MJADALA: Mafanikio kibiashara bila uchawi haiwezekani?

Helixir

JF-Expert Member
Joined
Mar 17, 2022
Posts
461
Reaction score
1,214
"Oy babu Hauwezi shika milioni kumi au kutengeneza himaya Kubwa kibiashara bila kwenda KWA mganga kuchukua ndagu"

Unamwona Fulani ako na kidonda kisichopona ...

Mangi anae msukule ndani unaodondosha udenda ambao ni hela...

Mpemba anayo majini ...

Hizi ni baadhi ya kauli tinazokumbana nazo kila siku kwenye mazingira ya utafutaji ,

Je ni kweli bila ndumba Mtu hawezi kufanikiwa kifedha?
 
Hiko hivi, duniani kuna nguvu mbili zina operate, nuru na Giza na zote zinafanya kazi.
Usiporoga basi inabidi usali Sana, changamoto watu haturogi wala hatusali tupotupo tu.
Ukifungua biashara karibu na mtu anaeroga basi na wew rogaa au sali.
 
Hiko hivi, duniani kuna nguvu mbili zina operate, nuru na Giza na zote zinafanya kazi.
Usiporoga basi inabidi usali Sana, changamoto watu haturogi wala hatusali tupotupo tu.
Ukifungua biashara karibu na mtu anaeroga basi na wew rogaa au sali.

Unaweza kufafanua kidogo mkuu ,haswa hapo kwenye kuroga?
 
Hakuna biashara ya halali kwa asilimia mia nyingi ya biashara ni za dhuluma mbalimbali, kukwepa kodi, wizi na ushirikina
Dah nitafika nikiwa nimechoka Sana , KWA kuchelewa au nisifike kabisa 😢
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…