MJADALA: Kwanini Wanawake wanaongoza kuwa na majini/mapepo kwa kasi kuliko Wanaume?

MJADALA: Kwanini Wanawake wanaongoza kuwa na majini/mapepo kwa kasi kuliko Wanaume?

Adui wa mwanamke ni mwanamke mwenzie majini yaliyo mengi yanayotuandama sisi wanawake ni ya kutupiwa na wachawi , na hiyo yote inasababishwa na chuki kati yetu kama , wivu , husda , vijicho, n.k. ndo maana unakuta wanawake tunaongoza kwa kuwa na ugonjwa wa majini na mapepo kwa sababu ya chuki, husda, wivu wa wenyewe kwa wenyewe ..
Safisheni nafsi zenu na utu wenu wa ndani muone km majini yatakuwepo,fuatilia sana utaona,
Mmejaza tamaa,roho mbaya,wivu,husuda,nk nk nk nk na mmejeruhi nafsi zenu ndo maana mnakutwa na hali mnayodhani majini,huu ujinga umetokea sana miaka ya karibuni sababu mmejioverload na mambo machafu,
 
Mbuyi,
Ila hapa kwenye wenye elimu au wazungu napenda nami kuweka wazo langu japo kidogo, shetani haangalii elimu ya mtu ikiwa elimu hiyo haihusiki na masuala ya kiroho tena hata kama mtu huyo akipata elimu ya kiroho asipoifanyia kazi vile inavyompasa bado mambo ni yale yale tu.

Sababu elimu ya kustaawisha akili si kitu kwa shetani ambaye yeye anashughulika katika roho zaidi ili kudhiofisha mwilini (akili).
 
Naangalia kipindi cha utakaso kwenye Emmanuel TV (monday service ya (T.B Joshua).kwa mtazamo wangu naona idadi kubwa ya viumbe wanaosumbuliwa na mapepo ni kina mama na mabinti. Sijui kwa nini inakuwa hivi? Wenye ufahamu tafadhali!
Wanawake ni jeshi kubwa katika ulimwengu wa kiroho, kwa kawaida kabisa wanawake ni rahisi kuamini kuliko wanaume na kwa kuwa haya ni mambo ya kiroho (kiimani) yanahitaji sana kwanza kuamini.

Hivyo katika kuamini ndipo hupatikana mtaji wa nguvu katika imani, na kanuni ipo wazi ukitaka kushinda lazima umkamate mwenye nguvu ndipo wale dhaifu watakapo tawanyika, wanawake ni waombolezaji maana wanamioyo myepesi kuliko wanaume, hata kama wakiwa na mambo mengi bado wanauwezo mkubwa wa kufanya mambo mengi kwa wakati mmoja tofauti na wanaume isitoshe, ni rahisi sana kuachilia wasiwe na visasi tofauti na wanaume!

Hivyo shetani huwashambulia hao zaidi kwa sababu pia wana ushawishi mkubwa saana katika mambo ya kijamii kuliko wanaume. Kuna usemi kwamba ukielimisha mwanamke umeelimisha jamii nzima? Pata picha basi
 
Mkuu kumbuka ibilisi huwafuatilia sana wanaomtafuta Mungu (mostly wanawake *your perspective*) na kutokuwa na shida na watu ambao anao tayari (wanaume * your perspective*).
Basi hao wanawake wasingekuwa wanaongoza kwenda kwa waganga.
 
Basi wazungu na orientals pamoja na wote wanaoenda beach, watakuwa wanapata mapepo, aah??? Kipindi cha majira ya joto, mapaja nje nje, mbona hawana mapepo kama wa huko bongo?
We umejuaje kama wazungu hawana mapepo
 
Na kawaida wale wanaoumwa sana,damu huwatoka kidogo sana
the boss umejibu sawasawa.kwanza itambulike chakula na kinywaji kikuu cha wachawi wanapokuwa katika shughuli zao wanatumia nyama za watoto<mostly mimba changa> na damu.watoto nyama zao ni laini so inaraisisha kuiva haraka na wachawi wengi ni wazee vibogoyo.wachawi wanajua wanawake ndio kiwanda chao cha kuzalisha damu kila mwezi wanakuwa na sehemu ya kugema dunia mzima.ndio maana kunawanawake wengne wakiwa katika period wanaumwa sana hadi anahisi umauti hapo ni majini yanainyonya.
 
Wana JF habari!

Kuna tukio nimelishuhudia likanifikirisha sana. Tukio lenyewe ni la Binti aliyekua anapiga makelele kama aliyepata wazimu. Jambo lililonifanya kusogea karibu ili kujua kulikoni. Mara baada ya kufika karibu niliwasikia baadhi ya mashuhuda wachache waliokua eneo la tukio wakisema " Ni mashetani hayo, atakua amepandisha" na mwingine alipendekezwa akaitwe msomaji ili aje amsomee.

Baada ya kushuhudia hilo tukio nikakumbuka mtiririko wa matukio mengine mengi yanayofanana na hilo nililokua nalishuhudia. Ndipo maswali ambayo hunijia kila ninaposhuhudia matukio yanayofanana kabisa na hilo yakaanza kujirudia.

Maswali ambayo hujirudia katika kichwa changu;
  • Jini awezaje kukaa na kuishi katika kichwa cha mwanadamu?
  • Je, kwa nini kila niliyemwona akipandisha mashetani alikua/ huwa MWANAMKE?
  • Ni kwa nini matukio haya nimeyashuhudia tu maeneo ya pwani?
  • Kuna ukweli wowote juu ya uwepo wa majini yanayowaingia wanadamu?
Hayo ni maswali makuu katika maswali mengi ambayo nimepata kujiuliza juu ya jambo hilo.

Ni matumaini yangu kuwa humu ndani JF kuna magwiji wengi ambao wanayajua mambo hayo vizuri na watanipatia majibu mujarabu.

Naomba kuwasilisha!
 
Niliwahi kuambiwa kuwa wanawake walio wengi ni wachafu kimwili na kiroho hasa kipindi cha hedhi hivyo basi ndiyo chanzo kikubwa cha kupandisha mashetani
 
Mlango ulifunguliwa pale shetani alipomtumia eva kula tunda. Kile kitendo kilimpa shetani mlango wa kumtumia mwanamke ktk mambo yake mengi .

Ukisoma biblia kuna falme zilianguka sababu ya mwanamke. Jini ni roho, means kinaweza kukaa popote but only if umelipa mlango.

Wanawake wengi wananayo hiyo milango ambayo haya majitu yametumia kuingia kwao.
 
Wana JF habari!

Kuna tukio nimelishuhudia likanifikirisha sana. Tukio lenyewe ni la Binti aliyekua anapiga makelele kama aliyepata wazimu. Jambo lililonifanya kusogea karibu ili kujua kulikoni. Mara baada ya kufika karibu niliwasikia baadhi ya mashuhuda wachache waliokua eneo la tukio wakisema "...ni mashetani hayo, atakua amepandisha" na mwingine alipendekezwa akaitwe msomaji ili aje amsomee.

Baada ya kushuhudia hilo tukio nikakumbuka mtiririko wa matukio mengine mengi yanayofanana na hilo nililokua nalishuhudia. Ndipo maswali ambayo hunijia kila ninaposhuhudia matukio yanayofanana kabisa na hilo yakaanza kujirudia.

Maswali ambayo hujirudia katika kichwa changu;
  • Jini awezaje kukaa na kuishi katika kichwa cha mwanadamu?
  • Je, kwa nini kila niliyemwona akipandisha mashetani alikua/huwa MWANAMKE?
  • Ni kwa nini matukio haya nimeyashuhudia tu maeneo ya pwani?
Hayo ni maswali makuu katika maswali mengi ambayo nimepata kujiuliza juu ya jambo hilo.

Ni matumaini yangu kuwa humu ndani JF kuna magwiji wengi ambao wanayajua mambo hayo vizuri na watanipatia majibu mujarabu.

Naomba kuwasilisha!
1-pepo ni roho ambayo haina mwili sasa inatanga tanga kutafuta makazi sasa anaweza kuingia kwenye kichwa cha MTU aliyempenda pia anaweza kuingia kwa kutumwa aingie kwa MTU

2-mapepo hayapendi mtu mwenye vurugu na mchafu sasa wanaume wengi ni wachafu kuanzia mwili, matendo nk. Mwanaume unakuta anakuwa na mademu kila mtaa ,mapepo hayapendi, pia mwanaume utakuta anashinda bar na kulewa ,mapepo hayapendi na Kazi za wanaume ngumu muda Mwingi unatoka jasho mapepo hawapendi...mapepo yanapenda harufu nzuri ya perfume muda wrote

3-makazi ya majini na mapepo ni baharini na malkia wao anaishi chini ya bahari
 
Hawa viumbe hutesa sana mengine ving'ang'anizi sana sijui kwanini?
 
1-pepo ni roho ambayo haina mwili sasa inatanga tanga kutafuta makazi sasa anaweza kuingia kwenye kichwa cha MTU aliyempenda pia anaweza kuingia kwa kutumwa aingie kwa MTU

2-mapepo hayapendi mtu mwenye vurugu na mchafu sasa wanaume wengi ni wachafu kuanzia mwili, matendo nk. Mwanaume unakuta anakuwa na mademu kila mtaa ,mapepo hayapendi, pia mwanaume utakuta anashinda bar na kulewa ,mapepo hayapendi na Kazi za wanaume ngumu muda Mwingi unatoka jasho mapepo hawapendi...mapepo yanapenda harufu nzuri ya perfume muda wrote

3-makazi ya majini na mapepo ni baharini na malkia wao anaishi chini ya bahari
Hyo number mbili kumbe inaweza kuwa dawa aisee
 
Nijuavyo mie ni kuwa kila Mwanaadamu anayo majini kichwani mwake awe mwanamke ama mwanaume,Ila mengi zaidi yapo kwa Wanawake
 
Niliwahi kuambiwa kuwa wanawake walio wengi ni wachafu kimwili na kiroho hasa kipindi cha hedhi hivyo basi ndiyo chanzo kikubwa cha kupandisha mashetani
alikwambia nani majini yanapatana na uchafu? wanaume wengi tu mnayo hata wewe naona kama una matatu hivi
 
Nijuavyo mie ni kuwa kila Mwanaadamu anayo majini kichwani mwake awe mwanamke ama mwanaume,Ila mengi zaidi yapo kwa Wanawake
Si kweli mkuu,me sina jini.
 
Back
Top Bottom