MJADALA: Maswali, majibu na ushauri kuhusu Kilimo cha Mpunga cha kitaalam pamoja na masoko yake

MJADALA: Maswali, majibu na ushauri kuhusu Kilimo cha Mpunga cha kitaalam pamoja na masoko yake

Hyo gharama mpaka kuvuna? Na ekari 1 mojaa unapata gunia ngap?
 
Ndiyo Mheshimiwa hiyo gharama ni mpaka kuvuna, ukishavuna basi unarudisha shamba kwa mwenye nalo, kuhusu eka 1 gunia ngapi; inategemea na utakavyofuata kanuni za kilimo bora lakini si chini ya gunia 20 mpaka 40 kwa ekari.


Hyo gharama mpaka kuvuna? Na ekari 1 mojaa unapata gunia ngap?
 
Mmmhh mfumuko wa bei yatosha ni juzi tu kukodi heka ilikuwa paluu{20k},heka moja inatoa gunia 7 mpaka 10
 
Ndiyo Mheshimiwa hiyo gharama ni mpaka kuvuna, ukishavuna basi unarudisha shamba kwa mwenye nalo, kuhusu eka 1 gunia ngapi; inategemea na utakavyofuata kanuni za kilimo bora lakini si chini ya gunia 20 mpaka 40 kwa ekari.

Ni pm namba yako mkuu.
 
Mmmhh mfumuko wa bei yatosha ni juzi tu kukodi heka ilikuwa paluu{20k},heka moja inatoa gunia 7 mpaka 10

Afu mkuu King Kong III hii avatar yako imenishinda kabisa kuizoea, hebu fanya urudishe ile ya zamani ya yule afande aliyeuchapa usingizi.
 
Last edited by a moderator:
Hata mimi namshangaa sana kwanini alibadili ile avatar yake ya kabla? yaani hii hata kupata demu humu sijuwi kama atafanikiwa kwa hiyo picha yake!.:tongue:

Afu mkuu King Kong III hii avatar yako imenishinda kabisa kuizoea, hebu fanya urudishe ile ya zamani ya yule afande aliyeuchapa usingizi.
 
very funny

ukijitahidi saana, mahindi utapata Max. 20 bags kwa hiyo ekari moja.
1 bag= 6 debes @ a max bei of 15k.
So, 20 bags utapata ,apprx. 1,800k

Less costs: mbolea ya kupandia, xx bags @tshs = ??
mbolea ya kukuzia, xx bags @tshs = ??
Cost ya kutayarisha shamba = ??
cost ya palizi 1 & 2 = ??
Cost ya kukodi hilo shamba = 200k

gharama za dawa= ??


kwa hali hiyo hapo juu, sidhani kama it is worthwhile kulima mahindi kwa kutukia shamba la kukodi.
 
Mashamba ya watu binafsi ya kukodi kwa ajili ya kilimo cha mpunga au mahindi yanapatikana Mbarali Mbeya. Bei ya kukodi ni 200,000 kwa ekari 1.

Anayehitaji tuwasiliane.
ni mashamba ya kumwagilia? naweza pata ekari 100 ambazo zipo pamoja?
 
Maji ya kutosha yapo karibu hasa msimu wa mvua, ukiwa na mtaji unaweza kujianzishia ka-irrigation scheme ka-kwako na ukafanya umwagiliaji, unaweza kuyavuna maji wakati wa mvua nyingi na kuyahifadhi au kutumia visima na water pumps. Kwa hiyo ni wewe tu. Ardhi ni nzuri haihitaji mbolea wala dawa.

Ekari 100 kwa pamoja unaweza ukapata na ndiyo maximum.


ni mashamba ya kumwagilia? naweza pata ekari 100 ambazo zipo pamoja?
 
Back
Top Bottom