MJADALA: Kwanini Wanawake wanaongoza kuwa na majini/mapepo kwa kasi kuliko Wanaume?

MJADALA: Kwanini Wanawake wanaongoza kuwa na majini/mapepo kwa kasi kuliko Wanaume?

Poleni sana vipi wee uliwahi kudata kwa mapepo
Sijawahi kuanguka mapepo ila kudata inatokeaga sometimes, naamini kila mtu inamtokea au imewahi kumtokea
unless uwe hujawahi kuwa dilemma
Kudata ni pamoja na kuongea peke yako/kupiga makelele / unaanguka unazimia maana kichwa kimejaa mambo yasiyotatulika mpaka kinastuck / memory full😀
 
Umenikumbusha mwaka juzi nilidate na mwanadada mwenye pepo saba,
Ile tuko kitandani tunataka tufanye yetu,
katika tomasa za hapa na pale,
pepo saba zinaamka.

ilikuwa ukipiga bao la kwanza, pepo la kwanza linatulia, la pili hivyo hivyo, mpaka pepo la saba litulie,
Ilikuwa mtihani kipindi hicho,
siku zilipozidi kwenda, nikmletea kitimoto ndani, ikawa ndiyo kikomo cha wale pepo saba.
Mpaka leo huwa tunaangalia zile video nikiwa katika harakati za kuyatuliza mapepo yote saba, basi inabaki tunacheka tu.
Pepo saba ili zitulie ni bao saba, Dunia tunazunguka nayo hivyo hivyo
 
Yaani hata huko kwenye nyumba za ibada kwenye kuombewa kwa asilimia kubwa wengi wanaoamsha haya mapepo wanakuwa ni wanawake tuu.

Sijawahi kuona eti mtu mzima tena alovaa suti na tai yake eti anagalagala chini kaamsha mapepo hivi kuna siri gani kwenye hii jinsia ya kike kushambuliwa na hawa viumbe.
Mkuu sababu kubwa kwa wanawake kuwa hivyo ni saikolojia yao, angalia maana ya huo msamiati hasa namba moja.
1571331226062.png
 
Mapepo siyo viumbe bali ni ugonjwa miongoni mwa magonjwa ya akili kitaalamu ugonjwa huo unaitwa Hysteria, unawashika hasa jinsia ya kike.
Huo ugonjwa ndio ukoje na sababu zake ni zipi?
 
Yaani hata huko kwenye nyumba za ibada kwenye kuombewa kwa asilimia kubwa wengi wanaoamsha haya mapepo wanakuwa ni wanawake tuu.

Sijawahi kuona eti mtu mzima tena alovaa suti na tai yake eti anagalagala chini kaamsha mapepo hivi kuna siri gani kwenye hii jinsia ya kike kushambuliwa na hawa viumbe.

*NAONGEA NA WANAUME KUNA VITU LAZIMA TUVIELEWE KWA WANAWAKE.*

Bibili inasema *MWANAMKE NI KIUMBE DHAIFU* hapo hapo inasema *TUKAE NAO KWA AKILI.*
Na bado inasema *MWANAMKE NI JESHI KUBWA* swali?
Walijifunza saa ngapi uwanajeshi na ili kudhibitisha kwamba ni mwanajeshi Mungu anamtuma kwa mwanamme amlinde.

Yeremia 31:22 .... *Kwa maana Bwana ameumba jambo jipya duniani;* *mwanamke atamlinda mwanamume.*

KUMBUKA HILI MWANAUME MWENZANGU.

●Mtu wa kwanza kukutana na SHETANI live ni mwanamke pamoja na kwamba walizungumza mengi na kula tunda kiukweli hatujui mengine waliozungumza mbali na kula tunda. Japo kwa sasa tunawaza huenda pia aliambiwa ukikutana na mwanaume muombe pesa tu akilala akiamka ni pesa.....

●MWANAMKE aliumbwa ukiwa usingizini wewe MWANAUME hujui ni kitugani walichozungumza na Mungu kabla ya wewe kuzinduka.

●MWANAMKE ndiye aliyemwelewa Mungu alipoambiwa ana mimba ya Roho Mtakatifu wewe MWANAUME ulitaka kumkimbia badala ya kukabiliana na changamoto hiyo.

●MWANAMKE ndiye mtu wa kwanza kwenda kuhakikisha kama kweli Yesu amefufuka na kusambaza habari.

●MWANAMKE ndiye anayeongoza kwa ushawishi mkubwa mwanaume huna ujanja mfano.
■Eva kwa Adamu
■Delila kwa Samson
■Ester kwa Ahasuero
■Raheli kwa Labani n.k

> *Usimuudhi mke wako ana siri kubwa sana usione kakaa na wewe anakuvumilia pamoja na ukatili wako.*

> *Anaweza akatekeleza walichozungumza na Mungu au anaweza kutekeleza alichozungumza na shetani* kuwa makini sana
 
Nimekuwa nikijiuliza hili swali bila kupata majibu ya kutosha maana kwa umri wangu huu nimeona mambo mengi japo sijala chumvi kivile lakini nina experience ya kutosha zaidi ya miongo miwili sasa najitambua.

Ukienda kwenye makutano ya watu wengi kama makanisani, misikitini au hata shuleni utashuhudia jinsi watu wanavyopandwa na mashetani au mapepo na kuleta tafrani sasa cha ajabu ni kuona zaidi ya asilimia 99.9 ni jinsia ya kike kwanini inakuwa kwa jinsia hiyo tuu, kuna kiunganishi gani hapo?

Mimi nakumbuka nilipokuwa sekondary nilishuhudia mpenzi wangu akiangushwa na mapepo ikabidi wenye imani thabiti waanze kumsadia kwa kuyaamuru yatoke shughuli ilikuwa ngumu sana lakini badae alirudi kwenye hali yake.

Wajuzi wa masuala haya mfafanue uhusiano uliopo kati ya mapepo na wanawake ili tujue tunawasaidiaje.

1579337158603.png
 
Sababu zinaweza kuwa moja kati ya hizi zifuatazo
1] Idadi ya wanawake sehemu nyingi huwa kubwa kuliko wanaume, hivo lazima utaona wanawake ndio waathirika zaidi.
2] Mwanammke akiwa katika ada yake ya mwezi mwili wake huwa dhaifu kiroho na hata kama alikua na ibada zake anafanya basi kipindi hichi wanawake wengi huwa wanaacha kwa kujihisi wapo wachafu.
3] Majini ama mapepo kama ulivyowaita wanatamani kama wanavyotamani wanaume wa kibinaadamu.
4]Wanawake wengi wana roho dhaifu hivo huwa wahanga wakubwa wa kurogana [wanatumiana hayo mapepo]
5]Wanawake wanajipamba sana hivo huwa inachochea zaidi kuwavutia majini, rudia namba 3.
6] Si kila mwanammke anae chagawa kuwa ana mashetani bali wengine huwa msongo wa mawazo uliopitiliza. Muda mwingi huwa hisia tu, ama kutendwa au kukosa mume.
7] Wakati huwa wanaigiza tu sana sana mashuleni kwa kuogopa mtihani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sababu zinaweza kuwa moja kati ya hizi zifuatazo
1] Idadi ya wanawake sehemu nyingi huwa kubwa kuliko wanaume, hivo lazima utaona wanawake ndio waathirika zaidi.
2] Mwanammke akiwa katika ada yake ya mwezi mwili wake huwa dhaifu kiroho na hata kama alikua na ibada zake anafanya basi kipindi hichi wanawake wengi huwa wanaacha kwa kujihisi wapo wachafu.
3] Majini ama mapepo kama ulivyowaita wanatamani kama wanavyotamani wanaume wa kibinaadamu.
4]Wanawake wengi wana roho dhaifu hivo huwa wahanga wakubwa wa kurogana [wanatumiana hayo mapepo]
5]Wanawake wanajipamba sana hivo huwa inachochea zaidi kuwavutia majini, rudia namba 3.
6] Si kila mwanammke anae chagawa kuwa ana mashetani bali wengine huwa msongo wa mawazo uliopitiliza. Muda mwingi huwa hisia tu, ama kutendwa au kukosa mume.
7] Wakati huwa wanaigiza tu sana sana mashuleni kwa kuogopa mtihani.

Sent using Jamii Forums mobile app


Namba 7 ni kweli zaidi kuliko zingine
 
Chuo nlichosoma, Mkuu wa Chuo aliwahi kuhoji, kwa nn matatizo ya mapepo yanashamiri sana mara inapotoka Exam timetable?
Sababu zinaweza kuwa moja kati ya hizi zifuatazo
1] Idadi ya wanawake sehemu nyingi huwa kubwa kuliko wanaume, hivo lazima utaona wanawake ndio waathirika zaidi.
2] Mwanammke akiwa katika ada yake ya mwezi mwili wake huwa dhaifu kiroho na hata kama alikua na ibada zake anafanya basi kipindi hichi wanawake wengi huwa wanaacha kwa kujihisi wapo wachafu.
3] Majini ama mapepo kama ulivyowaita wanatamani kama wanavyotamani wanaume wa kibinaadamu.
4]Wanawake wengi wana roho dhaifu hivo huwa wahanga wakubwa wa kurogana [wanatumiana hayo mapepo]
5]Wanawake wanajipamba sana hivo huwa inachochea zaidi kuwavutia majini, rudia namba 3.
6] Si kila mwanammke anae chagawa kuwa ana mashetani bali wengine huwa msongo wa mawazo uliopitiliza. Muda mwingi huwa hisia tu, ama kutendwa au kukosa mume.
7] Wakati huwa wanaigiza tu sana sana mashuleni kwa kuogopa mtihani.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunachokubaliana walau ni kuwa ubongo wa mwanamke una JAM haraka na hvyo kuingiwa na kuweweseka na sio majini wala nini. Wenye mabos wanawake wana uzoef kuhusu panic za mwanamke. Pia wana tatzo la kuvuta hisia kali utadhan wameumbwa na cha arusha automatically. Ukiona mtu anataka kila zuri akikosa analalama WHY ME jua ubinafs unamtafuna. Kuna mengine unaweza kukosa na ukajisemea ooh nina hiki lakin. Wanawake wanashindana sana na Mungu bila kujua.
 
Back
Top Bottom