MJADALA: Kwanini Wanawake wanaongoza kuwa na majini/mapepo kwa kasi kuliko Wanaume?

Nimeishi huko na sijaona hayo majini kwa wanawake
sababu umeuliza kwa dharau hautafahamishwa. waislam tumelelewa na kufunzwa itikadi na misingi ya dini, ndio maana hakuna mtu atatoa maoni yake anavyoona kuhisi au kujiskia, bali lazima ulete vitu kwa ushahidi, jinsi dini inavyosema kwa mujibu wa hadithi na sunna. hili swali hapa mnahangaika nalo bt ni very simple kwetu waislam kukueleza kwanini wanawake kulingana na itikadi ya dini yetu.
 

Sawa we kama fuata itikadi yako. Siwezi leta ushahidi wa itikadi nyingine nisiyoijua, ushahidi wangu ni kuwa nimeishi huko na sijaona wakianguka na mapepo.
 
Ukienda huko kwa wenye hii dini husema kuna majini mazuri na yaliyo mabaya.
Wapo lakini haeafanyi mambo yao kwa kuwaingia binaadamu bali nao hufanya mambo yao kimya kimya, asili ya ibada haitakiwi kufanya kwa kujionesha, ili uonekane na wengine kuwa wewe ni MchaMungu sana, hao wanaowaingia binadamu ni Shetani tu wapumbavu {huwaingia binadamu kwa kujifanya wema kumbe huwa na lengo lao kinyume na wnaavyojidhihirisha}
 
Ukali wa maisha umewaathiri zaidi wanawake kuliko wanaume.

Kifupi, kujaa makanisani na misikitini na na ...na ni jibu halisi la ukali wa maisha unapiga na kushambulia akili na kupata depresion inayoeleweka kiswahili kwa lugha ya mapepo.

Na kipindi hiki ukweli huu ni mwanzo tu, wanawake wengi sana watapatwa na mapepo mpaka awamu hii itapokwisha.

Tujitahidi kuwasaidia akina dada kiuchumi katika kipindi hiki cha hapa kazi tu. Ni kazi kweli kweli. Mmmmmm CCM banaaaa imebana.
 
Kwa Asili (Nature)Mwanamke Ana Uwezo Wa Kuhifadhi roho zingine na ni mwepesi wa kupokea roho zingine maana ana sehemu ya kuhifadhi hizo roho(Hasa Ni Katika tumbo La Uzazi).

Ndio maana mwanamke ni rahisi sana kupokea jambo lolote liwe lenye madhara au la faida yeye kwake ni rahisi zaidi kulipokea.

nipo nalala hapa nikiamka nitaandika essay kama tano hivi
 
wivu na visas vina changia kwa kias kikubwa sana
 
Tafadhali toa rejea ya hayo unayoyaandika. Vinginevyo pita kimyakimya
 
Tafadhali toa rejea ya hayo unayoyaandika. Vinginevyo pita kimyakimya

Rejea Ya Wapi Sasa Unataka?
Nadhani Shuleni Ulitoka Pasipo Kujua matumizi Ya Library
Watanzania we nee more soften data ndio maana easy sana kupotezwa just
finde your proof Man
Nimekujibu hivyo kutokana na kauli yako ya kibabe
Yaani navyoelewa hapa nami nimeelewa ivoivo piaaa
 
Habarini za mchana...
Wanawake wengi Sana wanakubwa Na majini Na mashetani kwasababu wanawake wanavutia Sana
 
Sababu kubwa ni kuwa kwa jinsi walivyoumbwa wanawake wanapenda kwa nguvu, yaani wana hulka ya kupenda au kuamini kitu/ mtu kwa haraka, mara moja, jumlajumla n.k bila kufanya tafakari ya kina tofauti na wanaume.

Kiuumbaji wanawake wana huruma sana kulinganisha na wanaume. Sasa basi hulka yao hiyo (ya kuamini/kupenda) kama nilivyoeleza awali, inawafanya wanapokumbwa na changamoto za kisaikolijia mfano kufiwa na wapendwa wao, kuachwa/ kudanganywa katika ndoa/ uhusiano, magonjwa (hasa ya muda mrefu/ yasiyo na tiba) na wakati huohuo akatokea mtu andayedai kuwa anayo majibu ya changamoto hizo wanawake huamini harakaharaka, jumlajumla.

Ndiyo maana utawakuta wanawake wengi katika makongamano ya kidini, waganga wa kienyeji, sehemu za maombi n.k na hao watu (wanaodai kutatua changamoto hizo) hutumia udhaifu huo (wa wanawake) ambao wanaujua tayari kwa kuwaambia kuwa wana mapepo/ majini na vifananavyo.Ndiyo maana utawakuta wanawake ni wengi katika maeneo hayo.
 
Basi pole sana. Nilitegemea useme ulichokiandika umekisoma kitabu ganii huko library wewe msomi!. Sasa povu lote la nini mkuu?
 
majini upenda wana wake kwa sababu uvutiwa nao kama sisi wanaume tuna vyopenda wanawake, pili wanapenda wanawake ndo wenye dhambi nyingi sorry ni sieleweke vibaya ila ndo ukweli angalia mwanamke wakawaida aja jistiri, ana manywele ya kuunga unga, nguo awa ji stiri ni kutembea nusu uchi.

Basi jini uvutiwa na mtu huyo wa hivyo, na majini wanapenda mtu mzushi zushi yani ukiwa sio wao ndo wanavutiwa na wewe. sio kwenye uislam hata kuvua nguo unataja jina la mola wako maana jin ana kupiga chabo hata kwenye kuoga lina piga chabo, asa aone sisiter duh ana chojoa nguo chuchu saa sita imesimama jua anakutamani.
 
Kuna mama mmoja ni mhenga kidogo amewai kunbia kitu kuhus mapepo kwa mabinti, alisema kipind mabinti wanapovunja ndo kipind ambach hupatwa na mapepo hivo huitaji Sana kusex, lakini hili nililithibitish pale mabint waliokuwa wanalia mapepo takriban kumi bada ya kufunga shule hawakurud tena walikuwa na mimba tayari!

Pia hii concept niliipeleka kwa mama mmoja mwenye mtoto ambaye kila siku anapelekwa kuombewa eti ana mapepo nilimshauri Yule Mama anipe ata mimi mwanae nilale nae ata Week moja tu [emoji3][emoji3][emoji3] au siku akitoroka nyumban na hayo mapepo wamwache tu Kama Wiki moja hivi.

Basi yule mama akasema kweli nikamwambi mwenyewe walinambaia watu wazima kidogo, kweli yule bint bada ya mwezi alitoroka nyumbani kisa mapepo alivorud akawa na mimba na mpaka leo hajawai kulia mapepeo tena Yule mama alishangaa sana siku tumekutana na akanisimulia Story ya mwanae tena!

Lakini wengine ni ishu za waganga wa kienyej wamama wengi na mabinti ni majasiri kwenda uko Sana hata Girl wangu miaka 20tu lkn kifuan chalee kibao, Dada angu wakati anakua alikuwa kila siku mapepo lkn tangu aanze kuliwa na kuzaa hajawai tena kusumbua kuhus mapepo..! Ko dhana ya kila mwanamke kuwa na mapepo inaweza kuwa kweli ila wengin wanashindwa kujicontrol au yanatofautiana nguvu tu...!
 
Hata kwa manabii na mitume wa tv 95% wanaoanguka kwa mapepo ni wanawake
Probably wako psychologically weak na prone to mass hysteria
Angalau umenena wengi wanatoa comments za ajabu mpaka unawaza uelewa wao, wenzetu walioendelea wanatumia sana perfume, mawigi, mikufu, heleni mpaka mdomoni, juu ya kope, puani, hadi sehemu za siri na hawaanguki. Tatizo letu ni mfumo wa maisha unaowakandamiza jinsia ya kike, manyanyaso tangu ngazi ya familia, mashuleni na maofisini. Wanawake kunyimwa fursa za kiuchumi na ndo wazalishaji wakubwa so wanatafuta faraja but pia wako very super sentimental
 
mitindo huru,
Nimekupata mkuu ndio maana Shetani alimfuata Hawa ili amshawishi Adam, alishindwa kumfuata Adam moja kwa moja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…