FatherOfAllSnipers
JF-Expert Member
- Mar 13, 2019
- 1,692
- 4,442
Hawa wapo pamoja tangu enzi za Eden, hivyo kuangusha kwao ni jambo la kawaidaYaani hata huko kwenye nyumba za ibada kwenye kuombewa kwa asilimia kubwa wengi wanaoamsha haya mapepo wanakuwa ni wanawake tuu.
Sijawahi kuona eti mtu mzima tena alovaa suti na tai yake eti anagalagala chini kaamsha mapepo hivi kuna siri gani kwenye hii jinsia ya kike kushambuliwa na hawa viumbe.
unaweza kuunganisha huo uzi wa mshana hapa ili tusome??MSHANA ALISHAGA ELEZEA HILI KITAMBO SANA
swali la msingi sana hiliafua kwa nini pia ma cameramani huwa nao hawaanguki??
anha nmekumbuka bhna huwa hawanguki coz huwa wanajishikilia kwenye stand za kamera(joking)swali la msingi sana hili
Umenikumbusha mwaka juzi nilidate na mwanadada mwenye pepo saba,
Ile tuko kitandani tunataka tufanye yetu,
katika tomasa za hapa na pale,
pepo saba zinaamka.
ilikuwa ukipiga bao la kwanza, pepo la kwanza linatulia, la pili hivyo hivyo, mpaka pepo la saba litulie,
Ilikuwa mtihani kipindi hicho,
siku zilipozidi kwenda, nikmletea kitimoto ndani, ikawa ndiyo kikomo cha wale pepo saba.
Mpaka leo huwa tunaangalia zile video nikiwa katika harakati za kuyatuliza mapepo yote saba, basi inabaki tunacheka tu.
Nimewahi kuja kukulilia hata hela ya guest mkuu? Au hata hela ya kondomu tu umewahi nichangia?we jamaa maisha yako ni uzinzi tu, post zako ni kuhusu kulana tigo, na kupakua madem wa watu
Yaani hata huko kwenye nyumba za ibada kwenye kuombewa kwa asilimia kubwa wengi wanaoamsha haya mapepo wanakuwa ni wanawake tuu.
Sijawahi kuona eti mtu mzima tena alovaa suti na tai yake eti anagalagala chini kaamsha mapepo hivi kuna siri gani kwenye hii jinsia ya kike kushambuliwa na hawa viumbe.
Nimewahi kuja kukulilia hata hela ya guest mkuu? Au hata hela ya kondomu tu umewahi nichangia?
Sawa mchungaji,hapana mkuu, ila punguza izo mishe lasivyo utapungua akili au hujui kugonga sana kunapunguza akili na kumbukumbu, na pia kupakua mitaro inaleta kansa ya vibofu
Sawa mchungaji,
kwanza wewe ni mchungaji au dokta.
Tuunganishiwe hapaMSHANA ALISHAGA ELEZEA HILI KITAMBO SANA
Mimi mwenyewe ni mhuni, tena zaidi yako.amna mi mhuni tu mzee sio dokta wala mchungaji, ila najua vitu vingi sana
Yaani hata huko kwenye nyumba za ibada kwenye kuombewa kwa asilimia kubwa wengi wanaoamsha haya mapepo wanakuwa ni wanawake tuu.
Sijawahi kuona eti mtu mzima tena alovaa suti na tai yake eti anagalagala chini kaamsha mapepo hivi kuna siri gani kwenye hii jinsia ya kike kushambuliwa na hawa viumbe.