Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vizuri mkuu kama ni kweli,maana dunia ya saiv ushirikina umetawala [emoji20]Sina ninachojua kuhusu ushirikina
Mkuu ushirikina haumshindi mungu mche mungu kwa moyo wako wote na baraka zake zitakuwa pamoja naweVizuri mkuu kama ni kweli,maana dunia ya saiv ushirikina umetawala [emoji20]
Kwa taarifa yako, mtu mwenye majini hakuna jambo analofanya likawa jema, hakuna jini linaloingia kwa binaadamu then huyo binaadamu akafanya mema. Kiufupi hakuna jini linalomuamrisha mtu kufuata mafundisho yaliyo katika vitabu vya mitume zaidi ya kumpeleka mtu kwenye upotofu. Sipendi kubishana, weka ushahidi na mimi niweke ushahidi juu ya hili.Lakini hayo majini yanakuwa yanawaamrisha yaleyale yaliyo amrishwa na vitabu na hadithi za mtume na maswahaba, hapo ndiko kizungumkuti kinapoanzia, yaani mwanamke mwenye majini atauuishi uislamu zaidi kuliko asiye kuwa nayo, tena kwa taarifa pia, hata awe ni Mkristu, yakishamvaa tu atauishi uislamu ktk mambo mengi sana.
Mfano anaweza akazuiwa asiingiie kanisani, akaamrishwa kutofanya kazi ijumaa, udi, mavazi nk. Hapo nako kuna walakini juu ya huu mshikamano, tujifunze zaidi.
Sio kweli, Nenda ulaya na asia, wanawake wengi sana wana mapepo. The only difference sio church goers pia maana hwa wakiafrica huenda sana kanisani mabao ndio hayo mapepo hujidhihirisha. Ila naambiwa kina dini Moja kubwa majini ni sehe ya viumbe wanoabudu nao kwenye nyumba zao za ibada, labda watuambie mapepo yataka nin kwa wanawake?Umaskini ndio unawasumbua mataifa ambayo wanawake wamepiga hatua huwezi kukuta huo ujinga, so elimu elimu elimu kubwa sana inahitajika kwa mama zetu na hii hata kwa taifa letu maana naona hata kasii yetu ya maendeleo ni kidogo ukilinganisha na wenzetu.
Ukienda huko kwa wenye hii dini husema kuna majini mazuri na yaliyo mabaya.Kwa taarifa yako, mtu mwenye majini hakuna jambo analofanya likawa jema, hakuna jini linaloingia kwa binaadamu then huyo binaadamu akafanya mema. Kiufupi hakuna jini linalomuamrisha mtu kufuata mafundisho yaliyo katika vitabu vya mitume zaidi ya kumpeleka mtu kwenye upotofu. Sipendi kubishana, weka ushahidi na mimi niweke ushahidi juu ya hili.
بعد اعوز باالله من الشيطان الرجيم، بسم الله الرحمن الرحيم.
Surah Adh-Dhariyat [51:56]
Msiwalaumu wanawake bure, mnatakiwa mjue kwamba kiumbaji mwanaume amepewa uungu yani uwezo wa kuumba kitu, na ndio mana hata wanapokutana kimwili mwanaume anatoa mbegu ambazo mwanamke anazihifadhi hadi hapo mtoto atakapokuwa tayari kuzaliwa hivyo, Mapepo, shetani, mwanaume na viumbe vingi viliumba na mwenyezi Mungu ila mwanamke alitoka katika mwili/ubavu wa mwanaume.
Hivyo viumbe wengine huwa wanamwogopa mwanaume sababu ana uungu ndani yake na ana uwezo mkubwa kama walivyo mashetani, mapepo n.k.
Hii hali ipo hata kwa wanyama kama nyani wanapokula mazao shambani wanapomuona mwanamke hawaogopi ila wanapomuona mwanaume lazima waogope.
Hivyo jambo la mwanamke kutoogopwa na viumbe wengi ni la kiumbaji zaidi kuliko wadau wengine walivyoelezea.
Note:
mwanaume ana uwezo mkubwa sana ambao unaendana kidogo na nguvu za mashetani na mapepo kiumbwaji na ndio mara nyingi shetani anashindwa kumu attack mwanaume moja kwa moja hivyo anamtumia mwanamke kumvuruga mwanaume sababu anajua mwanaume ni mdhaimu kwa mwanamke kwa kuwa ametoka mwili wake au ubavu kama maandiko matakatifu yanavyosema.
Nitaendelea badae kwa mjadala zaidi..
KWELI ASE WE KUTA PAFYUMU ANAYOPULIZA KWA FUJO KUTWA MARA3 KA DOZI, MAIMUNA HAWEZI KUKUACHA SALAMA😀😛
Sio kweli, Nenda ulaya na asia, wanawake wengi sana wana mapepo. The only difference sio church goers pia maana hwa wakiafrica huenda sana kanisani mabao ndio hayo mapepo hujidhihirisha. Ila naambiwa kina dini Moja kubwa majini ni sehe ya viumbe wanoabudu nao kwenye nyumba zao za ibada, labda watuambie mapepo yataka nin kwa wanawake?
Ni kwa sababu ya elimu duni, kwa Dada zetu, mama zetu na mazingira tuliyokulia na umasikini. Pia utapeli umekuwa mwingi sana kwa hawa wachunga kondoo hili wapate pesa. Uwezi kuta ulaya, Asia, America huu upuuzi.Binafsi ninamuunga mkono mtoa mada japo kidogo. Hili swali nimekua nikijiuliza sana tena kwa muda mrefu sana. Sijawahi kuona mkutano wa dini umefanyika au maombi yamefanyika alafu mwanaume mtu mzima au mvulana akapandisha mashetani. Siku zote nimekua nikiona wanawake tu wasichana kwa wamama watu wazima.