MJADALA: Kwanini Wanawake wanaongoza kuwa na majini/mapepo kwa kasi kuliko Wanaume?

MJADALA: Kwanini Wanawake wanaongoza kuwa na majini/mapepo kwa kasi kuliko Wanaume?

Naongezea kwa miss chagga. Mwanamke kwa asili ni muoga na anayejipenda sana. Uoga wao upelekea kupatwa na pepo, pia kujipenda kwao kunawapelekea kujipaka marashi yanayowavutia pepo.
Pepo ni nini?
 
Pepo ni nini?

Roho chafu(source ni shetan),mawakala wa shetani wanaotenda kazi katika ulimwengu wa roho(usioonekana kwa macho ya kawaida,I mean physical eyes),,lakini matokeo ya kazi zao yanajidhihirisha katika ulimwengu wa mwili
 
Hata uongo wa shetani ulipenya haraka sana kwa Hawa,udhaifu huu unaendelea,sababu zilizotolewa na wadau nazo ni za msingi.
 
Ndugu wananchi wenzangu naomba kueleweshwa, hivi nikwanini wasichana /wanawake tu makanisani hulia na huangushwa na mapepo nyakati za maombi na kuabudu? Sikatai kua wavulana au wanaume kutokuwepo ila wasichana/wanawake wamezidi.

Asanteni.

Shauri ya mapambo mengi zikiwapo nywele bandia ambazo wahindi hutoa sadaka kwa miungu yao.
 
Pepo ni nini?

Hapo mwanzo walikuwa ni malaika kule mbinguni wakiongozwa na Lusifa katika kumwabudu Mungu. Lusifa alipoasi na kufukuzwa mbinguni malaika wote waliomwunga mkono kwenye ile uasi nao walifukuzwa. Lusifa ndiye Shetani na Ibilisi na hao malaika wageuka kuwa pepo wabaya na watumishi waaminifu wa shetani. Ni watesaji kama alivyo kiongozi wao. Kama wakimwingia mtu hufanya kila ubaya kama uzinzi/uasherati/ulawiti, wizi, ufisadi, ulevi, uuaji etc. Hawaonekani kwa macho kwani kama walivyo malaika hawa ni roho ila roho chafu ambao mwisho wao ni moto wa jehanum.
 
Mwanamke hana uhalisia so ni copy ya mwanaume sasa kama mwanaume ana udhaifu je sini mara mia zaidi kwa mwanamke
 
HABARI ZENU NYOOTE!
Tunahitaji kujua uhusiano wa kuanguka mapepo na wanawake.

Je,ni kwa nin kwa kiwango kikubwa wanaokumbwa na kuanguka au kupagawa na mapepo ni wanawake\wasichana?
Nasema wanawake kwa sababu:

A.tukichunguza mashuleni au vyuoni kwa kiwango kikubwa unakuta wasichana ndiyo wahanga wa kuanguka au kupagawa mapepo.
B.vile vile makanisan {hasa ya kilokole} unakuta wanao anguka na kuombewa mapepo ni manawake.

sasa najaribu kujiuliza kwa nini wanawake\wasichana tu ndiyo kwa kiwango kikubwa hukumbwa na tatizo hili?

KARIBUN KATIKA TAFAKULI YAKINIFU.
 
Huoni mambo wanayofanya? Kuna mambo kama sio mapepo au upungufu wa akili basi mtu mwenye akili nzima hawezi fanya
1. Kuvaa nusu uchi
2. Kushona nguo za kubana wakati uwezo wa kushona inayokutosha sawa upo..
3. Kununua nguo iliyochanika kisa fasheni..
4. Kueka nywele feki .
5. Kupaka mirangi kama upinde wa mvua...

Haya mambo ndo husababisha mashetani wawafate wao
 
Shetani alishindwa kumuangusha Adam katika bustani ya Eden, ila baada ya kupewa msaidizi wa kufanana naye, Adam aliangushwa kupitia huyo msaidizi!

Mpaka leo shetani humuangusha mwanaume/familia/ukoo hata taifa kupitia mwanamke kwasababu mwanamke ni kiumbe dhaifu wala si mtu!

Na ndio maana mapepo ni rahisi sana kuwaingia wanawake nakufanya mipango yao mibaya kupitia wanawake!
 
Hata mimi nilishawahi kujiuliza hii kitu sikupata majibu,ila ngoja waje wajuzi wa haya mambo watufafanulie zaidi.Mkuu Ficus yawezekana uko sahihi ila kunahitajika maelezo ya ziada hapo.
 
Last edited by a moderator:
Shetani alishindwa kumuangusha Adam katika bustani ya Eden, ila baada ya kupewa msaidizi wa kufanana naye, Adam aliangushwa kupitia huyo msaidizi!

Mpaka leo shetani humuangusha mwanaume/familia/ukoo hata taifa kupitia mwanamke kwasababu mwanamke ni kiumbe dhaifu wala si mtu!

Na ndio maana mapepo ni rahisi sana kuwaingia wanawake nakufanya mipango yao mibaya kupitia wanawake!

Huo si ukweli.

Adam hakuangushwa. Kama aliangushwa ni wapi alipochubuka au kuvunjika?

Mapepo ni nini?
 
HABARI ZENU NYOOTE!
Tunahitaji kujua uhusiano wa kuanguka mapepo na wanawake.

Je,ni kwa nin kwa kiwango kikubwa wanaokumbwa na kuanguka au kupagawa na mapepo ni wanawake\wasichana?
Nasema wanawake kwa sababu:

A.tukichunguza mashuleni au vyuoni kwa kiwango kikubwa unakuta wasichana ndiyo wahanga wa kuanguka au kupagawa mapepo.
B.vile vile makanisan {hasa ya kilokole} unakuta wanao anguka na kuombewa mapepo ni manawake.

sasa najaribu kujiuliza kwa nini wanawake\wasichana tu ndiyo kwa kiwango kikubwa hukumbwa na tatizo hili?

KARIBUN KATIKA TAFAKULI YAKINIFU.

Mapepo ni nini? na huko "kuanguka" ni nini?
 
Back
Top Bottom