MJADALA: Kwanini Wanawake wanaongoza kuwa na majini/mapepo kwa kasi kuliko Wanaume?

MJADALA: Kwanini Wanawake wanaongoza kuwa na majini/mapepo kwa kasi kuliko Wanaume?

Sifa mojawapo ya asili ya mwanamke ni kusikiliza.
Sasa kule kupenda kusikiliza wamejikuta wanakubali kwanza kwenda kwa wachungaji..
Pili wachungaji wanapoyakuza kwa mbwembwe mambo ya pepo na laana wanaaikiliza kwa makini na kuyabeba na kujisikia kama wamepagawa wanajisikia km wamelaaniwa. Basi wachungaji ndo wanatumia tabia hiyo ya asili ya mwanamke kwa manufaa yao. Wanawake wajitambue hata tatizo dogo la kutatua kwa akili aliyopewa na Mungu atataka akaombewe. Naamini kwa Mungu hakuna lisilowezekana... Lkn Mungu huyu ametupa akili za kutatua, kuamua na kufanya jambo na sio kuambiana 'usitumie akili yako" ili mtu abaki anamtegemea mchungaji wakati Mungu amempa akili, elimu, hakima na vipaji mbalimbali. Nakerwa sana na wanaodanganya wenzao tangu nilipofiwa na wifi yangu I have negative attitude towards THEM
 
Sifa mojawapo ya asili ya mwanamke ni kusikiliza.
Sasa kule kupenda kusikiliza wamejikuta wanakubali kwanza kwenda kwa wachungaji..
Pili wachungaji wanapoyakuza kwa mbwembwe mambo ya pepo na laana wanaaikiliza kwa makini na kuyabeba na kujisikia kama wamepagawa wanajisikia km wamelaaniwa. Basi wachungaji ndo wanatumia tabia hiyo ya asili ya mwanamke kwa manufaa yao. Wanawake wajitambue hata tatizo dogo la kutatua kwa akili aliyopewa na Mungu atataka akaombewe. Naamini kwa Mungu hakuna lisilowezekana... Lkn Mungu huyu ametupa akili za kutatua, kuamua na kufanya jambo na sio kuambiana 'usitumie akili yako" ili mtu abaki anamtegemea mchungaji wakati Mungu amempa akili, elimu, hakima na vipaji mbalimbali. Nakerwa sana na wanaodanganya wenzao tangu nilipofiwa na wifi yangu I have negative attitude towards THEM

pole sana linguistics
 
Habarini za jumapili wadau?

Jamani naomba tupanuane uelewa na tulichanganue hili suala.

Hivi ni kwa nini wanawake huwa waathirika wakubwa wa nguvu za giza(demon spirit)?

Hili unaweza kulishuhudia katika mikutano ya injili asilimia kubwa ya wanaoangushwa na hizi nguvu za giza huwa ni wanawake. Sasa mi hujiuliza kwa nini hizi nguvu huwapendelea sana wanawake.

Karibuni wadau tusaidiane michango yenu ni muhimu sana na ninaamini jibu halisi litapatikana hapa.

Ahsanteni...Jboy
Ni jambo la kiasili mno angalia shetani alimchagua Eva kufanikisha nia yake ovu
 
Hysteria(wide fluctuation of current in the brain) is caused by the female organ. Wanaume pia wanaweza kuwa hysterical kwa sababu mwanaume anazo pia hizo female organs to a lesser extent. It is hysteria. Wizara ya elimu haifahamu na wasichana wa boarding wakiwa hysterical.they don't know what to do. Wanawaleta waganga wa kienyeji badala ya kwenda Canada au Australia kuomba msaada.
 
Wanawake tumejaa emotions na uoga.Tunatumia sana hisia badala ya akili.
Utakuta mtu hata asipokua na pepo mwenzake anatolewa pepo yeye anaanza kuwa hysterical na emotional, analia na kugala gala.
 
Hata mkutano wa leo jangwan wanawake walikua wengi kuliko wanaume
 
katika bustani yaeden shetani alimdanganya eva hapo ndipo uhusiano wa shetani na mwanamke ulianzia hadi leo.

ni kweli,asili ndio kiunganishi kwani ni watoto wa kike ndio ulithishwa ushirikina kuliko wa kiume
 
ni uoga wao na udhaifu wa mioyo, ni wepesi kushawishika.
kimsingi wale wanaoanguka kwa mapepo si kwamba walienda hapo na mapepo,hapana, bali wakiwa hapo hapo wanaombewa wao huamini wana wapepo na hata kujilegeza kama mtu mwenye pepo, shetani hutumia huo mwanya kuwapagawisha kweli na hujikuta wanaanguka kweli.
wanaume wengi hata wakusukumwa wakati wanaombewa huamini hawana pepo hujukuta hawaanguki.
Ukiamini kitu fulani ndivyo itakavyotokea, mfano akilala kwenye nyumba ambayo anaamini ina mapepo usiku lazima atapata kiashiria cha kuonesha hapo kuna mapepo kweli. Kwenye Biblia, mfalme sauli alienda kwa mganga akiamini mganga atamwinua samweli ambaye alikuwa amekuwa ili waongee naye, imani hiyo ilifanya sauli amwone samweli kweli, japo kiuhalisia yule hakuwa samweli ni shetani tu.

leo hii kuna watu wanaamini ndugu akifa lazima waomboleze siku 40 wakiamini usipofanya hivyo mzimu wa marehemu utawasumbua, na kweli wasipofanya wanasumbuka sana ila kama huamini hivyo wala husumbuliwi na hiyo mizimu,, sasa udhaifu huo ndio shetani huutumia kwa wanawake wengi, ni wepesi kudanganywa na kujiona dhaifu.
 
Mimi sijawahi kua mwanamke. Tumsubiri FaizaFoxy atumegee LIVE.
 
Kiroho mwanamke anahesabika ni ubavu katika mwili mzima. Hiyo space iliyobaki mianya mingi inapita hapo
 
Sababu kubwa ya Wanawake kuwa wahanga wa hayo mambo.....Kwa wakristo Ukisoma MWANZO 3:15 utaelewa sababu
 
Mpendwa mazingira au chaneli za mawasiliano na mapepo zinatengenezwa,na mtu binafsi ndiye mhusika mkuu katika kujenga mazingira hayo au kutengeneza chaneli hizo.Mwanadamu amepewa hapa duniani kuchagua kati ya maisha yanayompendeza Mungu wa Yakobo(YEHOVA)au shetani,there is no midpoint,au wewe ni wa Shetani au Yehova.Sasa kama ukiamua kuishi maisha yasiyo mpendeza Yehova,automatically umefungua chaneli za mawasiliano na Shetani,meaning kwamba the Devil can attack you as he wishes.Kwa hiyo the answer to your question ni kwamba, wanawake wanaweka chaneli za mawasiliano na Shetani wazi zaidi kuliko wanaume.Kwa maneno mengine twaweza sema,wanawake wanampa Shetani nafasi zaidi kuliko wanaume.The devil new this,ndio maana alipotaka kumfanya mwanadamu amuasi Yehova alim-approach Hawa na sio Adam.Alijua kama angekwenda kwa Adam asingefanikiwa.Hata leo katika mikakati ya kujaribu kuitawala dunia, the Devil is using the same principle.He is putting women in positions of power, so that he can manipulate humanity as he wishes.Wajinga ndio waliwao!
Habarini za jumapili wadau?

Jamani naomba tupanuane uelewa na tulichanganue hili suala.Hivi ni kwanini wanawake huwa waathirika wakubwa wa nguvu za giza(demon spirit)?

Hili unaweza kulishuhudia katika mikutano ya injili asilimia kubwa ya wanaoangushwa na hizi nguvu za giza huwa ni wanawake. Sasa mi hujiuliza kwa nini hizi nguvu huwapendelea sana wanawake.

Karibuni wadau tusaidiane michango yenu ni muhimu sana na ninaamini jibu halisi litapatikana hapa.

Ahsanteni Jboy
 
Back
Top Bottom