MJADALA: Kwanini Wanawake wanaongoza kuwa na majini/mapepo kwa kasi kuliko Wanaume?

MJADALA: Kwanini Wanawake wanaongoza kuwa na majini/mapepo kwa kasi kuliko Wanaume?

Hutaki kuwa na mapepo? elewa wanawake ndo wana mapepo na sio wanaume
Hapana ndugu..hata wanaume wanayo.Ukiangalia dalili zake nadhani kila mtu ana element hiyo ila wengine wamezidi.So long as una "ubaya" na hakuna binadamu aliye kamili basi ujue unayo! Tofauti ni yale madudu mengine yanayomwingia mtu ili kumharibu.Tutofautishe makundi hayo - majini, mashetani, mizimu ( haya siyo kila mtu anapatwa nayo) na pepo/mapepo ( kila kiumbe mtenda dhambi ana pepo na ndio maana kuna pepo la uongo, chuki, hasira, ngono, ulevi, wivu/inda etc).Anayesema hana "evil spirit' basi huyo ni malaika.
 
Hapana ndugu..hata wanaume wanayo.Ukiangalia dalili zake nadhani kila mtu ana element hiyo ila wengine wamezidi.So long as una "ubaya" na hakuna binadamu aliye kamili basi ujue unayo! Tofauti ni yale madudu mengine yanayomwingia mtu ili kumharibu.Tutofautishe makundi hayo - majini, mashetani, mizimu ( haya siyo kila mtu anapatwa nayo) na pepo/mapepo ( kila kiumbe mtenda dhambi ana pepo na ndio maana kuna pepo la uongo, chuki, hasira, ngono, ulevi, wivu/inda etc).Anayesema hana "evil spirit' basi huyo ni malaika.
WoS, hapa kweli sasa tupo kwenye 'ulimwengu wa kiroho'!
 
Naomba nisaidiwe maelezo ya fuatayo ili niweze kuchangia mada:-
Je mapepo ni madude gani?
Je majini ni madude gani?
Je Mashetani ni madubwasha gani?
Je mizimu ni nini?
Je mapepo, majini, mashetani na mizimu ni kitu kimoja?
Je haya madubwana yana sura gani na yanaongea lugha gani?
 
Naomba nisaidiwe maelezo ya fuatayo ili niweze kuchangia mada:-
Je mapepo ni madude gani?
Je majini ni madude gani?
Je Mashetani ni madubwasha gani?
Je mizimu ni nini?
Je mapepo, majini, mashetani na mizimu ni kitu kimoja?
Je haya madubwana yana sura gani na yanaongea lugha gani?

Yote hayo ni dalili za ugonjwa wa akili. Kwa hiyo hayo madubwasha na madubwana huwa hayana sura wala umbile. Ni kwamba tu akili ikishaanza kukuruka wengine huchukua 'shortcut' na kutupia lawama madubwasha na madubwana ambayo hata hayapo.
 
Hebu ngoja nikajiangalie kwanza kwenye kioo.... labda na mimi nina mapepo....
 
Kuna mtu wa mshika dini alinifafanunulia nilipomuuliza swali hilo; kwanini mapepo yanawapata wanawake zaidi kuliko wanaume.

Jibu lake lilikuwa rahisi sana: Wanawake wengi hupenda kuwa na nywele ndefu. Matokeo yake wale wasiokuwa nazo wanabandika mawigi bila kujua yale mawigi yametengeneza na kitu gani. Mawigi yanatengenezwa kutokana na nywele za watu ambao wameshakufa huko Asia, Ulaya na Marekani na kuletwa Africa.

Na wanaoyatengeneza wanahusishwa na mapepo. Kwa hiyo huwa ''yanapandikizwa'' mapepo toka yakiwa huko. Mapepo pia ''hupatindikizwa'' kwenye mafuta ya nywele yanayotakiwa kutumiwa na wanawake wanaovaa mawigi.

Haya ni mambo ya kiimani sana. Ila binafsi nilishawishika kuamini hivyo! Japo bado ningependa kusikia zaidi kuhusu ukweli wa jambo hili.
 
Hivyo sie wa all natural tume-save eee! Perrrrfect :]
Unajua ze boss anaweza akakuwa na point, kuna kitu inaitwa postnatal depression, ushawahi kuiskia mwalim? hii inawapata kinamama mara nyingi baada ya kujifungua kipindi wanatoka damu ya uzazi. sasa who knows? pengine ni mapepo yamepewa jina la kizungu tu
 
Kuna mtu wa mshika dini alinifafanunulia nilipomuuliza swali hilo; kwanini mapepo yanawapata wanawake zaidi kuliko wanaume.

Jibu lake lilikuwa rahisi sana: Wanawake wengi hupenda kuwa na nywele ndefu. Matokeo yake wale wasiokuwa nazo wanabandika mawigi bila kujua yale mawigi yametengeneza na kitu gani. Mawigi yanatengenezwa kutokana na nywele za watu ambao wameshakufa huko Asia, Ulaya na Marekani na kuletwa Africa. Na wanaoyatengeneza wanahusishwa na mapepo. Kwa hiyo huwa ''yanapandikizwa'' mapepo toka yakiwa huko. Mapepo pia ''hupatindikizwa'' kwenye mafuta ya nywele yanayotakiwa kutumiwa na wanawake wanaovaa mawigi.

Haya ni mambo ya kiimani sana. Ila binafsi nilishawishika kuamini hivyo! Japo bado ningependa kusikia zaidi kuhusu ukweli wa jambo hili.

heheeh kamanda umenikata stimu, inamaana inawezekana samtaimu tunalala na ma nusu maiti? ina maana hii miwigi inatoka kwa maiti? khaaaa! hakyanani watanirejeshea mahari yangu
 
heheeh kamanda umenikata stimu, inamaana inawezekana samtaimu tunalala na ma nusu maiti? ina maana hii miwigi inatoka kwa maiti? khaaaa! hakyanani watanirejeshea mahari yangu

krolokwini umenichekesha sana hapo kwenye bluu. But HONESTLY, hata kabla sijaisikia hiyo stori, mwanamke kuvaa wigi huwa sipendi. Sasa niliposikia na hiyo stori ndio kabisaa. Mpaka nawaogopa wanaoyavaa!
 
Hivyo sie wa all natural tume-save eee! Perrrrfect :]

Of course natural beauty is always perfect. Na ukiangalia watu wanasema mbona wanawake wa kizungu hawapatwi na mapepo, ni mwanamke gani wa kizungu anahitaji kuvaa wigi ili aonekane ana nywele ndefu? Wao za kwao ni ndefu naturally....Wahindi ndio usiseme, they don't need them. Kwa hiyo dampo ni huku Africa sasa!
 
mwanamke ndio hasa mwenye uchungu either na mume watoto na hata nduguze na yeye hasa ndio muombaji mkuu wa familia kama kwenye nyumba mama si muombaji ni nadra sana watoto kuamka kiroho ,so haya maroho yanawinda sana kinamama ili kuwarudisha nyuma na mama akirudi nyuma kiimani baba na nyumba nzima huwa matatani (chunguza utabaini)
 
Unajua ze boss anaweza akakuwa na point, kuna kitu inaitwa postnatal depression, ushawahi kuiskia mwalim? hii inawapata kinamama mara nyingi baada ya kujifungua kipindi wanatoka damu ya uzazi. sasa who knows? pengine ni mapepo yamepewa jina la kizungu tu

He he he @ mapepo yalopewa jina la Kizungu.

Na wale walokuwa hawajazaa jee, wao yao yanaitwa kwa kichina-jumanji au?
 
Of course natural beauty is always perfect. Na ukiangalia watu wanasema mbona wanawake wa kizungu hawapatwi na mapepo, ni mwanamke gani wa kizungu anahitaji kuvaa wigi ili aonekane ana nywele ndefu? Wao za kwao ni ndefu naturally....Wahindi ndio usiseme, they don't need them. Kwa hiyo dampo ni huku Africa sasa!

Masaki

Wazungu hasa wenye pesa wanatumia sana extensions pamoja na weaves kuongeza volume and length kwenye nywele zao.

Bila ya shaka matukio hayo ni kidogo zaidi kwa Wazungu au wengine kuliko kwa Waafrika lkn nayo ipo.

Kuna documentary moja ya aljazeera ilikuwa ikionyesha vipi high quality hair pieces and extensions are made; from India to Rome to L.A

Hawakuonyesha kuwa zinatokana na maiti bali sadaka ya nywele (kutoka kwa watoto, vijana na wazee), kwa Miungu wao mahekaluni.

Kwa hiyo kwa uchache basi sio mawig yote na extensions zinazotokana na maiti
 
heheeh kamanda umenikata stimu, inamaana inawezekana samtaimu tunalala na ma nusu maiti? ina maana hii miwigi inatoka kwa maiti? khaaaa! hakyanani watanirejeshea mahari yangu

Mahari yenyewe si yalikuwa mkopo au? 😛
 
He he he @ mapepo yalopewa jina la Kizungu.

Na wale walokuwa hawajazaa jee, wao yao yanaitwa kwa kichina-jumanji au?

hayo tumsubirie ze boss ayape majina
lakini walahi hili pointi limenijia leo nikaunganisha na post ya ze boss, unajua mpaka leo wazungu wanashindwa kuifafanua postnatal depression kwa namna ya kuridhisha. wanajifanya hormone imbalance at the same time wanasema mama anaweza akamchukia mwanawe katika kipindi cha hii situation sasa hormone imbalance gani itasababisha mama mwenye furaha ya kujifungua amchukie mwanawe?
 
Back
Top Bottom