Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 37,957
- 26,414
Huyo jamaa naona nikichaa....nimempuuza ndio maana sihangaiki kumjibuHivi unavyosema umeokoka huwa unamaanisha nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo jamaa naona nikichaa....nimempuuza ndio maana sihangaiki kumjibuHivi unavyosema umeokoka huwa unamaanisha nini?
Na wale waliokuwa wakulima, walitoa dhabiu gani? Au wao hawakusamehewa? Watu mnapenda kuamini myths bila kufikiri.Ni upi! Tulikua hatuna tumaini, lakini sasa tuna tumaini la uzima wa milele! MWanzo mwanadamu alipata msamaha Wa dhambi Kwa kutoa dhabihu za wanyama.
Lakini Mungu amemtoa Yesu ili kupitia yeye tupate msamaha Wa dhambi
Ndio makosa mnayofanya hayo, YESU SIO MWOMBEZI
Kaka huwa unasoma kwa kurukaruka nini, nimekuwekea hayo maandiko mbona hujasoma?
Efeso 5:5
Kolosai 3:5
Tatizo lenu Wakatoliki hata hamsomi Biblia ila mmekaririshwa hadithi za kutunga. Soma Waebrania 7:25. "Naye aweza kuwaokoa kabisa wao wamwendea Mungu kwa yeye, kwani yu hai siku zote awaombee."Ndio makosa mnayofanya hayo, YESU SIO MWOMBEZI
Alikuwa anatufundisha tusiwaheshimu mama zetu kama tunakuwa na uwezo wowote zaidi??? mama tunanini mimi nawewe?? mama what we share?? mama by the way u aint ma really mama?? mama you aint shit ....mama you are nothing... Ni tafsiri ya kishetani.Leta hoja sio vioja mama maria she is nobody on this world "mama tuna mini Mimi nawe" alisema yesu karamuni
Yesu awaombee kwa nani?, unamfahamu Yesu kweli?, badala ya kusamehe yeye ndio akuombee kwa nani?Tatizo lenu Wakatoliki hata hamsomi Biblia ila mmekaririshwa hadithi za kutunga. Soma Waebrania 7:25. "Naye aweza kuwaokoa kabisa wao wamwendea Mungu kwa yeye, kwani yu hai siku zote awaombee."
Nipe yanayohalalisha kutumia picha kifundishiaHayo mafungu hayahalalishi ibada ya sanamu, acheni kutafuta vichaka vya kujificha
Yesu ni Mungu, Haya niambie tangu lini Mungu akafanya maombi..? Anamuombea nani...? Mungu anaombea...?Tatizo lenu Wakatoliki hata hamsomi Biblia ila mmekaririshwa hadithi za kutunga. Soma Waebrania 7:25. "Naye aweza kuwaokoa kabisa wao wamwendea Mungu kwa yeye, kwani yu hai siku zote awaombee."
Hadithi zipi za kutunga..??ila mmekaririshwa hadithi za kutunga.
Kwa hiyo unapingana na Biblia inapoosema Yesu ni kuhani wetu mkuu, yu hai siku zote akituombea? Waroma kwa kupotosha Biblia mmekubuhu hata aibu hamna?Yesu awaombee kwa nani?, unamfahamu Yesu kweli?, badala ya kusamehe yeye ndio akuombee kwa nani?
Kwa hiyo unapingana na Biblia inapoosema Yesu ni kuhani wetu mkuu, yu hai siku zote akituombea? Waroma kwa kupotosha Biblia mmekubuhu hata aibu hamna?
Yesu ni Mwana wa Mungu na ni mmojawapo katika Utatu Mtakatifu.Mungu Baba mwenyewe ndiye aliyempa ukuhani milele.Soma Waebrania 5:5-10. Kama ulikuwa hujui, kazi ya ukuhani ni kufanya upatanisho baina ya Mungu na wanadamu kwa maana ya kuwaombea msamaha wa dhambi. Kazi hii anaifanya Yesu katika hekalu la mbinguni alimoingia baada ya kummshinda shetani kupitia mauti yake,hivyo alilipa deni la dhambi kwa damu yake.Ni yeye pekee anayestahili kuwa mwombezi wetu hakuna kiumbe awaye yote anayestahili isipokuwa Yesu pekee.Waebrania 7:25...."Yu hai siku zote akituombea." Mawakala wa shetani lazima wapotoshe ukweli huu, lengo la shetani ni kupotosha watu wasikubali Neema hii ya bure iliyotolewa na Yesu Mwana Mungu.Yesu ni Mungu, Haya niambie tangu lini Mungu akafanya maombi..? Anamuombea nani...? Mungu anaombea...?
Au hii umetoa kwenye ile biblia yenu inayopinga Utatu Mtakatifu (Polytheisism)...?
KWANINI PADRE Luther ALIFUKUZWA KANISA KATOLIKI? NA KWANINI ALIONDOA BAADHI YA VITABU KWENYE BIBLIA AGANO LA KALE?
Padre Luther alikuwa miongoni mwa Mapdre wenye karama nyingi ndani ya Kanisa katoliki wakati wake, Yeye alikuwa na Madai mengi sana juu ya mapungufu kwa kanisa. Hata hivyo madai yake mengi hayakuwa na msingi wowote.
Moja ya madai yake ilikuwa ni kuondoa kibali cha kwamba baada ya kuungama muumini asipewe stakabadhi ya kuonesha ameungama kwa kuwa kitubio ni siri ya MTU. Hili lilifanyiwa kazi. Mengine ikiwemo kurekebisha mfumo WA sala ya Kanuni ya Imani. Na mambo mengine mengi ambayo alipojibiwa, yeye hakuridhika pamoja na kueleweshwa vya kutosha. Alikuwa ni Great Thinker sana.
deogratius Nalimi Kisandu.
1. 1. 2017.
Wewe ni mgumu kuelewa umeambiwa lile tendo kwe harusi ya Kana,Kathoric mmeshindwa kusibitisha kimaandiko.wapi mama mtukufu mariamu kapewa mamlaka ya kibiblia kuwaombea watu na ilihali yeye ni mufu..hakuna andiko lolote kwenye biblia linalotowa luhusa ya wafu kuwaombea walio hai..huu ndio ukweli unaotakiwa watu kuelezwa na kusikilizwa..eeehee ndiyo
Katoliki hawakushiriki kwenye mauaji ya mitume/watakatifu....walioshiriki ni wapinga kristo... Au kama kuna ushahidi ebu tujuze.....pengine ni mafundisho ya uongo umepewa tujuwe.Swala la mamlaka.... dhehebu la kathorici haliwezi kukwepa utabili wakitabu cha ufunuo kwasababu viashilia vingi vilivyiomo ndani ya kitabu cha ufunuo tunauona ndani yakanisa hili .. Kuwauwa mitume wa yesu pia na wakiristo wa mwanzo wa kipindi hicho kuukandamiza ukiristo pia hayo yote yitekelezwa naHawa Rc ..hawa Rc wasasa kwakipindi hicho walifahamika kama dora la kiroma ..tunamengi ya kusema kuusu kathoric pamoja na hawa jamaa wanao jiita wasabato hawa watu walishilikiana kuakikisha ukiristo unapotea kabisa.. Lkn Mungu muacheni aitwe Mungu
Hawa watu ni wagumu sana kuelewa.Kaka mbona povu sana mpaka unashindwa kuandika vizuri?
Umeshapata copy yako ya Biblia mpya ya Kisabato? Ipakue hapa
Clear Word Exposed
Ni ajabu sana, Katoliki wamekaa na hiyo Biblia kwa zaidi ya miaka 2000 na hawakuthubutu kubadirisha hata nukta moja ya andiko lolote na walikuwa na uwezo wa kufanya hivyo, lakini walikuwa na hofu ya Mungu na katiak ukatoliki hata Papa hawezi ku temper na Bible,
Kaja Luther kaanza kutemper na bible mara sitaki Ufunuo mara Makabayo, mara Jakobo, mara rudisha ufunuo, uzuri wake yeye alikuwa na misingi ya Kikatoliki hivyo alitoa vitabu vizima vizima,
Cha ajabu hawa wasabato ambao hawana hata miaka 200, wameshaanza kuibadirisha Biblia, wanaweka maneno yatakayoendana na mafundisho ya uongo ya nabii wa Uongo Mpinga Kristo bibi Ellen,
Someni hiyo link hapo juu kuona hiyo Bibliamya Kisabato
Cc: Otorong'ong'o , jiwe la majiwe kandere , Kitaja , Ntuzu
Kuwa huru,kutotenda dhambi tenaHivi unavyosema umeokoka huwa unamaanisha nini?
Hili ni tatizo kubwa sana,Ndio makosa mnayofanya hayo, YESU SIO MWOMBEZI
Kwa hiyo Yesu si Mungu ila ni Mwana wa Mungu...?? Ni jibu hapaYesu ni Mwana wa Mungu na ni mmojawapo katika Utatu Mtakatifu.Mungu Baba mwenyewe ndiye aliyempa ukuhani milele.Soma Waebrania 5:5-10. Kama ulikuwa hujui, kazi ya ukuhani ni kufanya upatanisho baina ya Mungu na wanadamu kwa maana ya kuwaombea msamaha wa dhambi. Kazi hii anaifanya Yesu katika hekalu la mbinguni alimoingia baada ya kummshinda shetani kupitia mauti yake,hivyo alilipa deni la dhambi kwa damu yake.Ni yeye pekee anayestahili kuwa mwombezi wetu hakuna kiumbe awaye yote anayestahili isipokuwa Yesu pekee.Waebrania 7:25...."Yu hai siku zote akituombea." Mawakala wa shetani lazima wapotoshe ukweli huu, lengo la shetani ni kupotosha watu wasikubali Neema hii ya bure iliyotolewa na Yesu Mwana Mungu.
Yesu ni nani..?Kwa hiyo unapingana na Biblia inapoosema Yesu ni kuhani wetu mkuu, yu hai siku zote akituombea? Waroma kwa kupotosha Biblia mmekubuhu hata aibu hamna?
Ni wapi kwenye andiko kunasemekana Yesu kaingia hekalu la Mbinguni...? Mbinguni kuna hekalu..? Tokea lini...? Haya mafundisho potofu ndio mmeyatoa kwenye manuscript ya Ellena...??Kazi hii anaifanya Yesu katika hekalu la mbinguni alimoingia baada ya kummshinda shetani kupitia mauti yake,hivyo alilipa deni la dhambi kwa damu yake.N