Sendoro Mbazi
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 3,329
- 2,169
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee kilimo cha mpunga sina hamu nacho aisee,kina garama kubwa sana,alafu kwa mfano mwaka huu bei ya mpunga kwa gunia ni elfu hamsini na mchele kilo ni elf moja na mia mbili,.so kwa mfano mwaka huu kutokana na serikali kuingiza mchele mwingi kutoka nje ya nji.klimo cha mpunga kimekuwa cha hasara mwaka huu.
mtaalamu kubota may be problem inayoni face ni utaalamu coz example this year nlipata gunia 20 kwa eka,huko magugu manyara,sijui tatizo ni nini,mbegu nliyotumia ni ya kienyeji inayoitwa super.
Mkuu ni siku 120 toka siku ya kusia mbegu.thanx mzee kwa hii comment yako wengi tumefaidika,,, ila sijaona mavuno baada ya mda gani au labda sijaelewa...
wakuu habari ya siku nashukuru kwa taarifa, ni za kitaalamu hasa;
kwa mwenye info za kitaalamu kuhusu aina za mpunga zijulikanazo kama upland rice atujulishe pia, itakuwa ni vema kwa wajasiriamali wengine ambao wangependa kuventure kwenye aina hiyo ya kilimo cha mpunga (nilibahatika kuona vipeperushi vyake kwenye nanenane lindi lakini sijabahatika kupata maelezo kutoka field kwa mkulima hasa
kaka Manyara sehemu gani inafaa kwa mpunga nataka kujisogeza pande hizo kikazi na nataka niingie kwenye kilimo hasa cha mpunga na mahindi....
halafu huko mashamba ni ya kukodi au kununua, ningependa kujua na bei tafadhali?
samahani kwa maswali mengi...
Seto.
Vipi habari?,manyara sehemu inaitwa magugu,na mashamba ni ya kukodi,.
Yanakodishwa kati ya laki mbili mpaka tatu inategemea ni sehemu gani.lakini taadhari garama zimeongezeka sana miaka ya karibuni kutokana na bei ya mchele wa magugu ulikuwa 2000 kilo lakini hivi sasa bei imeshuka mpaka 1200,so faida ni kidogo mno ukilinganisha na garama za uendeshaji.
Habari wandugu,
Naomba ushauri wenu kwa biashara ya mpunga.
Nataka kununua magunia baada ya mavuno alafu nauza baada ya jipindi cha navuno kuisha.
Ushauri wenu tafadhali