kilimo cha kutegemea mvua siyo cha uhakika sana, nililima mpunga pale signali - kama 20km toka ifakara kuelekea ruaha/kilombero, ukweli nilipata lakini cyo ktk matarajio yangu, ila maeneo yote ya ifakara ni mazuri kwa mpunga lkn ishu ni mvua kwa yale maeneo yasiyo na umwagiliaji, kuna sehemu moja inaitwa 'pawaga' ipo iringa na ni 45km kutoka pale mjini iringa kule ni kilimo cha umwagiliaji kwa kwenda mbele na maji niya uhakika, twendeni hata huko jamani tuweze kudiversify risks ya mvua kwa kuwekeza kotekote wakuu.