haha hahaha...." daaahh mbona unamtisha "" japo kuwa huo ndio uhalisia wenyewealikwambia nani majini yanapatana na uchafu? wanaume wengi tu mnayo hata wewe naona kama una matatu hivi
kwa hiyo " Mpaka upandishe majini " ndio ujijue "" kuwa una majini "" karagabaho""....Si kweli mkuu,me sina jini.
nitashukurumshana ana majibu yako
Ni kwa namna gani basi matatizo ya kupandisha mashetani huwakumba zaidi watu waishio maeneo ya pwani?Nijuavyo mie ni kuwa kila Mwanaadamu anayo majini kichwani mwake awe mwanamke ama mwanaume,Ila mengi zaidi yapo kwa Wanawake
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kumbe tungi na mademu ni dawa kiasi hikiHyo number mbili kumbe inaweza kuwa dawa aisee
Mkuu sasa unasemaje kila mtu ana jini wakati habari za majini zipo kwenye quran pekee?Sibishani na mtu hapa,Nenda kafunue Katika Quran kuna sura inaitwa Jini imeelezea kila kitu,Ukibisha basi unabishana na maneno ya Mwenyezi Mungu
Nani kasema Quran Ni ya mwenyezi munguSibishani na mtu hapa,Nenda kafunue Katika Quran kuna sura inaitwa Jini imeelezea kila kitu,Ukibisha basi unabishana na maneno ya Mwenyezi Mungu
kweli kila kitu kina faida na hasara zake, hapo vimetatwa positively.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kumbe tungi na mademu ni dawa kiasi hiki
Sio mbaya tumejua faida ya vitu vya maana[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125]kweli kila kitu kina faida na hasara zake, hapo vimetatwa positively.
Uliwahi kuniona ukaniona ninayo mashetani?alikwambia nani majini yanapatana na uchafu? wanaume wengi tu mnayo hata wewe naona kama una matatu hivi
1-pepo ni roho ambayo haina mwili sasa inatanga tanga kutafuta makazi sasa anaweza kuingia kwenye kichwa cha MTU aliyempenda pia anaweza kuingia kwa kutumwa aingie kwa MTU
2-mapepo hayapendi mtu mwenye vurugu na mchafu sasa wanaume wengi ni wachafu kuanzia mwili, matendo nk. Mwanaume unakuta anakuwa na mademu kila mtaa ,mapepo hayapendi, pia mwanaume utakuta anashinda bar na kulewa ,mapepo hayapendi na Kazi za wanaume ngumu muda Mwingi unatoka jasho mapepo hawapendi...mapepo yanapenda harufu nzuri ya perfume muda wrote
3-makazi ya majini na mapepo ni baharini na malkia wao anaishi chini ya bahari
Naomba niulize pepo wachafu huwa wanapenda tu kuwaingia na kuwasumbua watu wasafi?Hizo ni nyege sio mapepo.
Kwa hiyo wataka kusema mwanamke anafuatwa na mashetani kwa sababu yeye ni dhaifu na mwepesi kuingia katika majaribu?Mlango ulifunguliwa pale shetani alipomtumia eva kula tunda. Kile kitendo kilimpa shetani mlango wa kumtumia mwanamke ktk mambo yake mengi .
Ukisoma biblia kuna falme zilianguka sababu ya mwanamke. Jini ni roho, means kinaweza kukaa popote but only if umelipa mlango.
Wanawake wengi wananayo hiyo milango ambayo haya majitu yametumia kuingia kwao.
Probably yes, though sina uhakika sana na hilo maana nime highlight kwa upande wa kiroho zaidi.Kwa hiyo wataka kusema mwanamke anafuatwa na mashetani kwa sababu yeye ni dhaifu na mwepesi kuingia katika majaribu?
Asante, nazidi kujifunza kitu fulani katika hili.Probably yes, though sina uhakika sana na hilo maana nime highlight kwa upande wa kiroho zaidi.
Labda mnayo wewe na wenzako. Mimi sina hayo matakataka.Nijuavyo mie ni kuwa kila Mwanaadamu anayo majini kichwani mwake awe mwanamke ama mwanaume,Ila mengi zaidi yapo kwa Wanawake