MJADALA: Kwanini Padri Luther aliondoa baadhi ya vitabu kwenye Biblia, na kwanini alijiondoa kanisa Katoliki?

MJADALA: Kwanini Padri Luther aliondoa baadhi ya vitabu kwenye Biblia, na kwanini alijiondoa kanisa Katoliki?

Anhaa ok nafkiri Biblia yenu ni tofauti na yetu tunayoitumia hii ya vitabu 66,anyway kumbe yapo maandiko yanayowa guide?? Basi mkuuu ngoja niishie hapo kwa leo

Ndio maana mada inauliza, nini kilimpelekea Martin Luther kupunguza vitabu 7 vya Agano la Kale . ??
 
Nimeisoma na hakuna mahali nimeona tukiambiwa tukitaka kumuomba Mungu basi tupitie kwa maria, wala sijaona mahali ambapo maria alipaa kwenda mbinguni.

Kaburi la Yesu linajulikana, makaburi ya mitume yote yapo, umeshawahi kusikia mahali kaburi la Mama Wa Yesu lilipo...??

Ifunuo wa Yohana

"Ishara kubwa imeonekana mbinguni, mwanamke aliyevikwa jua na mwezi chini ya miguu yake, na taji ya nyote 12 juu ya kichwa chake"
 

Kaburi la Yesu linajulikana, makaburi ya mitume yote yapo, umeshawahi kusikia mahali kaburi la Mama Wa Yesu lilipo...??

Ifunuo wa Yohana

"Ishara kubwa imeonekana mbinguni, mwanamke aliyevikwa jua na mwezi chini ya miguu yake, na taji ya nyote 12 juu ya kichwa chake"
Endelea kusoma zaidi utaelewa kilichokuwa kinaendelea, ishara ilionekana mbinguni lkn matukio yalendelea duniani, kumbuka mwanamke alipewa mbawa akapaa hadi nyikani ambako shetani alijaribu kumdhuru lakini hakufanikiwa, je ni nini kilitokea huko nyikani?

Na kama kuna mahali panaonyesha alipaa kwenda mbinguni, au mahali panapitutaka tumuombe Mungu kupitia maraia hebu weka hapa.

Maana twapaswa kumuomba kupitia Mwana kwa msaada wa roho mtakatifu(utatu mtakatifu unakamilika)
Huo unne mtakatifu umeainishwa wapi?
 
Sasa ndugu zangu nadondosha jiwe lauhakika lamwisho naenda kulala...
isaya 45..20.. Inasema . Jikusanyeni enyi mje. karibia pamoja. Ninyi wamataifa miliookoka.....hawana ufahamu wale wachukuao mti wa sanam yao ya kuchonga. Wamuombao Mungu asieweza kuokoa.....

.... Sasa swali likohivi ninani anae bebelea lisanamu la mti wakuchonga

nakulitembeza. Nyumba hadi nyumba kama si ninyi wa katholiki.alimaalufu .Rc.bibili inasema katika kitabu cha isiya jikusanyeni enyi wamataifa miliookoka ..inaendelea kusema ninyi munao beba sanamu kua hamuna uelwa.. wowote munachukua mti wa sanamu yenu yakuchonga. munauomba kama mungu..
nahuku hauwezi kuokoa.....

Wa rc hilisomo litafakalini sana halafu mhoji kwanini bado munabeba masanamu nawakati yesu alisha kufa msalabani nakufufuka zamani...
huumda siowakuba masanamu huu nimda wakuomba na kufunga tu enzi za

sanamu zilikua enzi za msa kule jangwa kabla yesu hajaja duniani lkn kwasasa alishakuja tunasubilia kuludi kwake tu.
Sasa ndugu zangu nadondosha jiwe lauhakika lamwisho naenda kulala...
Umeandika upuuzi wa hali ya juu there is no doubt that you are a stupid man ...big time stupid man
isaya 45..20.. Inasema . Jikusanyeni enyi mje. karibia pamoja. Ninyi wamataifa miliookoka.....hawana ufahamu wale wachukuao mti wa sanam yao ya kuchonga. Wamuombao Mungu asieweza kuokoa.....

.... Sasa swali likohivi ninani anae bebelea lisanamu la mti wakuchonga nakulitembeza. Nyumba hadi nyumba kama si ninyi wa katholiki.alimaalufu .Rc.bibili inasema katika kitabu cha isiya jikusanyeni enyi wamataifa miliookoka ..inaendelea kusema ninyi munao beba sanamu kua hamuna uelwa.. wowote munachukua mti wa sanamu yenu yakuchonga. munauomba kama mungu.. nahuku hauwezi kuokoa.....
Wa rc hilisomo litafakalini sana halafu mhoji kwanini bado munabeba masanamu nawakati yesu alisha kufa msalabani nakufufuka zamani...
huumda siowakuba masanamu huu nimda wakuomba na kufunga tu enzi za sanamu zilikua enzi za msa kule jangwa kabla yesu hajaja duniani lkn kwasasa alishakuja tunasubilia kuludi kwake tu.
 
Habali wana jf .. Hivi wa kathoriki mmeenda wapi pigo moja tu nanyi mkapotea.. Nilitaka nidondoshe jabari lingine lakni mmekimba sawa kwavile mmesalimu amli nami nakaa kimya
 
Habali wana jf .. Hivi wa kathoriki mmeenda wapi pigo moja tu nanyi mkapotea.. Nilitaka nidondoshe jabari lingine lakni mmekimba sawa kwavile mmesalimu amli nami nakaa kimya
Ukijibizana na kichaa ni wazi utakuwa kichaa....

Kajifunze kuandika kwanza pamoja na semantiiki ya lugha..
 
Hakuna haja yakujifunza wewe lete maandiko mm nimetoa maandiko nawewe lete maandiko aja asila huunimuchezo usiyo na hasila
 
Nimeisoma na hakuna mahali nimeona tukiambiwa tukitaka kumuomba Mungu basi tupitie kwa maria, wala sijaona mahali ambapo maria alipaa kwenda mbinguni.

Unaamini kwamba bikira Maria ni mbarikiwa?
unaamini kwamba amejaa Neema?
Unaamini kwamba Bikira Maria ni Mama wa Mungu?
Nijibu hayo kwanza kabla sijaendelea.
 
We unajua..?? Kwanini unahisi sijui....Haya ngoja nikuekeze
Catholic ni neno la Kigiriki (Katolikos)linalomaanisha -eny, -iliyo enea....Universal....Ukisoma Biblia ya kigiriki pale Yesu anawambia wafuasi wake enendeni ulimmwenguni "kote".... Hapo kwenye "Kote" utapata inaandikwa " Katolikos".... Na neno hilo ndio likatoolewa jina la Kanisa na kuanza kuitwa rasmi Catholic Church ......

Aliyekuambia sijui ni nani...??

Anglican hawaitwi Anglucan Catholic... Ila Watu hupenda kuwapachika au kujipachika Anglo-Catholic, na hii ni kutokana Liturujia ya Anglican haina tofauti na ya Catholic...mfanano huo ndio ukawafanya waanglikana wajione kama Wakatoliki....

Hakuna kina kinaitwa Orthodox Catholic....
Catholic siyo dhehebu ni Kanisa Kamili...
Hakuna kitu kinaitwa Roman Catholic ila kuna Catholic Church

Hapo sijakuelewa

Nimeshakueleza hapo juu....

Nafikiri wewe ndio unapaswa kusoma...
 
Nimeisoma na hakuna mahali nimeona tukiambiwa tukitaka kumuomba Mungu basi tupitie kwa maria, wala sijaona mahali ambapo maria alipaa kwenda mbinguni.
Unajua mkuu shida ya wa rc ni kwamba wao ni Wafia dini! Kamwe huwez kumshauri m rc hasa alietukuka yaani wao huwa wanapinga walioambiwa na padri wao waz waz hata kama maandiko yanakataza lakini as long as dini yao imesema baasi maandiko hayana nafasi,Kwhyo unaweza jikuta unauliza hoja za msingi lakini ukakosa majibu sahihi kutoka kwao kwa sababu wengi wao ni wafia dini,Lakini ashukuriwe Mungu wa mbingu na nchi hata mtume paulo alituambia mtu yoyote akija hata awe malaika wa nuru kutoka mbinguni lakini akitufundisha neno lolote ambalo yeye paulo hajafundisha basi huyo na alaaniwe kwa maana hiyo,Hata kama ni dini yoyote ile kama haisimamii misingi ya BIBLIA hio sio dini,maana dini ni mpango wa mwanadamu kumtafuta Mungu na Mungu atatafutwaje ikiwa neno lake lenyewe linapindishwa??? Jaman wakristo wenzangu Tukae na tudumu katika Neno tuache kufatisha dini kwn hakuna mahali pameandikwa dini zetu ndo zitatupelek mbinguni isipokuwa ni utii na unyofu wa moyo na kukaa katika neno,kwn neno ndo litakalohukumu na wala hutahukumiwa kwa sababu ulikuwa dini flan ama la!
 
kiukweli umekuwa mkristo usie na faida.
kuabudu miungu na kuvunja amri za Mungu ndiko kunakutesa mpaka umkosoe martini luther.
kajipange upya na hoja zako zenye kukinzana na imani ya ukristo.
Hapa ungeonekana wa maana endapo ungetuonesha kiundani alipoenda kinyume na maandiko au kuvunja amri
 
.
*uandishi wako unaonyesha kua huijui historia ya kanisa,,,
kwa mfano huzungumzii sala kwa bikira maria na cheo chake cha umalkia, ubatizo,,, imani, na neno..
Zungumzia wewe Kama unajua
 
wenzangu Tukae na tudumu katika Neno tuache kufatisha dini kwn hakuna mahali pameandikwa dini zetu ndo zitatupelek mbinguni isipokuwa ni utii na unyofu wa
Nipe sababu zs Martin Luther kuondoa vitabu 7 vya Agano la kale...

Nipe sababu za Martin Luther kutaka kuondoa vitabu vya Ufunuo, Yakobo na Waebrania....

Jikite kwenye mada...
 
Maria ni Mtakatifu kama Watakatifu wengine...Na Watakatifu wana kazi ya kutuombea....Wao ni Kanisa Shindi huko mbinguni..

Soma Ufunuo 5:8 uone maombi ya Watakatifu na Wale wazee 24 mbele ya Kiti cha Mwana Kondoo..
Soma 14.6 yohana mt. Kabla hujacomment mkuu.
 
KWANINI PADRE Luther ALIFUKUZWA KANISA KATOLIKI? NA KWANINI ALIONDOA BAADHI YA VITABU KWENYE BIBLIA AGANO LA KALE?

Padre Luther alikuwa miongoni mwa Mapdre wenye karama nyingi ndani ya Kanisa katoliki wakati wake, Yeye alikuwa na Madai mengi sana juu ya mapungufu kwa kanisa. Hata hivyo madai yake mengi hayakuwa na msingi wowote.

Moja ya madai yake ilikuwa ni kuondoa kibali cha kwamba baada ya kuungama muumini asipewe stakabadhi ya kuonesha ameungama kwa kuwa kitubio ni siri ya MTU. Hili lilifanyiwa kazi. Mengine ikiwemo kurekebisha mfumo WA sala ya Kanuni ya Imani. Na mambo mengine mengi ambayo alipojibiwa, yeye hakuridhika pamoja na kueleweshwa vya kutosha. Alikuwa ni Great Thinker sana.


Mbaya zaidi alipokuja kusababisha mpaka akajitenga na kanisa ni kitendo cha kuondoa baadhi ya vitabu kwenye Biblia ikiwemo pia kupunguza baadhi ya mistari kwenye vitabu kama cha Esta na Cha Danieli.
Aliondoa vitabu vya Deutrokanoni na vingine baadhi na kuwa jumla ya vitabu 7 vilivyotolewa kwenye Biblia. Na kila kitabu alikuwa na sababu yake aliyoibainisha. Kimsingi alipata wafuasi wengi WA kumuunga mkono hoja yake hasa wale ambao walikuwa wanatafta njia ya kuchuma pesa kiulaini. Na hapo Biblia mpya ilianza yenye Vitabu pungufu.

Na ndio maana Leo watu hawaujui Ukristo vizuri na wanakinzana bila kujua historia ya kanisa. Watumishi wengi WA Mungu hasa HAWA WA kileo wasiojua nhistoria vizuri wao kila kitu wanapinga. Sio kosa lao Bali ni kosa la kutokujua historia ya kanisa.
Matumizi ya Ubani yalipingwa sana, na hapa ilikuwa ni kuondoa idadi ya waelewa. Kutokana na watu wengi walikuwa wamegeuka kama waganga kila mapepo ya kiwakabili walitumia ubani kuyafukuza na yalikimbia, lakini watu walijisahau kusali na kuomba na hata kufika ibadani ikawa nadra maana wanajua kujiponya kuondokana na majini na wachawi. Hapa Padre Luther na wenzake wakapiga marufuku matumizi ya ubani na kuwa sihi wakazanie Neno zaidi.

Hapa walichotakiwa kufanya ni kuliishi Neno la Mungu na wakati WA ibada basi ubani uchomwe kama Mungu alivyo agiza.
Luther na wenzake lengo lao lilikuwa ni biashara hapo baadae na kimsingi mpango huo ulifanikiwa. Na ndio maana mpaka Leo watu wametawaliwa na mfumo WA majini katika maisha yao kwa kuwa wamefungwa akili ya kujitambua na wanaamini maneno ya mdomoni na sio Maandiko ya Biblia kama yanavyosema.
Nimengi ya kujifunza sana Leo hii lakini kwa Leo naishia hapa.

deogratius Nalimi Kisandu.
1. 1. 2017.
nani kaviandika hivyo vitabu vilivyoondolewa? Hata mashuleni vimeondolewa baadhi ya vitabu kwa literature na riwaya vilivyokuwa vikitumika huko nyuma kama vile elfu lela ulela, hekaya za abnwas, tende hogo, kuli, n.k kutokana na sababu mbalimbali za wakati. Hata Luther kuondoa baadhi ya vitabu vya riwaya kwenye bibilia ni sawa kabisa. Hata wanawake hivi sasa wako mbioni kuzifuta baadhi ya riwaya za kwenye bibilia zinazowakandamiza, kuwabeza na kuwatweza kama zile zinazosema mwanaume ni kichwa cha nyumba, mwanamke kazi yake ni kuzaa kwa uchungu tu basi, mwanamke mpumbavu ataivunja nyumba yake mwenyewe, mwanamke alimdanganya Adam, na mwanamke katwaliwa kwenye ubavu wa mwanaume. Kwa mwanamke wa sasa wa 50% kwa 50% hizi ni riwaya tu zisizotekelezeka kamwe katika zama hizi, akitokea mtu atakayezifuta kwenye bibilia watashangalia sana. Hicho ndiko alichokifanya Padre Luther, na bado kufuta kutaendelea mariwaya yale yanayotumika kuwafilisi waumini kwa michango ya kilaghai makanisani kwa manufaa ya wajanja wachache wasiopenda kufanyakazi iko siku yatafutwa kwenye bibilia tu, ni swala la wakati tu.
 
Kaburi la Yesu linajulikana, makaburi ya mitume yote yapo, umeshawahi kusikia mahali kaburi la Mama Wa Yesu lilipo...??

Ifunuo wa Yohana

"Ishara kubwa imeonekana mbinguni, mwanamke aliyevikwa jua na mwezi chini ya miguu yake, na taji ya nyote 12 juu ya kichwa chake"
Huwezi kuliona wanawake enzi hizo hawakuwa na heshima kwenye jamii, hivyo kabuli lake halikuwa kipaumbele
 
Back
Top Bottom