MJADALA: Kwanini Padri Luther aliondoa baadhi ya vitabu kwenye Biblia, na kwanini alijiondoa kanisa Katoliki?

MJADALA: Kwanini Padri Luther aliondoa baadhi ya vitabu kwenye Biblia, na kwanini alijiondoa kanisa Katoliki?

Wakathoric hili swala la bikira maria kuawaombea watu zambi zao nilakubumba.. Halipo kwenye bibilia .. Halafu nilisha waambia mufu hawezi kumuombea mzima nawakati yeye hajitambui..bibilia inavifungu vingi vyakimaandiko vinavyosibitisha kuwa mtu alie kufa amelala mauti na hakuna nachokifahamu.. Na Maria alishakufa sikunyingi zilizopita.. Atawezaje kuwaombea ambao wako hai..ili tukubaliane na ninyi leteni andiko wapi bibilia inasema maria alipaa mbinguni..
 
Followers wa St Thomas ni part of the Catholic Church kama ulikuwa hujui.....Most of Eastern Church including Armenian na Chaldean wote ni part of Catholic Church...

Coptic Ni part of Eastern Rite....Easter Orthodox Churches zote walijitenga na Kanisa Katoliki mwaka 1100..,

Zote hizo zinasngukia kwebye Eastern Orthodox Churches...

Utengano wa kwanza ulitokea mwaka 1100... Before that kulikuwa na Kanisa Katoliki pekee.....
Let me ask you some questions. When the first time the word Catholic was used to describe the church? Second, in which context the word was used for? Third, can you find the word in the Bible?

In your answers, you seem to put the Eastern and Oriental Orthodox churches in one basket. They are different. Please read your history and then come back to argue with me
 
Je unalo andiko la bibilia linalosibitisha kuwa wakaridayo walikuwa nisehemu ya catholic..lete andiko sio hadisi.. maana hadisi ndizo zinazotusumbua mpaka sasa.. maria kuwa muombezi hizi niadisi zisizokua na kichwa wala miguu
 
Nimewaambia leteni maandiko wapi wafu wana hakhi ya kibibilia ya kuwaombea wazima .lakni mmekoswa ndiomaana ninawaambia munalishwa uongo hakuna andiko linalompa mari na wafu wenzie mamlaka kuwaombea walio hai.. Na mukilileta andiko hilo..mm naacha kuhuzulia jf
 
Let me ask you some questions. When the first time the word Catholic was used to describe the church? Second, in which context the word was used for? Third, can you find the word in the Bible?

In your answers, you seem to put the Eastern and Oriental Orthodox churches in one basket. They are different. Please read your history and then come back to argue with me
Umemuuliza maswali magumu sana sidhani kama atajaribu hata kukujibu.Hawa vijana wa seminari wamezoea kukaririshwa rozari tu.
 
Umemuuliza maswali magumu sana sidhani kama atajaribu hata kukujibu.
Majibu nilishampa hapo....Wewe tulia historia huijui kaa kimya kabisa....Wewe soma manuscript za Ellena White ndio size yako..

Hawa vijana wa seminari wamezoea kukaririshwa rozari tu.
Mimi, ninaweledi wa maandiko ndugu, naijua historia vizuri....histori chafu ya SDA naifahamu vizuri, kuanzia Miller, Bates na wenzako mpaka White wote hao nawajua vilivyo....Huwezi nidanganya chochote.....

Hii nitaarifa nakupa kama ulikuwa hujui
 
Duh ...ili tuelewane hapa ....jiulize ....nini msingi wa unachoamini? Then ukijua msingi chimba historia ya huo msingi bila kutegemea simulizi tu za mtu/ mchungaji unayemuamini ....otherwise hutajua mipaka yako ...
 
Kanisa katoliki wanamuhitaji Mungu kwakwl na ndo mana wengi wanaoelewa neno huwa wanakimbia,Japo sijawahi kuwa mkatoliki lakini naskia ukifa siku ya kuzikwa padri akikuombea rehema basi unasamehewa makosa yako! Na pia mama maria ndo anawaombea wakatoliki,pia ndo dhehebu pekee ambalo pombe imehalalishwa!! Mungu atusaidie sana

Hiithread imenifanya nicheke sana. Kuhusu kuhalalisha pombe, kama mkuu wa kaya mwenyewe alitnga kwenye harusi na akawapa watu Pombe na wakanywa, utawalaumu vp watoto!?

Ishu ya kufa na kuzikwa na padri, huo utaratibu tu wa kanisa na wala hamna hicho una hosema kuwa mtu anaombewa rehema. Sijawahi sikia japo nami ni Muumini wa katoliki.

Lastly, wengi wanao kimbia kimbia, huwa wanatapa tapa kwani mwisho wa siku hurudi kundini baada ya kukutana na milolongo ya taratib ambazo nyingi hutia shaka. Especially suala kama la sadaka. Waumini wao huwa hawapewi black and white matumizi ya sadaka, mwisho wa siku unakuta kiongozi wa kanisa amejinunulia PRIVATE NDEGE, na magari ya kifahari.
 
wakathoric acheni jaziba hili swala kanisa kathoric kuwauwa mitume na wakiristo wamwanzo sio hadisi ni jambo lakweli.. Hata wakina yohane petro na wengine wengi walifia roma chini ya uongozi wa dola la kiroma.. Petro alisulubiwa..nakazikwa hapo yalipo makao makuu yakanisa la Rc.. itary.. Na waliomuuwa ni hawahawa naoijiita Romani kathoc.. Kipindihicho walikuwa wanafanya mamboyao kama dola..nakisha wakajibadilisha nakujiita kanisa.. Kunamambo mengi hili kanisa limeyaficha..na limeongoza uuwaji wa mitume wengi na ushaidi upo
Safi waelimishe,huenda wakafumbuliwa macho.
 
Anaekimbia kathoric nakuludi alikuwa kakimbizwa na mapepo nasasa kapona ana amua kudi.. Lkn ninawaambia ubani hauwezi kutoa pepo maana hata yesu hakuutumia ubani .. Ubani ulitumiwa na waumini wakipindihicho ambao walikua sii wakiristo nakama walikuwa sii wakiristo inaamana walikuwa wapagani walikua na dini zao ambazo yesu alizishutumu sana hadi alifikia kuwaambi enyi wanafiki.. Ninani elie walaani.. Kamahizodini. yesu angezikubali asingeweza kuzifumua kiasi hicho
 
Habali za bikira maria zili ziliishia pale yesu alipoitwa na mmojawapo wa wanafunzi wake .wakamwambia bwana mama yako na nduguzo wako inje wanakuita yesu akasema mama yangu na ndugu zangu niwale wanao lishika neno la Mungu..na aliendelea kuhubili.. Kwamujibu wa andiko hili hakuwaona nduguze wala mama yake sasa hicho cheo mnacho mubandika maria mmekitoa wapi.. Simutuwekee nasisi vifungu vya kibibilia vinavyompa maria mamlaka ili nasisi tuvisome
Wewe sali uwezavyo haya Maria yanahitaji elimu pana sana na usiwabeze wengine.
 
Kwa taarifa yako, sio kujua hayo mafumbo ya vitu na watu, ni kuwa kitabu chote cha Apokalpse ya Yohana nina weledi nacho ..

Vipi unataka tuelimishane...??
Hebu tuelimishe nasi tukuelimishe hiyo ndiyo itakayotoa mwanga kwa wasomaji wengi..!
 
Hebu wewe nieleze....Sitaki kurudia mara kumi kumi kitu kile kile.....

Wewe unafikiri hao wazee 24 na wale 4 ni nyanya zako wako dongobeshi...?
Mbona unatukana na una hasira...punguza hasira..rudi kwenye swali na elezea ili tukuelewe!!
 
Ndio maana nikasema apa panahitatajika Taaluma Mungu(THEOLOGY) huwezi kuelewa hili jambo,ila kwa kifupi Wakatoliki hawamwombi Maria/Watakatifu direct Bali wanamwomba Mungu kwa njia ya mwanae Yesu Kristo na pia wanakazia sala zao kupitia watakatifu akiwemo Maria Mtakatifu mama wa Mungu,njoo na Uzi unaohusu mambo haya kisha tutakuja,ila Taaluma Mungu muhimu sana kwako na mengine style yako.
Nadhani tuiangalie Biblia inasemaje..Theology isikufunge maana hiyo siyo Maandiko, Ukiisoma Biblia haijichanganyi imesema moja kwa moja...'Hakuna mtu anaweza kusimama badala ya Yesu Kristo ili kumfikia Mungu Baba..hiyo ni Biblia inasema, sasa kama Theology inataka kupindisha hilo haliwezi kuwa matakwa ya Kibiblia bali matakwa ya hao wanatheology na utashi wao wa kuelewa.
 
Laiti ungejua hata hiyo tafsiri unayoamini chanzo chake ni nini usingeangaika kumshangaa mwenzako....kwani nini unaamini tafsiri yako ni sahihi na huyu ni potofu? Mchungaji wako? Tumieni akili kwenye vitu vinavyohitaji akili tu!
Hebu tupe tafsiri yako ili kujenga uelewa zaidi na kama ni tofauti utapingwa tu..maana Biblia itabaki kuwa ilivyo na tafsiri za wanadamu zitabaki kuwa tafsiri...karibu
 
Naona hapa umeanza uchochezi kati ya wakatoliki na walutheri na bila kujua watu wameingia kichwa kichwa na kuanza kurushiana maneno.

Dhambi ya ubaguzi aliyoisema Nyerere ndio inaanzia hapo, mleta mada ameanza ameanzisha mada hii akijua kabisa nia yake kuchonganisha watu then akimaliza hapo anakuja na thread ya waislam na wakristo.

Akimaliza hapo kati ya wakristo na waislam anajua ameshapandikiza chuki kwa kumwaga sumu ya maneno, then wengine waje waseme kabila fulani na fulani ni wakuogopwa ni kama ukoma

Moderator nashauri maada hii ifutwe cc Invisible
 
Yesu aliacha kanisa katoliki lini? Wakristo wenzangu hamna tofauti na walevi.
Usitukane..We mjibu hoja yake ili kujenga uelewa nadhani ndiyo msingi wa forum hii!
Yesu alipokufa aliliacha Kanisa lisilo na jina, na pale Yerusalemu, Mitume walikuwa na kawaida ya kukutana na Kusali hata baada ya mtawanyiko alipokufa Stefano, wengi walitawanyika kwenda Asia ya Kati, Wengine wakaenda hadi Antiokia (uturuki ya sasa) na huko baada ya wengi Kuiamini Injili ya Yesu Kristo wakaamua kujiita Wakristo..Kwa hiyo Neno ukristo lilianza kuitwa mahali hapo (Mdo:11:26..)
Kwahiyo hakuna mahali ambapo Biblia inatuambia aliacha Kanisa la Catholic, au Sabato, au Lutheran au Pentecoste, au Assemblies of God au lolote unalolifahamu....Ukifahamu hilo tunaweza kuendelea zaidi ya hapo...Karibu
 
Back
Top Bottom