiloandiko lakuwaombea mlilitoa wapi
nasubir majibu na mie
 
mtu aliekufa nisawasawa namtu alie lalausingizi ..
Mhubiri 7:12
Nao mwili hurudi mavumbini ulikotoka nayo Roho kumrudia Mungu aliyeitoa.....

Upo hapo....???

Ukitaka kujua Watakatifu wanafanya kazi gani mbinguni basi soma
Ufunuo 5:8 uone walee wazee 24 wanafanya nini...
 
Tunalo jina kuu kuliko majina yote tena huyu ndie muombezi wetu yesu kirsto ..bibilia inasema hivyo ....sasa wapi andiko bikila malia anatajwa kua muombezi wawatu
 
Naninataka niwaondoe shaka watu wanao aminishwa uongo kua bikila malia alipaa mbinguni huu niuongo ulikomaa ..katika oloza yawatu waliopaa mbinguni bikila malia hayumo ..kwanini hayumo nikwasababu hakupaa mbinguni..acheni kulishwa uongo somenibibilia
 
Kumfuata akiwa hai ni sahihi maana yesu ni mwanae na pale walikuwa duniani ni kitu cha kawaida, ila hakuna maelekezo ya kumuomba mama Maria baada ya kifo chake biblia haijasema kuwa ana nguvu yoyote ya ajabu ambayo anaweza kuwasiliana na yesu baada ya kifo chake

Maombi ya Watakatifu na wale wazee 24 wanaokizunguka kiti cha Mwanakondo yalikuwa ni watu gani...??
Hebu Soma Ufunuo 5:8
 
Naninataka niwaondoe shaka watu wanao aminishwa uongo kua bikila malia alipaa mbinguni huu niuongo ulikomaa ..katika oloza yawatu waliopaa mbinguni bikila malia hayumo ..kwanini hayumo nikwasababu hakupaa mbinguni..acheni kulishwa uongo somenibibilia

Sasa hata kutumia lugha ya kiswahili hujui, unataka kumhauri nani na akakuelewa...

Hebu nenda kule jukwaa la jokes ndio size yako, huku unatia kinyaa
 
Haya nimaandiko yabibilia simimi bibilia inasema mustake kujua mambo yawatu walio kufa maana mukifahamu mta fazaika .. Inaendelea kusema maana mtu aliekufa nakama amelala usingizi . Maana hakuna nalolifahamu.. Hayo nimaandiko ya bibilia
 
Simu imekosea yenyewe wewe masalia hiyo tunaita Autocorrect !!nilimaanisha petro.

Masalia tena!!! Unajua huu mjadala una saidia kuimarisha kanisa? Maana wachangiaji wengine naona kama wanasubiria boats za Bakhresa iapoti. Yesu ni yuleyule jana, leo na hata milele.

Na washawasha!
 
Habari gani...??
Hivyo kitabu cha Ufunuo kilikuwa kinatuongopea sio...??

Vizuri ni kwa namna gani..?

Vigumu kwa mujibu wa nani...?? Kwanini unasema ni vigumu...? Kilichokigumu kwako unafikiri kwangu ni kigumu pia.. ?

Vatcan City inasomeaga watu biblia..? Unaakili timamu kweli wewe...?
HAUWEZI UKAONA KAMA NINA AKILI TIMAMU KWA KUWA HATA CHUPA YA BIA NA SIGARA ZOTE ZINA ONYO LA 'HATARI' ILA SIDHANI KAMA USHAWAHI KUMSAIDIA MTUMWA MMOJAWAPO WA VATICANI AACHANE NA HIYO KITU, BY THE WAY KITABU CHA UFUNUO NI MAONO, NA TAFSIRI YA MAONO MARA ZOTE SI YA MOJA KWA MOJA, KUONA MWANAMKE ANATAJWA HAINA MAANA KWAMBA NI MALKIA WENU UNAYEMSEMA, NYOTA 12 NI FUMBO AMBALO LAWEZA KUWA KABILA 12 ZA ISRAELI AU MITUME 12, MWANAMKE KWA TAFSIRI NYEPESI NI KANISA. MUNGU HANA MKE KUSEMA KUWA TUTAMKUTA NA MALKIA TENA HUKO MBINGUNI...BIBI ARUSI ALIYETAJWA KWENYE UFUNUO SIYE MALKIA WENU NAPO NI KANISA...YAANI WALIOMKIRI KRISTO NA KUSHINDA DHAMBI!!!! ENDELEA KUIPIGANIA VATICAN KWA KUSOMA MISHALE/MISALE YA WAAMINI
 
Haya nimaandiko yabibilia simimi bibilia inasema mustake kujua mambo yawatu walio kufa maana mukifahamu mta fazaika .. Inaendelea kusema maana mtu aliekufa nakama amelala usingizi . Maana hakuna nalolifahamu.. Hayo nimaandiko ya bibilia
Nakuuliza na Wale 4 na Wazee 24 wanaokizunguka kiti cha Mwanakondoo pamoja na vinubi na vitasa wakiwa na Maombi ya Watakatifu walikuwa wapo wapi..???
 
Back
Top Bottom